Rasmi sasa: Container zote za import kubaki bandarini

Rasmi sasa: Container zote za import kubaki bandarini

Habari ingekuwa imekamilika; kwa maana yenye uthibitisho, ningemwalika Nguruvi3 i! Impact ya hizi ICDs ni kubwa sana kiuchumi!! Hapa wanatakiwa kukumbuka WHY ICDs!!! ICDs zipo duniani kote ili kutoa mwanya kwa bandari ku-handle kila mzigo unaoingia vingenevyo itafika wakati meli inashindwa kushusha mizigo kwa kuwa hamna pa kuweka!

RIP Microeconomic sector...


Hata rushwa iko pia Duniani kote lkn haimaanishi kwamba ni lazima na TZ kwetu iwepo!
Rushwa free TZ Inawezekana!
 
Hata rushwa iko pia Duniani kote lkn haimaanishi kwamba ni lazima na TZ kwetu iwepo!
Rushwa free TZ Inawezekana!
Hoja za Kilumumba kwangu hazina nafasi... toa hoja badala ya viroja.
 
Mkuu JoJiPoJi ahsante, nimepitia agizo la SUMATRA! Hapa mtu hana haja ya kuwa mtaalamu logistics kufahamu sooner or later malalamiko mengine yataibuka bandarini kuhusu kurundikana mizigo na hivyo kuchelewesha clearance! Nilitarajia moja ya sababu zilizotolewa ni kwamba hivi sasa bandari kuna nafasi ya kutosha kuhifadhi mizigo kumbe efficiency ya hilo itategemea efficiency ya wengine! Mbaya zaidi, taasisi zote kule bondeni hakuna hata moja yenye efficiency history!
 
Utavunia kuongeza ajira hata kama ajira hizo hazina ufanisi au faida yoyote kwenye maendeleo ya taifa?
Ufanisi wanaujua wale wenye bandari kavu kwasababu si waajiliwa wa serikali. Swala hapa ni kuziba njia za ufisadi lkn si kuziua halafu watu wanashangilia. Je unajisikia raha mwenzako anapokosa kazi?
 
Kwa mara nyingine tunaelekea kuona zaidi ya watu 50,000 wanaenda kupoteza ajira baada ya serikali kupitia SUMATRA kutoa waraka wa kuzuia mizigo yote inayoingia bandarini kubaki hapo tofauti na awali ambapo mteja alikuwa anaweza kuamua container yake akaitolee Icd atakayochagua.

Waraka huo ambao umetolewa tarehe 10, 2016 unaelekeza amri hiyo imeanza kutekelezwa tangu tarehe 7/10/16.

Kwa uamuzi huo wa serikali maana yake sasa zile ICD zote zitabaki bila kazi na kupelekea wafanyakazi karibu wote kupoteza ajira.
Kabla ujaleta umbea na ushambenga hapa ni vyema ukawaeleza watu malengo ya bandari kavu. Bandari kavu ni kwaajili ya mizigo iliyokosa nafasi bandari kuu. Na mkataba waliosaini mamlaka ya bandari na wamiliki wa bandari kavu unaeleza wazi kuwa ikiwa kuna nafasi bandarini basi mizigo itabaki bandarini na haitokwenda nje ya hapo.
Yani wewe chizi unataka kuwaaminisha watu kuwa hata kama bandari kuu ina nafasi basi mizigo ni lazima iende bandari kavu?
 
L
Kwani ajira zipo ICD tu,,,wakatafute kazi nyingine za kufanya
Lkn ndg hebu fikiri we hapo unakazi yako kwa ajili ya familia yako, hivi akitokea MTU ghafla anakwambia kwanzia sasa huna Nazi tafuta kazi nyingine utapiga makofi? Mkuki kwa nguruwe....
 
L

Lkn ndg hebu fikiri we hapo unakazi yako kwa ajili ya familia yako, hivi akitokea MTU ghafla anakwambia kwanzia sasa huna Nazi tafuta kazi nyingine utapiga makofi? Mkuki kwa nguruwe....
Nyie si ndio mlikuwa mnashangilia na kuimba wimbo kuwa bandari ni nyeupe kama uwanja leo hii tumesema sasa mizigo ibaki bandari kwakuwa kuna nafasi basi mnaanza kulialia tena kuwa bandari kavu
 
Haoo madada wa icd wafanye mamamntiliee
 
Kabla ujaleta umbea na ushambenga hapa ni vyema ukawaeleza watu malengo ya bandari kavu. Bandari kavu ni kwaajili ya mizigo iliyokosa nafasi bandari kuu. Na mkataba waliosaini mamlaka ya bandari na wamiliki wa bandari kavu unaeleza wazi kuwa ikiwa kuna nafasi bandarini basi mizigo itabaki bandarini na haitokwenda nje ya hapo.
Yani wewe chizi unataka kuwaaminisha watu kuwa hata kama bandari kuu ina nafasi basi mizigo ni lazima iende bandari kavu?
Sasa hapo tunaelewana kuwa hazijafungwa bali kwasasa zitakosa mizigo kwasababu mizigo imepungua sana bandarini.
 
