Aliwakaribisha mpaka ikulu kunywa juisi lakini hawakuacha kumharibia;
1. Serikali ilipowaambia wananchi 'tufanye hivi, wao dakika hiyohiyo walipita na, kwa ubabe mkuu, wakasema 'msifanye hata kidogo'. Watz, wengi wao, ni wasioona mbali, hawakufanya na maendeleo yakadorora.
2. Wafanyakazi, hususani madaktari na wanafunzi, hususani wa vyuoni wakahamasishwa waandamane kila siku, kazi zikawa hazifanyiki, serikali ikatikisika, almanusra ishindwe.
3. Adabu ikatoweka, serikali ikaitwa legelege. Sitosahau 'watoto' wa chuo kikuu cha Dar es Salaam walivyomdhalilisha kikwete kwa kumtupia mawe na kumzomea mbele ya wageni, how furious Museveni was! Sitosahau maandishi makubwa yaliyoandikwa barabarani pale Dar, KIKWETE NCHI IMEKUSHINDA.
JPM, akijifunza kutoka kwa Kikwete, alijua kuwa kwa kucheka na nyani hawa, ni mabuaxpekee ndicho atakachovuna akawakunjia sura, no juice ikulu no kuwachekechekea. NI KAZI TU. Aliyekuwa hampendi JPM ndani ya ccm alishindwa kupitisha taarifa zake huko upinzanini sababu hakukuwa na nafasi ya kubwabwaja.
Matokeo? Kazi zikafanyika kwa raha zake; wasaidizi wakajifanyia kazi zao kwa raha mustarehe bila kulazimika kuzuia maandamano. Of course hofu ilikuwa kwa jpm tu mwenyewe ukitembelewa naye.
Miradi ulioachiwa unaiendeleza vizuri tu, kuna wachache tu wenye matatizo ya kijinsia ndiyo wanajifanya hawaioni, hofu yangu, wak8anza hao kupita mabarabarani humu basi wafanyakazi watalazimika kusubiri masaa kadhaa yapite maandamano yao kabla ya kufika kazini. Hapo delayment iliyosababishwa nao itakugeukia wewe. HAJAFANYA CHOCHOTE!
1. Serikali ilipowaambia wananchi 'tufanye hivi, wao dakika hiyohiyo walipita na, kwa ubabe mkuu, wakasema 'msifanye hata kidogo'. Watz, wengi wao, ni wasioona mbali, hawakufanya na maendeleo yakadorora.
2. Wafanyakazi, hususani madaktari na wanafunzi, hususani wa vyuoni wakahamasishwa waandamane kila siku, kazi zikawa hazifanyiki, serikali ikatikisika, almanusra ishindwe.
3. Adabu ikatoweka, serikali ikaitwa legelege. Sitosahau 'watoto' wa chuo kikuu cha Dar es Salaam walivyomdhalilisha kikwete kwa kumtupia mawe na kumzomea mbele ya wageni, how furious Museveni was! Sitosahau maandishi makubwa yaliyoandikwa barabarani pale Dar, KIKWETE NCHI IMEKUSHINDA.
JPM, akijifunza kutoka kwa Kikwete, alijua kuwa kwa kucheka na nyani hawa, ni mabuaxpekee ndicho atakachovuna akawakunjia sura, no juice ikulu no kuwachekechekea. NI KAZI TU. Aliyekuwa hampendi JPM ndani ya ccm alishindwa kupitisha taarifa zake huko upinzanini sababu hakukuwa na nafasi ya kubwabwaja.
Matokeo? Kazi zikafanyika kwa raha zake; wasaidizi wakajifanyia kazi zao kwa raha mustarehe bila kulazimika kuzuia maandamano. Of course hofu ilikuwa kwa jpm tu mwenyewe ukitembelewa naye.
Miradi ulioachiwa unaiendeleza vizuri tu, kuna wachache tu wenye matatizo ya kijinsia ndiyo wanajifanya hawaioni, hofu yangu, wak8anza hao kupita mabarabarani humu basi wafanyakazi watalazimika kusubiri masaa kadhaa yapite maandamano yao kabla ya kufika kazini. Hapo delayment iliyosababishwa nao itakugeukia wewe. HAJAFANYA CHOCHOTE!