Rais wa Zanzibar, Dkt. Hussein Mwinyi amshukuru Rais Samia Suluhu na IMF

===
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe Hussein Ally Hassan Mwiny amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano Mhe Samia Suluhu Hassan kwa Upambanaji wake kwa Taifa lake la Tanzania na kumtaka aendelee hivyohivyo kuumizwa na umasikini wa watu wake anaowaongoza toka pande zote za Muungano,
===
"Tumepata bahati ya kupata mkopo wa IMF dola za Marekani milioni 100 sawa na bilioni 230, nimshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuhakikisha serikali ya Zanzibar inapata mgao wake katika mkopo ule wa trilioni 1.3 uliokopwa na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania" -Rais Hussein Mwinyi


VIVA SAMIA VIVA ||VIVA MWINYI VIVA
Safi sana hii, Tanzania nakupenda sana,

Hakuna Kama Rais Samia😍😍
 
===
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe Hussein Ally Hassan Mwiny amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano Mhe Samia Suluhu Hassan kwa Upambanaji wake kwa Taifa lake la Tanzania na kumtaka aendelee hivyohivyo kuumizwa na umasikini wa watu wake anaowaongoza toka pande zote za Muungano,
===
"Tumepata bahati ya kupata mkopo wa IMF dola za Marekani milioni 100 sawa na bilioni 230, nimshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuhakikisha serikali ya Zanzibar inapata mgao wake katika mkopo ule wa trilioni 1.3 uliokopwa na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania" -Rais Hussein Mwinyi


VIVA SAMIA VIVA ||VIVA MWINYI VIVA
Safi sana hii, Tanzania nakupenda sana,

Hakuna Kama Rais Samia😍😍
 
unapowaza mgawanyiko wa Tanganyika katika kanda mbalimbali (ambalo si rahisi), waza pia mgawanyiko wa wapemba na waunguja (upo mpaka sasa), Mgawanyiko huu wa Zanzibar umefichwa tu na Muungano
Upemba upo wapi na uunguja ? na hawa watu wameowana na wote ni waislamu. ? Uunguja na upemba upo kwa watu kutoka Tanganyika waliovamia Unguja na ambao ndio waliletwa na Nyerere kupindua na hivi Sasa wanaletwa Na CCM kulinda uvamizi Na Mapinduzi Yao Na Muungano
Watu hawa hawana makwao hapo Unguja na Pemba pia , ili ku survive ndio wanajaribu kuleta hizi fitina Za uunguja Na upemba na hawafanikiwi
 
===
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe Hussein Ally Hassan Mwiny amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano Mhe Samia Suluhu Hassan kwa Upambanaji wake kwa Taifa lake la Tanzania na kumtaka aendelee hivyohivyo kuumizwa na umasikini wa watu wake anaowaongoza toka pande zote za Muungano,
===
"Tumepata bahati ya kupata mkopo wa IMF dola za Marekani milioni 100 sawa na bilioni 230, nimshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuhakikisha serikali ya Zanzibar inapata mgao wake katika mkopo ule wa trilioni 1.3 uliokopwa na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania" -Rais Hussein Mwinyi


VIVA SAMIA VIVA ||VIVA MWINYI VIVA
Wazalendo wa Muungano
 
===
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe Hussein Ally Hassan Mwiny amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano Mhe Samia Suluhu Hassan kwa Upambanaji wake kwa Taifa lake la Tanzania na kumtaka aendelee hivyohivyo kuumizwa na umasikini wa watu wake anaowaongoza toka pande zote za Muungano,
===
"Tumepata bahati ya kupata mkopo wa IMF dola za Marekani milioni 100 sawa na bilioni 230, nimshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuhakikisha serikali ya Zanzibar inapata mgao wake katika mkopo ule wa trilioni 1.3 uliokopwa na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania" -Rais Hussein Mwinyi


VIVA SAMIA VIVA ||VIVA MWINYI VIVA
Muungano wetu daima
 
===
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe Hussein Ally Hassan Mwiny amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano Mhe Samia Suluhu Hassan kwa Upambanaji wake kwa Taifa lake la Tanzania na kumtaka aendelee hivyohivyo kuumizwa na umasikini wa watu wake anaowaongoza toka pande zote za Muungano,
===
"Tumepata bahati ya kupata mkopo wa IMF dola za Marekani milioni 100 sawa na bilioni 230, nimshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuhakikisha serikali ya Zanzibar inapata mgao wake katika mkopo ule wa trilioni 1.3 uliokopwa na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania" -Rais Hussein Mwinyi


VIVA SAMIA VIVA ||VIVA MWINYI VIVA
Click to expand...
Kwa kazi hizi huyu mama ajengewe Mnara pale Dodoma ili kumuenzi,