Lazima Bombadia zipatikane, ila madawa na chanjo msubiri kwanza au mkawaone Prof Maji mafupi & Co.
Ehh mkuu umenikumbushA mawiki mawili yaliyopita nimemuona huyo prof maji marefu na mutoto shombeshombe mitaa ya makumbusho kuna hotel flani walikuwa wanaingia na VX yake imeandikwa MAJI MAREFU
 
Kabla ujaleta umbea na ushambenga hapa ni vyema ukawaeleza watu malengo ya bandari kavu. Bandari kavu ni kwaajili ya mizigo iliyokosa nafasi bandari kuu. Na mkataba waliosaini mamlaka ya bandari na wamiliki wa bandari kavu unaeleza wazi kuwa ikiwa kuna nafasi bandarini basi mizigo itabaki bandarini na haitokwenda nje ya hapo.
Yani wewe chizi unataka kuwaaminisha watu kuwa hata kama bandari kuu ina nafasi basi mizigo ni lazima iende bandari kavu?
Mkuu Una huo Mkataba wa bandari na bandari kavu?
 
Hiyo umetoa ni hoja au upupu?
Tofauti kubwa kati yangu na yako ni kwamba, wakati wewe ni mpiga makofi na probably mpangusa viatu vya wenye nchi yao; mimi ni free thinker! Matokeo yake, umebaki kushabikia kila kitu hata kama ni cha kipuuzi!!! Pole sana...
 
Tofauti kubwa kati yangu na yako ni kwamba, wakati wewe ni mpiga makofi na probably mpangusa viatu vya wenye nchi yao; mimi ni free thinker! Matokeo yake, umebaki kushabikia kila kitu hata kama ni cha kipuuzi!!! Pole sana...
Anakera sana huyo jamaa!
 
Mimi naamini kama Tanzania inapiga hatua za kimaendeleo hata kwa nukta moja basi ICDs zitaendelea kuwepo na kufanya kazi ila kama ndio tunazorota na kurudi nyuma kimaendeleo basi hakuna haja ya ICDs kuwepo.

Kwani kukiongezeka uagizaji kutoka nje kama ilivyokuwa hapo kabla, basi ni wazi Bandari haimudu kabisa Makasha yote peke yake, kuanzia kwenye utendaji kazi hadi kwenye nafasi ya utunzaji makasha.

Tusifikiri kwamba kupungua Makasha Bandarini kunatukana na kudhibiti kodi pekeyake kuna mambo kadhaa mabayo kwa pamoja husababisha wateja kuhamishia mizigo yao toka bandari moja kwenda nyingine, ikiwa ni pamoja na usalama wa mizigo(wizi), wepesi wa kutoa(kukwepa gharama za utunzaji{storage}), na ndio suala la ukadiriaji kodi linafuata.

Hizi sasa, hakuna makasha ya nchi za nje zinazopitia Dar kama zamani, pamoja na Rais wa Kongo(DRC) kuahidi mizigo ya wakongo itapitia Dar, lakini ujue Rais yake ni kauli ila mwenye uamuzi ni mfanyabiashara mwenyewe anaangalia ni vp ataweza kutengeneza faida na kuepuka hasara, hivyo ukiangalia sasa hivi magari mwengi ya Kongo(DRC) yanapitia Bandari ya Mombasa na kuvuka mpaka na kuingia Tz kusafiri hadi Kongo(DRC) fika Chalinze pale utayaona mengi tu yakitokea njia ya Segera-Chalinze.

Kwa hali ilivyo sasa kuna wafanyabiashara wenye ICD waTz wanajenga ICD Mombasa na tayari kazi zimeanza, pia makampuni ya Clearing ya Kitanzania yameanza kujisajili Kenya kuanza kazi huko.

Kwa haya yanayoendelea tujiangalie na tujiulize je, tunafanya jambo jema ama tunapotea? maana wakati sisi tunafanya hili linawaneemesha wenzetu, kwani hakukua na njia m-badala ya kurekebisha kasoro badala ya hivi.

Kwa kweli sipingi maamuzi ya Serikali wala sioni tatizo kwenye kurekebisha kasoro zilizopelekea ukwepaji kodi na wizi uliokuwa unaendelea, ila ninaona wazi kuna mahala tunakosea na matokeo ya kukosea kwetu tunamnufaisha mwenzetu na sisi kuambulia mifupa.

Natumai nimeeleweka, pia kama kuna alokwazika anisamehe maana mimi si mkamilifu.
 
Back
Top Bottom