Rasmi sasa: Container zote za import kubaki bandarini

Rasmi sasa: Container zote za import kubaki bandarini

Ile kauli ya mh Rais ya bandari ilikuwa shamba la bibi×4, kwa kiswahili cha mmbasa au wale watu wa pwani, haiwezi kuitwa , bandari ilikuwa shamba la kilembwe?

Na washawaha!
 
Kwa haya yanayoendelea tujiangalie na tujiulize je, tunafanya jambo jema ama tunapotea? maana wakati sisi tunafanya hili linawaneemesha wenzetu, kwani hakukua na njia m-badala ya kurekebisha kasoro badala ya hivi.
Nimekusoma mwanzo hadi mwisho na uliyoongea yote ni kweli tupu! Kukujibu swali lako, plain clear TUNAPOTEA!!!

Awali nilishindwa kumaliza maneno kv nilidhani sababu zilizopelekea uamumuzi huo ni kwamba hivi sasa bandarini kuna nafasi ya kutosha (though in free market sio justifiable argument but can be tolerated) lakini ukisoma barua ya SUMATRA, sababu sio hiyo! Kosa la kwanza hapa una-jeopardize investors confidence... watu hawatakuwa na uhakika kwa investments wanazofanya kv hawajui kesho serikali na taasisi zake watachukua uamuzi gani! Suala la ICDs lililetwa na serikali yenyewe ili kupunguza msongamano wa mizigo bandarini! Investors wakanunua mitaa Kurasini na kujenga ICDs... wakachukua mikopo n.k... from nowhere, unasema from hakuna mizigo kwenda ICDs!!!! Si tu kwamba hawajali fixed investments ambazo zimeshafanywa lakini inaonekana hawajali hata benefits zinazotokana na hizo ICDs... madereva, matingo, wabeba mizigo, Mama Lishe pamoja na wafanyakazi wa ICDs husika wataathirika na uamuzi huo!

Madai wanayotoa watu kwamba ICDs zinatumika kutorosha makontena ni madai ya kijinga na yasio na maana yoyote kwa kuwa hakuna meli yenye uwezo wa kupita chini kwa chini bila kuonekana na kuibukia ICD... zote lazima zipite bandarini!! Sasa kwanini watu watoroshe makontena wakati meli zinapitia hapo hapo!!

Halafu hapo unaota kujenga viwanda kwa kutumia wawekezaji binafsi! Nani atakuwa tayari kuwekeza kwenye versatile business environment!
 
Ndio uone matatizo ya investiment za kiuchumi kufanywa kisiasa, matokeo ndio haya sasa. Na hayo unayoita madai ya kijinga ndio wenzako wameyafanyia maamuzi magumu yanayokufanya ulielie hapa jamvini.

Na washawasha!


Nimekusoma mwanzo hadi mwisho na uliyoongea yote ni kweli tupu! Kukujibu swali lako, plain clear TUNAPOTEA!!!

Awali nilishindwa kumaliza maneno kv nilidhani sababu zilizopelekea uamumuzi huo ni kwamba hivi sasa bandarini kuna nafasi ya kutosha (though in free market sio justifiable argument but can be tolerated) lakini ukisoma barua ya SUMATRA, sababu sio hiyo! Kosa la kwanza hapa una-jeopardize investors confidence... watu hawatakuwa na uhakika kwa investments wanazofanya kv hawajui kesho serikali na taasisi zake watachukua uamuzi gani! Suala la ICDs lililetwa na serikali yenyewe ili kupunguza msongamano wa mizigo bandarini! Investors wakanunua mitaa Kurasini na kujenga ICDs... wakachukua mikopo n.k... from nowhere, unasema from hakuna mizigo kwenda ICDs!!!! Si tu kwamba hawajali fixed investments ambazo zimeshafanywa lakini inaonekana hawajali hata benefits zinazotokana na hizo ICDs... madereva, matingo, wabeba mizigo, Mama Lishe pamoja na wafanyakazi wa ICDs husika wataathirika na uamuzi huo!

Madai wanayotoa watu kwamba ICDs zinatumika kutorosha makontena ni madai ya kijinga na yasio na maana yoyote kwa kuwa hakuna meli yenye uwezo wa kupita chini kwa chini bila kuonekana na kuibukia ICD... zote lazima zipite bandarini!! Sasa kwanini watu watoroshe makontena wakati meli zinapitia hapo hapo!!

