Vugu-Vugu
JF-Expert Member
- Feb 24, 2017
- 1,106
- 1,265
Ndio ngoja tuoneInapendeza na ngoja tuone...
Ndio ngoja tuoneInapendeza na ngoja tuone...
Haya mambo yenu ya kijinga ndio yanadogosha muungano mkuuZanzibar wamechukua 18% ya mkopo
Extremely unfair to Tanganyika
Zanzibar kuna watu wachache kuliko Halmashauri ya Wilaya ya Kinondoni yenye watu 1.7 million. Wazanzibar hawajafika 1.7 mil. Wazanzibar hawawezi kujaza nyumba, viwanja na mashamba ya Halmashauri ya Wilaya ya Kinondoni.
Zanzibar kwa ukubwa inaingia Halmashauri ya Sikonge mara 14.
Uchumi wa karafuu, uvuvi, utalii na kila kinachoendea Zanzibar ni mdogo kuliko uchumi wa mgodi mmoja wa Halmashauri ya Wilaya ya Kahama.
Zanzibar ni mfano wa wilaya, walipaswa wapewe nusu asilimia ya mkopo, 0.5%. Yani 1 gawanya kwa 180 (idadi ya wilaya) zidisha mara mia moja = 0.5% ya mkopo.
Zanzibar wanatunyonya sana Tanganyika
Nyerere alituuza kama mbuzi wa mnadani
wewe ndio mjinga kwa sababu huna upeo wa kuchambua faida na hasara za muunganoHaya mambo yenu ya kijinga ndio yanadogosha muungano mkuu
Hakika sana aiseHaya mambo yenu ya kijinga ndio yanadogosha muungano mkuu
Ngoja tuone kama ni kweli au uongo,===
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe Hussein Ally Hassan Mwiny amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano Mhe Samia Suluhu Hassan kwa Upambanaji wake kwa Taifa lake la Tanzania na kumtaka aendelee hivyohivyo kuumizwa na umasikini wa watu wake anaowaongoza toka pande zote za Muungano,
===
"Tumepata bahati ya kupata mkopo wa IMF dola za Marekani milioni 100 sawa na bilioni 230, nimshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuhakikisha serikali ya Zanzibar inapata mgao wake katika mkopo ule wa trilioni 1.3 uliokopwa na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania" -Rais Hussein Mwinyi
VIVA SAMIA VIVA ||VIVA MWINYI VIVA
=== Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe Hussein Ally Hassan Mwiny amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano Mhe Samia Suluhu Hassan kwa Upambanaji wake kwa Taifa lake la Tanzania na kumtaka aendelee hivyohivyo kuumizwa na umasikini wa watu wake anaowaongoza toka pande zote za Muungano, === "Tumepata bahati ya kupata mkopo wa IMF dola za Marekani milioni 100 sawa na bilioni 230, nimshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuhakikisha serikali ya Zanzibar inapata mgao wake katika mkopo ule wa trilioni 1.3 uliokopwa na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania" -Rais Hussein Mwinyi VIVA SAMIA VIVA ||VIVA MWINYI VIVA
Rais wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan ameipongeza ATCL kwa kupanua biashara ya usafiri na usafirishaji ya anga, hasa baada ya ATCL kuongeza safari zake za kibiashara kwa karibu mara tatu.
Rais Samia ameipongeza zaidi ATCL kwa kurejesha Safari za Kenya Nairobi tena kwa gharama ndogo ya KSh37,525 au $334 sawa na TZS 770, Two ways.
Lazima tufahanu kuwa mwendo huu wa kasi wa ATCL ni kabla ya ujio wa ndege mpya tano za kisasa zinazotarajiwa kuingia nchini ndani ya kipindi kifupi kijacho, hakika hakuna kama Rais Samia.
Tanzania na Samia,===
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe Hussein Ally Hassan Mwiny amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano Mhe Samia Suluhu Hassan kwa Upambanaji wake kwa Taifa lake la Tanzania na kumtaka aendelee hivyohivyo kuumizwa na umasikini wa watu wake anaowaongoza toka pande zote za Muungano,
===
"Tumepata bahati ya kupata mkopo wa IMF dola za Marekani milioni 100 sawa na bilioni 230, nimshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuhakikisha serikali ya Zanzibar inapata mgao wake katika mkopo ule wa trilioni 1.3 uliokopwa na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania" -Rais Hussein Mwinyi
VIVA SAMIA VIVA ||VIVA MWINYI VIVA
KAZIIENDELEESawa kabisa. Jiwe alikopa matrilioni ya hela ila hakupeleka zanzibar hata mia.
DaahYaani kuchukua mkopo mnapongezana ??? , huu ugonjwa
Yaani mtu anafurahia kupata matatizo, akili hii basi tena
wote wanalipaUzurini kuwa deni hulipwa na aliyekopa, siyo na aliyegawiwa.
kaziiendeleeSafi sana hii, Tanzania nakupenda sana,
Hakuna Kama Rais Samia😍😍
===
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe Hussein Ally Hassan Mwiny amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano Mhe Samia Suluhu Hassan kwa Upambanaji wake kwa Taifa lake la Tanzania na kumtaka aendelee hivyohivyo kuumizwa na umasikini wa watu wake anaowaongoza toka pande zote za Muungano,
===
"Tumepata bahati ya kupata mkopo wa IMF dola za Marekani milioni 100 sawa na bilioni 230, nimshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuhakikisha serikali ya Zanzibar inapata mgao wake katika mkopo ule wa trilioni 1.3 uliokopwa na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania" -Rais Hussein Mwinyi
VIVA SAMIA VIVA ||VIVA MWINYI VIVA
Tanzania na Samia mwendo ni mzuri sana===
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe Hussein Ally Hassan Mwiny amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano Mhe Samia Suluhu Hassan kwa Upambanaji wake kwa Taifa lake la Tanzania na kumtaka aendelee hivyohivyo kuumizwa na umasikini wa watu wake anaowaongoza toka pande zote za Muungano,
===
"Tumepata bahati ya kupata mkopo wa IMF dola za Marekani milioni 100 sawa na bilioni 230, nimshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuhakikisha serikali ya Zanzibar inapata mgao wake katika mkopo ule wa trilioni 1.3 uliokopwa na Jamhuri ya Muungano wa Tanzania" -Rais Hussein Mwinyi
VIVA SAMIA VIVA ||VIVA MWINYI VIVA
Wakati wa ulipwaji wa mkopo huu utashangaa Bara wanaulipa mkopo wote 1.3 trilion na visiwani watapiga kimya
Deni la TANESCO bilioni 19, Magufuli aliamua kuwasamehe ZanzibarWakati wa ulipwaji wa mkopo huu utashangaa Bara wanaulipa mkopo wote 1.3 trilion na visiwani watapiga kimya