Mzee FD,
Huyo mwanamama alikuwa NY wakati mmoja,na tayari amemletea madhara mshikaji wangu mmoja kule kwa wewe ndiye ufanye taratibu, uanachama wa mtu hapa haubadili kitu au una maana rais Kikwete akiwa mwanachama hapa basi tuache kumuongelea? Na unajuaje kuwa sio mwanachama hapa? Mzee mbona huelewi tunapokwambia ufikiri kabla ya kuandika humu?
Mzee Ogah,
Ndio nilisema huko nyuma kuwa baada ya Mtandao kupewa vyeo, kinachofuatia ni vyeo nyeti na watakaopewa ni kina Mapuri's type, yaani Said Mwema ( Shemeji wa Rais wetu), Najeer (Kimwana), Makamba, na sasa Othman, sasa subiri Mkuu wa majeshi!
Mzee Sam,
Ninaziona emmotions kwenye posting yako, mzee yanayoendelea sasa hivi ni ukweli sio ndoto, au hadithi, ni lazima tukubali ukweli kwamba tumechagua a popular rais, with no record. Lakini at the same token ni lazima tukubali kwamba JK alishinda urais kutokana na kuziweza mbinu za wakati huu, yaani everything he did ni what was neeeded kwa wakati huu, yaani our time, kule US wanaita time ya Baby boomers! Ninakumbuka the shock ya baadhi ya wananchi na viongozi pale JK alipopitishwa kule Dodoma, unafikiri ni kwa nini walipata shock?
Ni kwa sababu walikuwa wanajua what was coming!, We have another 10 years of this, so fasten your belt!