johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,028
- 142,088
Niko naipitia CV ya mwenyekiti wa Chadema mh Freeman Mbowe kiukweli ina mambo ya kufurahisha, kushangaza, kustaajabisha na ina mengi ya kujifunza
Kuna Wakati Freeman Mbowe amekuwa akiwaongoza Mawaziri Wakuu Wastaafu Wawili kwa Wakati mmoja mzee Lowasa na Mzee Sumaye
Mbowe ni Boss wa Mzee Marando
Mbowe amekuwa Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni kwa miaka 10
Mbowe alikuwa Dubai wakati Shujaa Magufuli anafariki na aliporejea alikamatwa na kufunguliwa Kesi ya Ugaidi
Mbowe alidaiwa kupanga Njama za kumuua.DC.Ole Sabaya lakini Ole Sabaya ndiye akaja kuhukumiwa kifungo au Faini Baada ya kubainika ni Jambazi linalotumia Silaha
Na Yeye Mbowe alifutiwa Mashtaka ya Ugaidi na kualikwa Ikulu kwa mazungumzo na Rais wa JMT
Bado nasoma hii historia ya Freeman ila kiufupi Huyu Mwamba anastahili kutunukiwa PhD ya Heshima
Mlale Unono 😀😀😀
Kuna Wakati Freeman Mbowe amekuwa akiwaongoza Mawaziri Wakuu Wastaafu Wawili kwa Wakati mmoja mzee Lowasa na Mzee Sumaye
Mbowe ni Boss wa Mzee Marando
Mbowe amekuwa Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni kwa miaka 10
Mbowe alikuwa Dubai wakati Shujaa Magufuli anafariki na aliporejea alikamatwa na kufunguliwa Kesi ya Ugaidi
Mbowe alidaiwa kupanga Njama za kumuua.DC.Ole Sabaya lakini Ole Sabaya ndiye akaja kuhukumiwa kifungo au Faini Baada ya kubainika ni Jambazi linalotumia Silaha
Na Yeye Mbowe alifutiwa Mashtaka ya Ugaidi na kualikwa Ikulu kwa mazungumzo na Rais wa JMT
Bado nasoma hii historia ya Freeman ila kiufupi Huyu Mwamba anastahili kutunukiwa PhD ya Heshima
Mlale Unono 😀😀😀