Hizo hoteli zote zinamilikiwa na Jiwe ndio maana anazitafutia soko kwa njia hiiHata hivyo yeye anaishi nje ya mji kama ulivyosema ana allergy na maeneo ya mjini. Anaishi Chamwino.
Pumbavvv kabisa, nani kakwambia Chato ni kijijini? Chato kuba beach kali na hotel za 4 hadi 5 stars.