Kijana atoa ushuhuda na kusema hatoikaribia Betting tena

Mjanja M1

JF-Expert Member
Oct 7, 2018
3,660
12,306
Anaandika,

Mimi ni kijana wa miaka 20s+ nilifundishwa kubeti mwishoni mwa mwaka 2014 Kama Sio mwanzoni mwa mwaka 2015 nikiwa bado nasoma secondary.

Kabla sijajifunza kubeti nilikua kijana mwenye akili iliyotulia,mipango inayotekelezeka na mwenye future nzuri na yenye tumaini.

Lakini kadri niliyokua nikipata experience katika kubeti ndivyo nilivyoanza kupoteza uelekeo kwa kureplace akili niliyobarikiwa na Mungu with akili ya kamari ( kufanikiwa within a night)

Sitoelezea Sana Ila ieleweke tuu kwamba

Kubeti kumeniharibia maisha, kumeniharibia Mipango, betting imenipa uadui mkubwa na watu wangu wa karibu, betting imenisababishia Madeni ambayo sikuyategemea hii ni kutokana na kubeti mfululizo ndani ya miaka 8-10,

kukiambatana na stress za Hali ya juu huku timu moja ikichana mkeka na kupoteza fedha nyingi ambazo Kama ningezikusanya ningefanya mtaji wa shughuli nyinginezo

Leo hii tarehe 30/1/2024 nimeamua kuachana rasmi na masuala ya kubeti na kamari zote.

Lengo la kuandika huu Uzi ni kuwafikishia ujumbe vijana wenzangu kua wanapoteza muda katika kubeti unless wawe wanafanya Kama starehe tuu Ila Kama wanamalengo ya kutoboa kupitia betting Basi wajue wanapoteza muda

Najua wengi watabeza hatua hii lakini in the long run of successive betting watakuja kukubali kua wanapoteza pesa na muda,ni Bora huo muda wangetumia kufanya shughuli zingine za kimaendeleo kuliko kubeti

Niwashukuru sana tuliokuw pamoja katika kipindi chote cha betting na niwatakie kazi njema Na Mungu awe nanyi, 🙏🙏🙏🙏

Nini maoni yako?
 
I can't be worried about that shit. Life goes on. Man

_20240130_132137.JPG
 
Mi huwa nahisi MUNGU Amenifanyia Favor sana. Nilianza kubeti mwaka 2020 nikawa Addicted sana, nilikuwa nasteki kuanzia 20k kilasiku. Lakini nlikuwa nakula kwa wiki mara 1 au hamna kabisa wakati nabeti kilasiku na sometimes nabeti x2, au 3 per day.

Kwa haraka hadi kufikia mwaka 2021 mwishoni, nlipoteza sio chini ya Million 1. 2022 mwanzoni tu nikaacha kubeti nikawa nasevu hela hadi kufika August 2022. Nikaanzisha biashara ambayo ilinicost sio chini ya 3M.

Nna uhakika kama sio kuacha betting nisingeweza kuanzisha biashara. Thank God, kwani inanipa hela kilasiku. Huwa najiuliza nliwezaje kuchomoka mapema hivo kitu ambacho watu wengi hawawezi.

Alienifundisha tu kubeti had leo anaendelea kuchangia pato la mhindi kilasiku. BETTING NI CHANZO CHA UMASIKINI NA KUKOSA DIRECTION YA MAISHA. Japo sio kwa wote.
 
Anaandika,

Mimi ni kijana wa miaka 20s+ nilifundishwa kubeti mwishoni mwa mwaka 2014 Kama Sio mwanzoni mwa mwaka 2015 nikiwa bado nasoma secondary.

Kabla sijajifunza kubeti nilikua kijana mwenye akili iliyotulia,mipango inayotekelezeka na mwenye future nzuri na yenye tumaini.

Lakini kadri niliyokua nikipata experience katika kubeti ndivyo nilivyoanza kupoteza uelekeo kwa kureplace akili niliyobarikiwa na Mungu with akili ya kamari ( kufanikiwa within a night)

Sitoelezea Sana Ila ieleweke tuu kwamba

Kubeti kumeniharibia maisha, kumeniharibia Mipango, betting imenipa uadui mkubwa na watu wangu wa karibu, betting imenisababishia Madeni ambayo sikuyategemea hii ni kutokana na kubeti mfululizo ndani ya miaka 8-10,

kukiambatana na stress za Hali ya juu huku timu moja ikichana mkeka na kupoteza fedha nyingi ambazo Kama ningezikusanya ningefanya mtaji wa shughuli nyinginezo

Leo hii tarehe 30/1/2024 nimeamua kuachana rasmi na masuala ya kubeti na kamari zote.

