Mzee ulikuja na matusi, na kama kawaida yetu hurudisha mara mbili, halafu no question kuwa wewe ni huu usalama mbuzi wa bongo, I am not mimi sio usalama kama unavyosema mimi ni mwananchi mwenye uchungu na nchi yangu na kwa bahati siku zote ninazo data za yanayofanywa na wakubwa mpaka wadogo wa nchi yetu,
(1). Kwanza ulikuwa unajaribu na bado unajaribu kumuosha huyu mwanamama hapo London, ukweli ni kwamba huyo mama si lolote ni muhuni, na haya mambo ya kujihusisha na kuwaharibia viongozi sio mara yake ya kwanza kwani kule NY pia aliwahi kuhusika na kumuondoa Mzee Nyakyi, tepu zilitolewa na kwenye magazeti ziliandikwa, hilo hukuligusa mzee wa utafiti!
(b). Halafu huyu mwanamama, pia alihusika na zile kesi za upatu zilizowahusisha kina mama Rupia, na wengine wengi hapo bongo, yeye akapona baada ya kuzirudisha zile pesa karibu shillingi millioni 5, hilo vipi?
(c). Huyo mama toka JK apate achaguliwe Dodoma, anapoenda bongo huwa anamuaga nani hapo ubalozini? Mbona huko nyumbani kuna ripoti kwamba hupotea tu na kutokea bongo na hakuna wa kumuuuliza?
(d). Bwana Salva, huyo mama, na RO wanahusika sana na kupandikiza mbegu za fitina against Mzee wangu Kibelloh, lakini kwa bahati nzuri tulishamuonya Mzee Kibelloh mapema toka yule mbunge Nyami alipoenda bungeni kudai hafai na aondolewe kwa sababu anaringa sana, ilibidi tumpelekeee Mzee BM orodha ya wabunge waliopita London kwa mwezi ule alioudai huyu mbunge ambazo zilionyesha kuwa yule mbunge hajawahi kukanyaga London katika maisha yake, ndio maana Mzee Kibelloh anapeta mpaka leo na sasa anahamia Parieeee!
(2). Mwanyika alichaguliwa na rais Mkapa, JK asingeweza kumchagua mwanasheria mkuu, kabla hajaapishwa kuwa rais wa jamhuri nenda uangalie vizuri data, Mwanyka alichaguliwa na rais wa jamhuri kwa mujibu wa sheria, rais hakuwa JK!, halafu kwenye kikao maalumu cha wazee wa nchi wakati JK anadai EL awe PM, kilio chake kilikuwa ni pamoja na kwamba hakumchagua Mwanyika, wala Shein, na bado wanataka kumuongezea wengine akasema siwezi kufanya na mtu yoyote zaidi ya EL!
(3). RO alipewa hiyo kazi kwa shinikizo la rais mtarajiwa ambaye alikuwa bado hajakabidhiwa rasmi madaraka, huyu ndiye aliyemfanyia JK kazi nyingi akiwa London, kwa sababu Mzee Kibelloh sio mtu wa kambi ya JK, hayo niliyasema toka BCS, na hata JK mwenyewe kabla ya kuwa rais, akiwa waziri naye pia alijaribu kila mbinu kmhujumu huyu balozi, lakini akapiga chini maana tulikuwa tunafuatilia kwa makini njama zote against huyo balozi, mpaka memo kadhaa za JK kwa rais BM, kutaka aondolewe zipo lakini ni nyara za serikali, hatuweki hadithi tuuu hapa! RO alikuwa ndiye mtu wake pale, kuanzia vimwana mapaka contact za akina Tido Mhando huko BBC na zile poll za magirini kuwa yeye anaongoza, Je unajua kipindi kile Mzee JM alikuja mara ngapi pale London na huyu RO akajificha kabisaaa hakuonekana?
