Rais wa Zanzibar, Dkt. Mwinyi anatangaza Baraza jipya la Mawaziri. Hakuna Manaibu Waziri

Una ufahamu wa ukubwa wa mkoa wa Lindi?
Eneo la mkoa wa Lindi lina Ukubwa: 66,040 km²

Zanzibar (Unguja na Pemba na visiwa vyote) ina ukubwa wa eneo la
2,462 km2

Nikueleze tu Lindi ni kubwa mara 26.8

Kwa lugha rahisi kwa wasiojua hesabu ni kuwa kuna Zanzibar 26 ndani ya Mkoa wa Lindi.
Zanzibar yote ni kama mara mbili ya mkoa wa Dar es Salaam yenye ukubwa wa kilometa za mraba 1,393.

Je comoro, maldives, brunei to name few do u know how big are they? Ni nchi kamili hizo
 
ACT watakuwemo ndani ya serikali ya Zanzibar.
Chadema watakuwemo kwenye serikali ya Armstadam.
 
Natumai JPM atasaidia awamu hii kutimiza ndoto tuwe taifa moja chini ya serikali moja,tuungane kwa dhati na ndugu zetu.
kweli iwe nchi moja maana ake wazanzibar wa ccm ndio wenye nchi sisi wengine ndio wengi ila hatuna akili....ila wakati utasema
 
Kama Seif na watu wake wakikubali kujiunga kwenye Serikali ya Umoja wa Kitaifa naona bora safari hii wachukue na kadi za CCM kabisa, ili next time wasiwasumbue wananchi kwenda kupiga kura na kuwasababishia makovu na vilema.
Hitaji la katiba
 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa baraza la 'Mapinduzi'

Baraza la 'Mapinduzi' halijawahi kufanya Makosa tangu 1964

Ni baraza la mawaziri? Au baraza la mapinduzi? Ni mawaziri? Au wajumbe wa baraza la mapinduzi?
 
Je comoro, maldives, brunei to name few do u know how big are they? Ni nchi kamili hizo
Well, the discussion is not on Zanzibar's sovereignty. The issue here is the size of Zanzibar archipelago in comparison to Lindi Region.
As far as Primary school is concerned, in 1964 two countries Zanzibar and Tanganyika formed the United Republic of Tanzania ( Nadhani ni somo la Uraia darasa la tano).
Since you have asked if I know the size of Comoro, MALDIVES and Brunei....
1. Comoro - kilometa za mraba 1,861
2. Maldives - kilometa za mraba 300
3. Brunei - kilometa za mraba 5,765

Uwepo wa nchi huwa hauamuliwi na ukubwa wa eneo lake.
 
Back
Top Bottom