Rasmi sasa: Container zote za import kubaki bandarini

Rasmi sasa: Container zote za import kubaki bandarini

Sioni tatizo kwenye maamuzi lakini je
1. Bandari ina uwezo wa kuhifadhi mizigo yote?
2. Tuliopo hapa mjini tunajua kuwa hakukuwa na ICD huko miaka ya nyuma, nini kilipelekea kuanzishwa kwake?
Sote tunahitaji maendeleo ya nchi hii lakini mipango iwe yenye umakini na isiyozusha taharuki na mkanganyiko.
Kama Bandari itakuwa ikifanya kazi kama inavyofanya sasa nina mashaka na ufanisi wa hili.
Ila kama Bandari imejipanga kumudu hili mi naona sawa tu kama ni njia bora ya kuboresha mapato.

Tutapanua eneo la bandari
 
Kwa mara nyingine tunaelekea kuona zaidi ya watu 50,000 wanaenda kupoteza ajira baada ya serikali kupitia SUMATRA kutoa waraka wa kuzuia mizigo yote inayoingia bandarini kubaki hapo tofauti na awali ambapo mteja alikuwa anaweza kuamua container yake akaitolee Icd atakayochagua.

Waraka huo ambao umetolewa tarehe 10, 2016 unaelekeza amri hiyo imeanza kutekelezwa tangu tarehe 7/10/16.

Kwa uamuzi huo wa serikali maana yake sasa zile ICD zote zitabaki bila kazi na kupelekea wafanyakazi karibu wote kupoteza ajira.
Nia ya kuweka ICD ilikua kuifanya bandari ipumue kwa kuzidiwa
ICD ukawa uchochoro wa kukwepa kodi na wizi wa makontena
Hata hivyo nafasi ipo bandarini baada ya wakwepa kodi kubanwa,kuna haja gani ya kuendelea kutumia ICD?
 
Mkuu kuwa mkweli,

kwenye mkataba wa TPA na ICD kuna kipengele ki nasema kuwa, mizigo itapelekwa IDC ikiwa tu eneo la kuhifadhia mizigo hiyo au Containers ndani ya Bandari litakuwa limejaa.

Sasa ICD nyingi zikawa zina mtandao wao hapo bandarini ambapo mizigo ikifika tu hata kama ndani ya Bandari bado kuna nafasi ya kuhifadhi mizigo ilikuwa inapelekwa ICD hivyo kuikosesha TPA mapato yake na wakati mwingine ICD zilikuwa zinawacheleweshea wateja wao mizigo yao kwa makusudi ili waweze kupata mapato.

kwa hatua hii, naishukuru sana serikali kwa hatua hii.
Mtandao upo chini,siku tatu,unakula storage mpaka unahisi kizunguzungu
 
Tutapanua eneo la bandari
Wenye mipango thabiti jibu lingekuwa TUMESHAPANUA eneo la bandari.
Tuta-nita ni mipango ya baadaye.
Tatizo lile lile la kushindwa kujipanga mapema na kusubiri matokeo ya "kukurupuka".
Unajua kuna wastani wa container ngapi zinaingia kwa mwezi?
Rate ya uchukuaji wa container hizi ukoje?
 
Mi huwa najiuliza; hivi kuna siku tutasikia hotuba isiyo na malalamiko na lawama tka kwa mkuu kwenda wateule wake na mkuu wa awamu iliyopita?
Hivi haiwezekani mkuu kufanya kazi kwa weledi bila hata kwenda kumwaga hasira kwenye majukwaa?
Hivi haiwezekani kufanya kazi bila kuhitaji kushangiliwa?
Mwaka unawisha kwa kusikia mihadhara yenye mihemuko na lawama zaidi kuliko maneno chanya ya kuleta hamasa bila ku-inculcate nidhamu ya woga kwa watumishi.

Just thinking aloud!

Kwa hali aliyoikuta hana jinsi. Majipu ya miaka 20 iliyopita ni mengi mno na hii miaka yake mitano ya kwanza ndiyo ya kuyatumbua na kuweka mfumo sawa. Mitano ina
Sadly, watanzania walio wengi wanapenda siasa nyepesi anazofanya Magufuli. Siasa zisizo na substance, populistic na sadistic. Maana watanzania wengi walio masikini wana mentality kwamba ukiwa na uwezo wa fedha na mali, basi wewe ni mwizi ama fisadi. Dhana ambayo Magufuli pia anayo kutokana na poverty mentality yake. Partly, ujamaa unaweza kuwa sababu ya haya.

You cant be very rich in a country where the majority of the people barely survive below poverty line. He is either stealing from them or from the government by not paying proper taxes. Alternatively he is smuggler or drug dealer.
 
Kwa mara nyingine tunaelekea kuona zaidi ya watu 50,000 wanaenda kupoteza ajira baada ya serikali kupitia SUMATRA kutoa waraka wa kuzuia mizigo yote inayoingia bandarini kubaki hapo tofauti na awali ambapo mteja alikuwa anaweza kuamua container yake akaitolee Icd atakayochagua.