Lengo la kuandika huu Uzi ni kuwafikishia ujumbe vijana wenzangu kua wanapoteza muda katika kubeti unless wawe wanafanya Kama starehe tuu Ila Kama wanamalengo ya kutoboa kupitia betting Basi wajue wanapoteza muda

Najua wengi watabeza hatua hii lakini in the long run of successive betting watakuja kukubali kua wanapoteza pesa na muda,ni Bora huo muda wangetumia kufanya shughuli zingine za kimaendeleo kuliko kubeti

Niwashukuru sana tuliokuw pamoja katika kipindi chote cha betting na niwatakie kazi njema Na Mungu awe nanyi, 🙏🙏🙏🙏

Nini maoni yako?
Bet small win big
 
Umesave pesa kiasi gan mpaka uache kubeti, kama huna chochote hapo lazima utarud mchezon tu ni kama unachukua break. Ukitaka kuacha kubet hakikisha una kamilioni pembeni kakuanzisha biashara inayoeleweka
 
Betting ni ya Matajiri sio ya masikini kama nyie ukiiona umeishindwa achana nayo sio uanze kutushauri matajiri tuache betting kisa wewe umepigika achana na habari ya kushobokea biashara usizoziweza betting inahitaji roho ya kitajiri sio ya kimasikini
 
Anaandika,

Mimi ni kijana wa miaka 20s+ nilifundishwa kubeti mwishoni mwa mwaka 2014 Kama Sio mwanzoni mwa mwaka 2015 nikiwa bado nasoma secondary.

Kabla sijajifunza kubeti nilikua kijana mwenye akili iliyotulia,mipango inayotekelezeka na mwenye future nzuri na yenye tumaini.

Lakini kadri niliyokua nikipata experience katika kubeti ndivyo nilivyoanza kupoteza uelekeo kwa kureplace akili niliyobarikiwa na Mungu with akili ya kamari ( kufanikiwa within a night)

Sitoelezea Sana Ila ieleweke tuu kwamba

Kubeti kumeniharibia maisha, kumeniharibia Mipango, betting imenipa uadui mkubwa na watu wangu wa karibu, betting imenisababishia Madeni ambayo sikuyategemea hii ni kutokana na kubeti mfululizo ndani ya miaka 8-10,

kukiambatana na stress za Hali ya juu huku timu moja ikichana mkeka na kupoteza fedha nyingi ambazo Kama ningezikusanya ningefanya mtaji wa shughuli nyinginezo

Leo hii tarehe 30/1/2024 nimeamua kuachana rasmi na masuala ya kubeti na kamari zote.

Lengo la kuandika huu Uzi ni kuwafikishia ujumbe vijana wenzangu kua wanapoteza muda katika kubeti unless wawe wanafanya Kama starehe tuu Ila Kama wanamalengo ya kutoboa kupitia betting Basi wajue wanapoteza muda

Najua wengi watabeza hatua hii lakini in the long run of successive betting watakuja kukubali kua wanapoteza pesa na muda,ni Bora huo muda wangetumia kufanya shughuli zingine za kimaendeleo kuliko kubeti

Niwashukuru sana tuliokuw pamoja katika kipindi chote cha betting na niwatakie kazi njema Na Mungu awe nanyi, 🙏🙏🙏🙏

Nini maoni yako?
Umeanza kujitambua sasa
 
Anaandika,

Mimi ni kijana wa miaka 20s+ nilifundishwa kubeti mwishoni mwa mwaka 2014 Kama Sio mwanzoni mwa mwaka 2015 nikiwa bado nasoma secondary.

Kabla sijajifunza kubeti nilikua kijana mwenye akili iliyotulia,mipango inayotekelezeka na mwenye future nzuri na yenye tumaini.

Lakini kadri niliyokua nikipata experience katika kubeti ndivyo nilivyoanza kupoteza uelekeo kwa kureplace akili niliyobarikiwa na Mungu with akili ya kamari ( kufanikiwa within a night)

Sitoelezea Sana Ila ieleweke tuu kwamba

Kubeti kumeniharibia maisha, kumeniharibia Mipango, betting imenipa uadui mkubwa na watu wangu wa karibu, betting imenisababishia Madeni ambayo sikuyategemea hii ni kutokana na kubeti mfululizo ndani ya miaka 8-10,

kukiambatana na stress za Hali ya juu huku timu moja ikichana mkeka na kupoteza fedha nyingi ambazo Kama ningezikusanya ningefanya mtaji wa shughuli nyinginezo

Leo hii tarehe 30/1/2024 nimeamua kuachana rasmi na masuala ya kubeti na kamari zote.

Lengo la kuandika huu Uzi ni kuwafikishia ujumbe vijana wenzangu kua wanapoteza muda katika kubeti unless wawe wanafanya Kama starehe tuu Ila Kama wanamalengo ya kutoboa kupitia betting Basi wajue wanapoteza muda

Najua wengi watabeza hatua hii lakini in the long run of successive betting watakuja kukubali kua wanapoteza pesa na muda,ni Bora huo muda wangetumia kufanya shughuli zingine za kimaendeleo kuliko kubeti

Niwashukuru sana tuliokuw pamoja katika kipindi chote cha betting na niwatakie kazi njema Na Mungu awe nanyi, 🙏🙏🙏🙏

Nini maoni yako?
Acha ujinga fanya hiv

Burkina Faso Vs Mali =Gg
Morroco vs S Africa = 1Win

Angalizo

Stake high to your own risk 😃
 
Baada ya kufanya research kuhusu mambo yote ya bahati nasibu, niliishia kuwahurumia na kutaman watoke huko
 
Back
Top Bottom