Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,095
- 828,916
- Thread starter
- #81
Reply yako imeniacha na maswali mengi kuanzia uandishi, aina ya lugha uliyotumia mpaka mafanikioMimi nimesoma kwa Ras simba Mwaka 2015 ,alinitoa kwenye Giza Nene .Ras simba anafundisha mfumo wa man tu man,anawalimu wengi kila mwanafunzi anakuwa na mwalimu wake kwa kila unit,ukitaka kwenda unit nyingine lazima upass mtiani,walimu wake Wana uvumilivu wa hari ya huu sana wanaweza kukufundisha unit moja hata mara kumi ilimradi mwanafunzi anafauli akuna kupitishana mpaka aelewe,kingine kama mwanafunzi anakichwa ngumu anapewa special class yani kama kalipia Laki 2,anaongeze laki moja anasoma darasa la muda mrefu mpaka miezi 6,
Kwa upande Wangu amenisaidia sana kwa nilipata Kazi ya kufundisha English Chuo cha veta ,nilijaribu kujilinganisha na mwalimu wa English hawanifiki hata kidogo,Pili nilifanikiwa kupata job Japan ,kwa sasa nipo Japan nikirudi bongo lazima nimtafute
Hii ni reply yako ya pili tangu ujiunge JF mwaka 2014 bado nazidi kuwa na maswali
kwa kanuni za ajabu
ama backup
