Bajeti ya kunguru
JF-Expert Member
- Sep 21, 2014
- 1,371
- 1,041
Habari zenu wana jamvi, poleni kwa pilika za hapa na pale za kimaisha. Leo nimeamua kufanya hiki nachokifanya.
Kwanza kabisa nikuondoe matamanio yote ya kunufaika na kampuni za betting Kama nitakaa kimya. Mie sio mwandishi unayefikiria kipaji hiki Sina lakini ninachokupa kichukue uweze kurudisha pesa kwenye nchi yako kabla hawajazifunga hizi kampuni.
Jaribu kuwafikiria wachezesha kamari wa mtaani kwako halafu jiulize je huwa wanatengeneza faida au hasara? (Kamari hizi hizi tu za kienyeji). Hakuna kamari duniani isiyokuwa na plan B ya kumnufaisha mchezeshaji. 360 Betting mmiliki wa odds anayeuza kwa kampuni zingine ndogo ndogo. Sielezi mengi kuhusu huyu lakini umjue Kama ndiye mmiliki wa kompyuta mama ya dunia nzima inayohusu betting.
Kazi kubwa ya kompyuta hii ni kujulisha timu gani imeaminiwa na wengi kuwa itashinda au vinginevyo, kumbuka ni across the world ahahaahaa😄.Sasa ili kuwanufaisha wateja wanao nunua odds yeye anashirikiana na nani kuelekeza matokeo kwenye sehemu isiyowaumiza wateja wake? Je nini ufanye?⏱️
MNANIELEWA?
Nakuja.
MAGUFULI4LIFE.
Kwanza kabisa nikuondoe matamanio yote ya kunufaika na kampuni za betting Kama nitakaa kimya. Mie sio mwandishi unayefikiria kipaji hiki Sina lakini ninachokupa kichukue uweze kurudisha pesa kwenye nchi yako kabla hawajazifunga hizi kampuni.
Jaribu kuwafikiria wachezesha kamari wa mtaani kwako halafu jiulize je huwa wanatengeneza faida au hasara? (Kamari hizi hizi tu za kienyeji). Hakuna kamari duniani isiyokuwa na plan B ya kumnufaisha mchezeshaji. 360 Betting mmiliki wa odds anayeuza kwa kampuni zingine ndogo ndogo. Sielezi mengi kuhusu huyu lakini umjue Kama ndiye mmiliki wa kompyuta mama ya dunia nzima inayohusu betting.
Kazi kubwa ya kompyuta hii ni kujulisha timu gani imeaminiwa na wengi kuwa itashinda au vinginevyo, kumbuka ni across the world ahahaahaa😄.Sasa ili kuwanufaisha wateja wanao nunua odds yeye anashirikiana na nani kuelekeza matokeo kwenye sehemu isiyowaumiza wateja wake? Je nini ufanye?⏱️
MNANIELEWA?
Nakuja.
MAGUFULI4LIFE.