Mchango wako wa tatu unaanza kuelekea kuielewa hii forum sasa,
Mzee Salim ana Degree ngapi? Lakini amesoma wapi, hiyo kusoma kwa akina Nchimbi ndio utamlinganisha na Mahiga ambaye ameshakuwa Professor Canada, na Mlimani? Na Director wa Wakimbizi Europe?
Please leave Mahiga alone, huyo ni moto wakuotea mbali Tanzania ingekuwa na viongozi WATANO TU! kama yeye nchi ingesogea mbele tena sana, ndio maana yeye pamoja na kutokuwa na kambi yoyote kati ya kambi za siasa bongo, bado JK hana hata mpango wa kumuondoa pale maana huyo ni BABU KUBWA, miaka 61 ndiyo miaka inayotakiwa kwa kiongozi wa uasalama wa nchi au SPY CHIEF, je Negroponte ambaye sasa ndiye boss wa Usalama Us ana umri gani? Wewe umewahi kumuona Mahiga, ni mtu anaonekana kijana mdogo licha ya umri wake kwenye numbers, halafu huyu Mahiga hufanya kazi at least masaa 16 kwa siku kule kwenye baraza la usalama alipokuwa mwenyekiti, itakuwa bongo, huyu mzee ameiletea Tanzania heshima mpya kabisaa Bongo kule UN, yaani do not even go there bro, kwa Mahiga NY sasa hakuna majungu tena wala uswahili swahili wa balozi aliyepita!
RO alikwenda US kabla JK hajawa rais, akiwa bado stationed London mtu wa usalama wa NY yule Mhaya (ambaye sasa amehamishiwa London, na hivi ninavyoandika yuko bongo), alikuwa amesafiri, na kwa sababu Mkapa akiwa rais alikuwa anaenda kwenye GA NY, ndio RO akaombwa aende kule kumsimamia, hakuenda JK akiwa rais kwa sababu kwa taarifa yako JK hajawahi kukutana na wananchi wa NY toka awe rais, kwa hiyo mzee umechanganya FACTS hapo, na alipokwenda siku ya mkutano ndipo akawa anajiweka weka sehemu za kutafuta attention na ku-act very childish, to the point hata mimi nilikuwepo kwenye huo mkutano ndio nikamjua kwa mara ya kwanza kwamba ni usalma anatoka London, kwa taaraifa yako pale kwenye mkutano kulikuwa na usalama kibao ambao walikuwa wame-cool, wala usingweza kuwajua!
JK hela ya kuwasomesha watoto akiwa waziri hakuwa nayo, isipokuwa ya kuwahonga kina Honeymoon hiyo kweli, ndio kwanza juizi wamechukuliwa na wazungu huko UK, mmoja amepelekwa Oxford, mmoja akapelekwa kwa wazungu kuishi, akakuta wanaishi na MBWA ndani ya nyumba akakataa kuwa hawezi kuishi na MBWa, ndio wazungu wamemuhamishia kwenye apartment wanayomlipia, na ni hao wazungu waliowaalika watoto hao juzi kwenye hafla ya Courtyard, ambayo balozi alihudhuria, lakini hakuna ofisa wa hapo aliyealikwa. Huko kwenye hafla kulikwa na wawekezaji kibao wa bongo hasa wahindi, ambao watoto wa JK wakiwepo walitulia kimya wakati huyu mkubwa akijigamba jinsi anavyofanya kazi sana na kwamba baba yake hana mfano kwa kazi, walipoondoka tu huku nyuma waliwaachia wawekezaji kichekesho, tena jaribuni kuwafundisha namna ya ku-behave mbele ya wazungu ambao wanajua kila kitu ndani ya bongo, halafu unajaribu kuwadanganya, huu uhusiano na hawa wazungu JK ameuanza lini?
Mzee Kibelloeh amefanya kazi nzito sana hapo katika kuisadia Tanzania, I must admit kwa wananchi wengi wenzangu humu na pengine kuwa Kibelloh hata siku moja hana appeal nzuri kwa wananchi wa kawaida, hilo siwezi kumtetea, lakin I am proud kusema kuwa ametujengea heshima kubwa sana na wawekezaji, ndio maana huu mwezi mzima wazungu wamekuwa wakimuita kila kona kumuaga, huyu mzee amepigana mpaka Mzee Shija amepewa kazi nzito akiwa mwafrika wa kwanza kupewa kazi hiyo Commonwealth, halafu angalia historia je ni viognozi gani waliwahi kuwa mabalozi London kutoka Bongo,
Nsekela - Director National Bank,NBC
Nyakyi - Katibu Mkuu Foreign,
JM - Foreign Minister,
Mchumo - Minister Industries and Commerce,
Dr. Shariff - Director ZNZB
Kibelloh - Katibu Mkuu foreign,
Hii ni kukuonyesha kuwa hicho kituo sio cha mchezo kiasi sasa cha kupeleka Private Advocate, wewe huoni kuwa hiyo ni a big joke? Yaani inaonyesha huko Dar kuna uongozi mpya wa aina gani kama sio uozo?
Kwa kumaliza ninasema hivi, niyinyi tuchezeeni tu Watanzania, ila siku ya siku itakapofika wewe na hao viongozi wanaoukutuma mtashangaa kuwa wananchi wanyonge tuna ushahidi wa kutosha wa kuwahukumu kuwatundika risasi pale Sanamu monument!
Anyway this time mchango wako wa tatu was better kuliko ile miwili ya mwanzo, karibu bro na this was a great debate now as usual nina move forward na next topic!