Halafu hapo unaota kujenga viwanda kwa kutumia wawekezaji binafsi! Nani atakuwa tayari kuwekeza kwenye versatile business environment!
 
nimeipenda hii "Nani atakuwa tayari kuwekeza kwenye versatile business environment!"

Tanzania ya Viwanda (vya Binafsi ama vya Serikali).
 
Kwa mara nyingine tunaelekea kuona zaidi ya watu 50,000 wanaenda kupoteza ajira baada ya serikali kupitia SUMATRA kutoa waraka wa kuzuia mizigo yote inayoingia bandarini kubaki hapo tofauti na awali ambapo mteja alikuwa anaweza kuamua container yake akaitolee Icd atakayochagua.

Waraka huo ambao umetolewa tarehe 10, 2016 unaelekeza amri hiyo imeanza kutekelezwa tangu tarehe 7/10/16.

Kwa uamuzi huo wa serikali maana yake sasa zile ICD zote zitabaki bila kazi na kupelekea wafanyakazi karibu wote kupoteza ajira.


serikali itakuwa na mpango mbadaala juu ya hili. watu 50,000 ni wengi mno.
 
Juzi kati hapo nimemuona mh Rais akizindua kiwanda Mkuranga tusaidie ni cha sirikali au cha binafsi? Mbeleko iliyokuwa inaitwa icd imedondoka zinduka acha kulialia?

Na washawasha!


nimeipenda hii "Nani atakuwa tayari kuwekeza kwenye versatile business environment!"

Tanzania ya Viwanda (vya Binafsi ama vya Serikali).
 
Juzi kati hapo nimemuona mh Rais akizindua kiwanda Mkuranga tusaidie ni cha sirikali au cha binafsi? Mbeleko iliyokuwa inaitwa icd imedondoka zinduka acha kulialia?

Na washawasha!

Umekazia nukta yangu. anayelia ni mimi ? wanishangaza kwa kilio chako na kunisingizia. Pole sana
 
Umekazia nukta yangu. anayelia ni mimi ? wanishangaza kwa kilio chako na kunisingizia. Pole sana

Uzuri mh Rais anaelewa kuwa mko watu wa aina ya wewe na akiwahutubia wafanyakazi wa bandari alisema anashangaa wanao piga kelele, hata meli itue moja inayolipa kodi inatosha. Hata container kama hazitoki bandarini na zikalipa kodi yatosha. Hizo icds tafuteni cha kufugia humo?

Na washawasha!
 
Juzi kati hapo nimemuona mh Rais akizindua kiwanda Mkuranga tusaidie ni cha sirikali au cha binafsi? Mbeleko iliyokuwa inaitwa icd imedondoka zinduka acha kulialia?

Na washawasha!
Unashangaa Bakhresa kuwa na kiwanda... we jamaa wa wapi?! Kwani huyo Bakhresa ameanza kuwekeza kwenye viwanda jana au juzi!!!!
 
Uzuri mh Rais anaelewa kuwa mko watu wa aina ya wewe na akiwahutubia wafanyakazi wa bandari alisema anashangaa wanao piga kelele, hata meli itue moja inayolipa kodi inatosha. Hata container kama hazitoki bandarini na zikalipa kodi yatosha. Hizo icds tafuteni cha kufugia humo?

Na washawasha!
Kwahiyo kukiwa na ICDs meli zinapita chini kwa chini bila kuonekana hadi kwenye hizo ICDs bila kupita bandarini?
 
Mi huwa najiuliza; hivi kuna siku tutasikia hotuba isiyo na malalamiko na lawama tka kwa mkuu kwenda wateule wake na mkuu wa awamu iliyopita?
Hivi haiwezekani mkuu kufanya kazi kwa weledi bila hata kwenda kumwaga hasira kwenye majukwaa?
Hivi haiwezekani kufanya kazi bila kuhitaji kushangiliwa?
Mwaka unawisha kwa kusikia mihadhara yenye mihemuko na lawama zaidi kuliko maneno chanya ya kuleta hamasa bila ku-inculcate nidhamu ya woga kwa watumishi.

