macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 28,228
- 56,847
mshana jr . Mimi sitajadili ujumbe ulio kwenye tangazo kuwa ''usipojua kiingereza kwa fedha'' bali nataka kujadili kipengele cha punguzo la laki tano kwenda laki mbili. Hizi kwenye biashara wanaita ''psychological prices''. Ni mbinu za kufanya mnunuzi avutiwe na bidhaa kwa kuona kuwa amepunguziwa! Unajua hata dukani ukiweka label ya bei kuwa bidhaa lilikuwa sh 10,000 lakini sasa ni sh 7500 wanunuzi watafuvutiwa zaidi. Au label ya bidhaa inaandikwa sh 9,999 badala ya 10,000. Ni mbinu tu ya biashara na inakubalika!Kinachokera radio za kidini ndio zinarusha haya matangazo
ulishawahi kufika Mabwepande?