Haya mambo anafanya hayakutegemewa kabisa hata siku moja,

Hongera Sana Rais Samia
 
===
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe Hussein Ally Hassan Mwiny amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano Mhe Samia Suluhu Hassan kwa Upambanaji wake kwa Taifa lake la Tanzania na kumtaka aendelee hivyohivyo kuumizwa na umasikini wa watu wake anaowaongoza toka pande zote za Muungano,
===
"Tumepata bahati ya kupata mkopo wa IMF dola za Marekani milioni 100 sawa na bilioni 230, nimshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuhakikisha serikali ya Zanzibar inapata mgao wake katika mkopo ule wa trilioni 1.3 uliokopwa na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania" -Rais Hussein Mwinyi


VIVA SAMIA VIVA ||VIVA MWINYI VIVA
Kazi nzuri viongozi wangu
 
Kazi nzuri viongozi wangu

Kazi nzuri sana hii hapa


Ghana, Tanzania, Ethiopia and 30 others are on the World Bank's heavily indebted poor countries' list​


Emmanuel Abara Benson

November 12, 2021 10:59 AM



Poorest countries in Africa in 2021


Poorest countries in Africa in 2021


  • The heavily indebted poor countries' list is a joint initiative by the World Bank and the International Monetary Fund.
  • The aim of the initiative is to ensure that no poor country in the world ever faces a debt burden it cannot manage.
  • Out of 36 countries on the list, African countries dominate.

There are currently about 34 African countries on the World Bank and IMF's heavily indebted countries' list, according to data obtained by Business Insider Africa.



Among these heavily indebted poor countries are: Ghana, Tanzania, Ethiopia, Benin, Burkina Faso, Burundi, Cameroon, Central African Republic, Chad, Comoros Islands, Democratic Republic of Congo and Republic of Congo. Others include: Ivory Coast, Eritrea, Ethiopia, Gambia, Guinea, Guinea-Bissau, Liberia, Madagascar, Malawi, Mali, Mauritania, Mozambique, Niger, Rwanda, Sao Tome and Principe, Senegal, Sierra Leone, Somalia, Sudan, Tanzania, Togo, Uganda and Zambia.

The heavily indebted poor countries' list is a joint initiative by the World Bank and the International Monetary Fund (IMF) which was launched in 1996. According to information obtained from the IMF fact sheet, the aim of the initiative is to ensure that no poor country in the world ever faces a debt burden it cannot manage.

1636866626091.gif


1636866626251.gif


1636866626385.gif
 
Kazi nzuri sana hii hapa


Ghana, Tanzania, Ethiopia and 30 others are on the World Bank's heavily indebted poor countries' list​


Emmanuel Abara Benson

November 12, 2021 10:59 AM



Poorest countries in Africa in 2021


Poorest countries in Africa in 2021


  • The heavily indebted poor countries' list is a joint initiative by the World Bank and the International Monetary Fund.
  • The aim of the initiative is to ensure that no poor country in the world ever faces a debt burden it cannot manage.
  • Out of 36 countries on the list, African countries dominate.

There are currently about 34 African countries on the World Bank and IMF's heavily indebted countries' list, according to data obtained by Business Insider Africa.



Among these heavily indebted poor countries are: Ghana, Tanzania, Ethiopia, Benin, Burkina Faso, Burundi, Cameroon, Central African Republic, Chad, Comoros Islands, Democratic Republic of Congo and Republic of Congo. Others include: Ivory Coast, Eritrea, Ethiopia, Gambia, Guinea, Guinea-Bissau, Liberia, Madagascar, Malawi, Mali, Mauritania, Mozambique, Niger, Rwanda, Sao Tome and Principe, Senegal, Sierra Leone, Somalia, Sudan, Tanzania, Togo, Uganda and Zambia.

The heavily indebted poor countries' list is a joint initiative by the World Bank and the International Monetary Fund (IMF) which was launched in 1996. According to information obtained from the IMF fact sheet, the aim of the initiative is to ensure that no poor country in the world ever faces a debt burden it cannot manage.

View attachment 2009815

View attachment 2009816

View attachment 2009817
Mbona Tanzania imetajwa marambili?
 

===
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe Hussein Ally Hassan Mwiny amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano Mhe Samia Suluhu Hassan kwa Upambanaji wake kwa Taifa lake la Tanzania na kumtaka aendelee hivyohivyo kuumizwa na umasikini wa watu wake anaowaongoza toka pande zote za Muungano,
===
"Tumepata bahati ya kupata mkopo wa IMF dola za Marekani milioni 100 sawa na bilioni 230, nimshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuhakikisha serikali ya Zanzibar inapata mgao wake katika mkopo ule wa trilioni 1.3 uliokopwa na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania" -Rais Hussein Mwinyi

VIVA SAMIA VIVA ||VIVA MWINYI VIVA
Kwa hiyo Bara ( Tanganyika) wamekopa afu wakagawia Znz?!
Je, nani atalipa portion ya Znz?
 
Back
Top Bottom