Raisi hana uwezo wa kuongelea au kukemea mauwaji na utekaji na ufisadi yeye ni kuwatetea watu hao na kurusha lawama kwa wanao shauri.

Raisi hana uwezo wa kuongelea au kukemea mauwaji na utekaji na ufisadi yeye ni kuwatetea watu hao na kurusha lawama kwa wanao shauri.

Genius Man

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2024
Posts
3,560
Reaction score
7,914
Nimemfuatilia hotuba zake sioni hoja za msingi wala sera zenye tija kwenye nchi yetu.

Raisi hana uwezo wa kuongelea au kukemea mauwaji na utekaji na ufisadi yeye anaonekana kuwatetea watu hao na kurusha lawama kwa wanao shauri na kukemea mambo hayo.

Nashauri raisi samia asigombee miaka mingine awaachie wengine waongoze nchi, sasa anaenda kufanya nini tena ikulu ?
 
Nimemfuatilia hotuba zake sioni hoja za msingi wala sera zenye tija kwenye nchi yetu.

Raisi hana uwezo wa kuongelea au kukemea mauwaji na utekaji na ufisadi yeye anaonekana kuwatetea watu hao na kurusha lawama kwa wanao shauri na kukemea mambo hayo.

Nashauri raisi samia asigombee miaka mingine awaachie wengine waongoze nchi, sasa anaenda kufanya nini tena ikulu ?
Anawezaje kukemea majambazi wake mwenyewe?
 
Labda wana nguvu kubwa wanaweza kumjeruhi na yeye
 
Nashauri raisi samia asigombee miaka mingine awaachie wengine waongoze nchi, sasa anaenda kufanya nini tena ikulu ?
Tatizo hakuna wa kumfunga paka kengele.
Walio karibu naye wanamshauri kuwa anapendwa sana!
 
Nimemfuatilia hotuba zake sioni hoja za msingi wala sera zenye tija kwenye nchi yetu.

Raisi hana uwezo wa kuongelea au kukemea mauwaji na utekaji na ufisadi yeye anaonekana kuwatetea watu hao na kurusha lawama kwa wanao shauri na kukemea mambo hayo.

Nashauri raisi samia asigombee miaka mingine awaachie wengine waongoze nchi, sasa anaenda kufanya nini tena ikulu ?
Mm mpaka kesho nitamlaumu sana Magufuli ametuachia matatizo makubwa sana,angalia Bunge lililopo na nn linajadili yaani as if wote walio nje ya bunge hawana Akili ila akina Msukuma darasa la saba,mm naamini kama Taifa na tujilaumu sisi wakristu kwa waislamu kumuachia mwanamke kuongoza Taifa.Ndio maana wataalam wanakwambia ni bora uchawi wa mwanaume una huruma kuliko wa mwanamke..
 
Atakemea vipi wakati anataka wanokosoa kama inawezekane waangamizwe na mungu, haya anayasema akiwa hadharani, je akiwa huko ikulu unafikiri anatoa amri gani (wapotezeni)????!!
Hata yule aliyesema kenge wamalizwe ndiyo kauli yao, think kauli za Mh. Mchengerwa, they’re on killing spree!!!
 
Nimemfuatilia hotuba zake sioni hoja za msingi wala sera zenye tija kwenye nchi yetu.

Raisi hana uwezo wa kuongelea au kukemea mauwaji na utekaji na ufisadi yeye anaonekana kuwatetea watu hao na kurusha lawama kwa wanao shauri na kukemea mambo hayo.

Nashauri raisi samia asigombee miaka mingine awaachie wengine waongoze nchi, sasa anaenda kufanya nini tena ikulu ?

njinjo, Lucas Mwashambwa, Tlaatlaah na wale wengine, watapinga.
 
Back
Top Bottom