Rasmi sasa: Container zote za import kubaki bandarini

Rasmi sasa: Container zote za import kubaki bandarini

Makasha ya kwenda kwenye icds hayatapatikana kama hakutakuwa na ucheleweshaji wa makusudi ili icd zipate makonteana. Icd zimetokana na artificial demand ya storage facility kwa ucheleweshwaji wa mizigo wa makusudi na kimkakati. Na hapo ndipo mh Rais na serikali yake wanapotakiwa wawe makini, otherwise it will be the same old story.

Na washawasha!
Ucheleweshaji makusudi kivipi? Kuchelewesh kwamba meli zinaingia halafu zinaacha kushusha mzigo kwa makusudi, au? The problem you guys mnaongea mambo msiyoyafahamu! Na inaonekana hata taratibu za kupeleka makontena ICDs hamzifaahamu! Haya naomba unisaidie wewe sasa... tuseme umeagiza mzigo kontena 100 lakini unataka "kuzichelewesha makusudi" ili utumie ICDs! Now tell me... unachelewesha chelewesha vipi na ukifanya hivyo inakusaidia nini!
 
Hawakuchemka walikua na nia njema tu ndiyo maana wame respond timely baada ya ku sense challenges.
Ikiwa watu wa nje ambao wala sio wadau walisha-sense from the beginning, inakuwaje wao walishindwa kuona hilo in advance?
 
Uko daraja la ngapi katika ligi ya mabishano na malumbano? Ingekuwa mpira wala nisinge kuliza maana dhahiri shahiri ungekuwa epl.

Na washawasha!


QUOTE="chige, post: 18070801, member: 375006"]Ucheleweshaji makusudi kivipi? Kuchelewesh kwamba meli zinaingia halafu zinaacha kushusha mzigo kwa makusudi, au? The problem you guys mnaongea mambo msiyoyafahamu! Na inaonekana hata taratibu za kupeleka makontena ICDs hamzifaahamu! Haya naomba unisaidie wewe sasa... tuseme umeagiza mzigo kontena 100 lakini unataka "kuzichelewesha makusudi" ili utumie ICDs! Now tell me... unachelewesha chelewesha vipi na ukifanya hivyo inakusaidia nini![/QUOTE]
 
Back
Top Bottom