Just thinking aloud!
Ndio Siasa hiyo mkuu relax tu
 
Ndio uone matatizo ya investiment za kiuchumi kufanywa kisiasa, matokeo ndio haya sasa. Na hayo unayoita madai ya kijinga ndio wenzako wameyafanyia maamuzi magumu yanayokufanya ulielie hapa jamvini.

Na washawasha!
Total cr'ap!
 
Unashangaa Bakhresa kuwa na kiwanda... we jamaa wa wapi?! Kwani huyo Bakhresa ameanza kuwekeza kwenye viwanda jana au juzi!!!!

Nikulize wewe wa wapi? Si ulikuwa unasema viwanda labda viwe vya sirikali. Huyo Bakhresa ni all weather investor. Nyie mnao invest kutegemea awamu hii inaongozwa na mtoto wa mjomba ndio mjifunze sasa. Mambo huenda yanabadilika.

Na washawasha!
 
Uzuri mh Rais anaelewa kuwa mko watu wa aina ya wewe na akiwahutubia wafanyakazi wa bandari alisema anashangaa wanao piga kelele, hata meli itue moja inayolipa kodi inatosha. Hata container kama hazitoki bandarini na zikalipa kodi yatosha. Hizo icds tafuteni cha kufugia humo?

Na washawasha!

Wewe huelewi yanayotendeka ndio maana unategemea zaidi kusikiza hotuba na mijadala tu.

Kwa taarifa yako wanaokadiria kodi na kutoza kodi ni TRA na ndio hao walioko Bandarini na kwenye ICDs sasa awezeshe ukwepaje ICD ashindwe bandarini?, huna hoja katika kodi.
Hoja ni kwamba bandari inamudu kuhudumia Makasha yote? ama watahitaji huduma za ICD?
 
Nikulize wewe wa wapi? Si ulikuwa unasema viwanda labda viwe vya sirikali. Huyo Bakhresa ni all weather investor. Nyie mnao invest kutegemea awamu hii anaongozwa na mtoto wa mjomba ndio mjifunze sasa. Mambo huenda yanabadilika.

Na washawasha.
Ungekuwa na uwezo wa kutofautisha kati ya eksi na kuzidisha, usingehoji suala la Bakhresa manake yeye haihitaji kuhamasishwa kujenga viwanda! That's one but second, Uwekezaji wa Bakhresa Mwandege haujaanza jana wala juzi... ameanza takribani miaka 5 iliyopita! Kinyume chake, serikali yenye maamuzi ya kukurupuka inatarajia kuhamasisha wafanyabiashara kuwekeza kwenye viwanda!!
 
Tuna wa amini hawa kama walivyo ona icd ulikuwa utaratibu mbovu watakuja na utaratibu mwingine wa manufaa kwa taifa.

Huwezi kuta watu wanalima na wana viwanda vya mihadarati, eti Kiongozi makini uache kuchukua hatua kwa kuwa wajiriwa wa hiyo sekta ya mihadarati ni wengi watakosa ajira. Ndio mnalolitetea hapa. Mtu makini ataisambaratisha hiyo biashara ya mihadarati. Mh Rais yuko makini na kasambaratisha icds za kihunihuni.

Na wahawasha!


Wewe huelewi yanayotendeka ndio maana unategemea zaidi kusikiza hotuba na mijadala tu.

Kwa taarifa yako wanaokadiria kodi na kutoza kodi ni TRA na ndio hao walioko Bandarini na kwenye ICDs sasa awezeshe ukwepaje ICD ashindwe bandarini?, huna hoja katika kodi.
Hoja ni kwamba bandari inamudu kuhudumia Makasha yote? ama watahitaji huduma za ICD?
 
Tuna wa amini hawa kama walivyo ona icd ulikuwa utaratibu mbovu watakuja na utaratibu mwingine wa manufaa kwa taifa.

Huwezi kuta watu wanalima na wana viwanda vya mihadarati, eti Kiongozi makini uache kuchukua hatua kwa kuwai wajiriwa wa hiyo sekta ya mihadarati ni wengi watakosa ajira. Ndio mnalolitetea hapa. Mtu makini ataisambaratisha hiyo biashara ya mihadarati. Mh Rais yuko makini na kasambaratisha icds za kihunihuni.

Na wahawasha!
Hebu tupime ikiwa kweli unafahamu unachoongea: Utaratibu wa ICD ulikuwaje na matatizo yaliyoonekana ni yapi?
 
Back
Top Bottom