Chris wood
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 1,667
- 5,008
- Thread starter
- #201
Daa sijawahi kuona mtu analiwa 20M na bado yuko happy.Tatizo lako unafanya betting kama kazi,ikutoe kimaisha,kitu ambacho kamwe hakiwezekani!!
Wenzako wanafanya betting kama starehe tu,analiwa 20M na still yuko happy hana hata wasiwasi! Hivi unajua betting wanafanya matajiri, mchezo akipigwa anapigwa kweli,na akibutua, anabutua kweli!