Waraka huo ambao umetolewa tarehe 10, 2016 unaelekeza amri hiyo imeanza kutekelezwa tangu tarehe 7/10/16.

Kwa uamuzi huo wa serikali maana yake sasa zile ICD zote zitabaki bila kazi na kupelekea wafanyakazi karibu wote kupoteza ajira.
Tuletee nakala ya waraka huo, tuweze kufanya tathmini wenyewe.
 
Watu 50,000 kukosa nini?????

Una Idadi yao rasmi au ni FIGA ya kutengeneza????
 
Sadly, watanzania walio wengi wanapenda siasa nyepesi anazofanya Magufuli. Siasa zisizo na substance, populistic na sadistic. Maana watanzania wengi walio masikini wana mentality kwamba ukiwa na uwezo wa fedha na mali, basi wewe ni mwizi ama fisadi. Dhana ambayo Magufuli pia anayo kutokana na poverty mentality yake. Partly, ujamaa unaweza kuwa sababu ya haya.
Kwanini uwe tajiri kwenye nchi masikini?
 
Mizigo imepungua. Tukiendelea na utaratibu wa kupeleka hiyo hiyo kidogo ICD, Serikali itakosa pesa na itapunguza wafanyakazi bandarini vile vile. So, acha tu huko ICD wakose kazi na wapunguzane. Wafanyakazi wa ICD na wa bandarini wote ni waTZ.
 
Mi huwa najiuliza; hivi kuna siku tutasikia hotuba isiyo na malalamiko na lawama tka kwa mkuu kwenda wateule wake na mkuu wa awamu iliyopita?
Hivi haiwezekani mkuu kufanya kazi kwa weledi bila hata kwenda kumwaga hasira kwenye majukwaa?
Hivi haiwezekani kufanya kazi bila kuhitaji kushangiliwa?
Mwaka unawisha kwa kusikia mihadhara yenye mihemuko na lawama zaidi kuliko maneno chanya ya kuleta hamasa bila ku-inculcate nidhamu ya woga kwa watumishi.

Just thinking aloud!
Akikaaa kimya mtspiga kelele akiongea napo pia kelele
Wenye ICDs wataisoma namaba na wale wezi wa containers or contents za containers wataisoma namba.!
 
katika uchambuzi wako wa huo waraka hujaona faida yeyote ya mizigo kuwa monitored, nje ya hasasra uliyo ona.
Hao vijana wamejaa ujinga....hivi kama makontena kutoka nje yalizalisha ajira 5000 sasa kama yatabaki bandarini tafsiri yake ni kuwa ajira zitaongezeka mamlaka ya bandari...dhumuni la hili suala ni kuwa wenye ICD walikuwa ni wajanja....walishirikiana na maafisa wa bandari kuhifadhi mizigo ilihali bandari ina nafasi.
 
Tatizo macontainer yalikua hayalipiwi kodi yakienda ICD, kulikua na mwanya wa kukwepa kodi kwenye ICD sasa wamebana
 
Kwa mara nyingine tunaelekea kuona zaidi ya watu 50,000 wanaenda kupoteza ajira baada ya serikali kupitia SUMATRA kutoa waraka wa kuzuia mizigo yote inayoingia bandarini kubaki hapo tofauti na awali ambapo mteja alikuwa anaweza kuamua container yake akaitolee Icd atakayochagua.

Waraka huo ambao umetolewa tarehe 10, 2016 unaelekeza amri hiyo imeanza kutekelezwa tangu tarehe 7/10/16.

Kwa uamuzi huo wa serikali maana yake sasa zile ICD zote zitabaki bila kazi na kupelekea wafanyakazi karibu wote kupoteza ajira.
MAANA UA ICD ZA NJE MIZIGO IMEJAA BANDARINI KAMA AIJAJAA.MNATAKA ZIJEHUKO KUFANYA NN..NA SIKU ZA KUOKOA MAVITUYENU ZIMEONGEZWA NN SHIDA ELEWENI POLEPOLE MTAELEWA
 
Mkuu kuwa mkweli,

kwenye mkataba wa TPA na ICD kuna kipengele ki nasema kuwa, mizigo itapelekwa IDC ikiwa tu eneo la kuhifadhia mizigo hiyo au Containers ndani ya Bandari litakuwa limejaa.

Sasa ICD nyingi zikawa zina mtandao wao hapo bandarini ambapo mizigo ikifika tu hata kama ndani ya Bandari bado kuna nafasi ya kuhifadhi mizigo ilikuwa inapelekwa ICD hivyo kuikosesha TPA mapato yake na wakati mwingine ICD zilikuwa zinawacheleweshea wateja wao mizigo yao kwa makusudi ili waweze kupata mapato.

kwa hatua hii, naishukuru sana serikali kwa hatua hii.
MPWA KWAKWELI UMEMALIZA M NILIMPA.MAKAVU NKAJUA ATAENDA KUTAFUTA HIKOKIPENGELE....

WARUDI WAKAFANYEBIASHARA MITAANI WOTE MKFANYA KAZI YALE MATUNDA NA JUICE ZA BAKHERESA ANAUZA NANI
 
Back
Top Bottom