Yaliyomkimbiza Mahiga usalama na nchi kwa ujumla ni majungu kama hayo yako, na sio yeye tu waliowahi kukimbizwa na majungu bongo, kuna kina mzee Masha aliyekuwa katibu wa TANU, akaenda kuwa mkurugenzi wa habari wa UN, Professor Rweyemamu, aliyekuwa mshauri wa rais akaenda kuwa mkurugenzi UN, Nsilo Swai, Mama Tibaijuka, na wengine wengi,
Mahiga hakuomba kwenda UN, isipokuwa serikali yetu ya jamhuri ndiyo iliyokwenda kumuomba rasmi UN, mshahara aliokuwa anapata UN na anaopata sasa hivi ni kechekesho kikubwa, na a big joke!, Na inaoenekana humfahamu maana kwa yeyote anayemfahamu anajua kuwa hana huo ujinga wa kujipeleka magazetini, kwani yeye sio mjinga wa kujua kuwa wanaopewa hizo nafasi sasa hivi ni WAISILAMU,
Kama ni CV, huwezi hata ianguke mvua ya mawe ukamlinganisha Mahiga na RO, Mahiga ni Mwalimu wa Mlimani, akawa Mwalimu tena Canada, Mahiga ni former Director of Administration wa usalama bongo, Mahiga ni Mtanzania wa kwanza duniani kuwa Director wa UN, Refugeees in Europe,
I do not remmember hata siku moja nchi yetu ilitaka kupinduliwa kwa sababu ya Mahiga kuwa usalama, ninajua kuwa ilitaka kupinduliwa na watu waliokuwa na problem na siasa za Mwalimu lakini sio Mahiga, unless unataka kusema kuwa wanajeshi walipotaka kuleta vurugu ile miaka ya 60s ilikuwa ni kwa sababu ya Mahiga? Au unataka kusema kina Ngaiza, Bayona na wengine walikuwa na beef na Mahiga? Hilo nilikuwa silijui na hakuna history ya bongo mahali popote inayo-suggest hivyo,
Halafu Mkapa unayemsifia kuwa alikuwa babu K, ilikuwaje akaenda kumuombea Mahiga UN, kwa niaba ya jamhuri yetu, kiongozi bomu kiasi hicho kuwa balozi wetu UN, na mpaka kuwa Mwenyekiti Wa Baraza la Usalama La Dunia? Kiongozi kama Mahiga, ambaye ameweza kuliendesha Baraza La Usalama La Umoja Wa Mataifa, UN na kuliletea sifa za ajabu taifa letu leo hawezi kuwa mkuu wa usalama wa bongo? Are you serious au unatania?
Mtanzania wa mwisho kushika nafasi hiyo ya Mahiga Mzee Salim he almost became katibu mkuu wa UN, na akaja kuwa PM, baadaye Waziri wa Ulinzi, na hata kuwa Katibu wa OAU, leo utamlinganisha Mahiga na Othman? You must be kidding? Kama ni umri ninajua umri wa ku-retire serikalini hata wa rais wetu mpya unazidi, vijana ni kina Sumaye, Freeman, Masha, Nchimbi, JJ, lakini sio JK, RO, wala Mahiga, kwa hiyo hiyo hoja ya umri ni empty kabisaaaa,
Wewe tuwekee CV ya Othman jinsi alivyosoma masters huko UK, na ni lini alichaguliwa kuwa msaidizi wa Abson, kwani ninajua kuwa mpaka wakati wa uchaguzi mwaka jana alikuwa agent mdogo sana pale London, je amekuwa msaidizi kwa muda gani? Abson amekuwa msaidizi toka enzi za Mwinyi, akafanyiwa majungu kibao wakati wa Mwinyi ili apewe Muisilamu, na kweli Mwinyi akaamua kumhamishia u-China, ndipo wazee wa nchi wakamuita Mwinyi na kumuonya aache huo ujinga mara moja, ndipo Mzee Abson amabye alikuwa amebakiza siku mbili kwenda u-China akaambiwa haendi huko na atakuwa Director mpya, wakati wa Mkapa alikuwa anajitayarisha ku-retire, mkapa tena akaonywa na kumuacha mapaka mwisho, JK alimtaka akae kwa miaka miwili lakini akakataa na kumwambia August 1, ndio ungekuwa mwisho wake, sasa utamlinganisha vipi Othman na hawa wazee kina Abson na Mahiga?
Othmasn alirukaje toka u-Agent wa kawaida kule London mpaka kuja kuwa Assistant wa Director bongo, mpaka leo kuwa Director? Wakati mwaka jana October alikuwa agent wa kawaida ule London, yaani between October mwaka jana na leo August, miezi kumi tu tayari ameshakuwa good enough kuwa Assistant Director na leo kuwa Director kamili?
Kama sio mazingaombwe ni nini? Nyinyi mnaokuja kutafuta heshima humu you have a long way to go mimi ninakuja kulichangia taifa langu, na wala sio heshima ninamwaga vitu and let the chips fall where they may, waziri alijaribu kila njia kumuondoa Kibello pale, hilo linathibitishwa na ukweli kwamba hawa kina Nyami walipokuja juu kule bungeni, waziri wa nje alinyamaza kimyaa badala ya kumtetea mtu wa wizara yake, hayo ndiyo yaliyotusaidia kumtetea mbele ya Mkapa, baadaye akamletea issue ya nyumba, nayo hivyo hivyo ushahidi ukaonyesha kuwa hiyop nyumba ilikuwa chini ya usalama na hasa Othman, nayo pia tukampelekea Mkapa kesi ikafa kinyemela, Jk leo ameshindwa kumuondoa kwa sababu moja kubwa nayo kazi aliyomuomba ya kumsaidia Shija kuingia Commonwealth ambayo yeye JK alikuwa ameshinikizwa na Mtandao wenziwe, manake Shija ni mtu wa karibu na Diallo, na Karimagi, na wala sio kitu chochote kingine kwani the next opportunity atamrudisha bongo kama mbwa, hilo tunajua bro, ndio maana kwa maneno ya majungu ni kweli Kibello hafai, lakini inapokuja kwenye Maandishi na Facts zinazohusu kazi iliyompeleka huko ogopa, hamna kitu bro!
Othman pamoja na kupewa hiyo kazi, ninarudia kuwa hana uwezo wa kuifanya ipasavyo, na ninasema kuwa hana qualifications za kutosha na huko Usalama kuna watu wanazo za kumzidi isipokuwa amepewa tu kwa kujuana na JK, ana alikwisha muahidi mapema kwani yeye Othman alishasema mara nyingi kwenye viwanja, kwa mara ya kwanza ilisemwa kule BCS, mwaka jana wakati bado akiwa London, tafadhali nenda kule utayakuta!
Tepu unazozililia sina sababu ya kuzito, nilikuwa ninasubiri vitu vyako kwanza na hamana kitu bro, ndio maana wanabodi humu umewaona kuwa biased maana kama mimi hawajaona kitu na bado tunaendelea kuwapotezea muda uless tutaweka CV ya Mzee anayekutuma Othman, hebu mwambie akupe uiweke hapa!