KWA KUJIFUNZA LUGHA INAWEZEKANA HATA KAMA HUJAPITIA CHEKECHEA ACHIA MBALI LA PILI MKUUAnasema utajua kingereza hata kama una kichwa kigumu ,,,, yaaan umeishia darasa la pili
Nazo ni bei ya chini so wamekutana..!!Kinachokera radio za kidini ndio zinarusha haya matangazo
Laki 5 kwa muda gani?Laki tano kama sikosei,
la saba utapigwa usaili ukiweza unaenda ukibuma wanakwambia kajipige msasa kidogo kisha urudi tena.
Wanazingatia, Kusikia na kuelewa, sasa kama huelewi hata kidogo kinachozungumzwa, darasa lazima liwe gumu.
Bila kumsahau shiloleUmitaka kujua anajua au hajui waangalie The Comedy ya kina Masanja maana wote wamepita kupigwa msasa kwa Ras Simba
Angalia jinsi ras simba anavyo fundisha hapo
, Wabongo wakiaamua kitu hawashindwi.Miezi Mitatu.Laki 5 kwa muda gani?