(4). Hayo maneno ya diplomasia ni upumbavu wa hali ya juu, maana mzee Nyirabu alikataliwa na US lakini serikali ikaweka mguu chini, kwani US ilisema haiwezi kumruhusu balozi ambaye central Benki imeungua under his watch, lakini serikali yetu ikaweka mguu chini kuwa ni huyo tu na akawa? Mbona unataka kuwadanganya watu hapa na diplomasia kama vile hatuijui? Balozi Seif Idd mbona alienda kuwa balozi Uchina na hakipandi kabisaa na sasa ni waziri? Mbona Kissoky alikuwa RC na kilikuwa hakipandi? Muhogo mchungu je?
(5). Hiyo nyumba unasema haijakaliwa toka 1960, je JM alipochaguliwa kuwa PM na kuondoka hapo London, watoto wake wawili waliokuwa wanamalizia shule zao mbona walikaa hiyo nyumba mpaka wakamaliza shule?
(6). Watoto wa rais walialikwa na nani kwenye hiyo party ya Courtyard? Je niynyi watu wa ubalozi mlialikwa? Mbona hili hukuligusa? Huyu mmoja huko Oxford amepelekwa na nani? Na huyu mwingine ile familia ya wazungu inamjuaje mpaka kumleta huko? Na kumlipia kwenye apartment anayokaa sasa baada ya kukataa kukaa nao kwa sababu ya kuwa mbwa? Mbona hayo hujasema? Halafu toka lini mtu wa usalama wakati akisafiri nje ya ubalozi anamuaga balozi? Hiyo system ilianza lini au ni wewe umeianzisha huko London hivi karibuni?
Mwisho ni kwamba wewe ni mjinga na utaendelea hivyo hivyo kupigwa tuu miti na hawa jamaa wenye nguvu lakini masikini ya Mungu hata cheo hawakupi, wanakupiga dana dana, JK ana uzuri wake na matatizo yake mojawapo ni hili la mara tu watoto wameshachukuliwa na kupelekwa na wazungu hata mwaka kwenye urais haujaisha, je miaka kumi ijayo itakuwaje?
wazungu huko walikuwa bado wanajaribu kutafakari juu ya wakili kuwa balozi hapo, sasa hawajakaa vizuri huyooo RO, ndio maana simu zimekuwa zikimiminika huku kuwa eti hiyo kazi yake mpya ni equivalent to CIA, KGB, na M16 au ni tofauti? Ninarudia tena, kuwa RO kama bosi wake mpya uwezo wao ni mdogo, the matter of fact hawana kabisaa, lakini nchi yetu itajiendesha yenyewe bila tatizo kama vile miaka 10 ya Mwinyi, tulijiongoza wenyewe, RO hana kabisaa qualifications alizonazo Mzee anayeondoka tena ni aibu hata kusema kuwa anachukua nafasi ya Mzee anayeondoka, ndio maana hata JK pamoja na hasira naye kipindi chote cha uchaguzi na kuapa kuwa akipata tu atamuondoa kwanza, ilibidi abane mwenyewe na hata kumpa mtoto wake unbunge wa bure, maana huyo alikuwa sio mtu wa mchezo, mwambie RO najua ndiye anayekutuma kuwa hana uwezo wa kuwa SPY CHIEF hana!
Kuhusu tepu zipo na wala hakuna haraka nazo, kwa sababu so far huna ukweli ila ni mtu tu unayetumwa kuja hapa kuwadanganya wananchi, huko nyumbani hakuna biashara mpya, juzi juzi zimetumwa shillingi billioni kila mkoa ili kuanzisha ajira mpya, guess what hizo hela zimeshaanza kuliwa kwani ajira ikishindwa serikali kuu za mikoa zitaweza vipi? Huo ndio tunauita uwezo mdogo alionao kiongozi wetu mpya, pamoja na ahadi nyingi hewa, ndio lakini atatuongoza for the next ten years na pembeni yake wapuuzi kama wewe!