"Rais wa misiba"

"Rais wa misiba"

2020 itafika na uchaguzi watashiriki kama kawaida halafu baadaye watailaumu tume ya uchaguzi kuwa si huru ilhali walikubali kushiriki huku wakijua jinsi tume ilivyo.

Sasa hivi washaanza kuimba eti Tundu Lisu 2020.....

Ila huwasikii wakitilia mkazo tume huru ya uchaguzi sasa hivi. Sasa hivi wanadandia dandia vijitukio tu....mara Bashite...mara Gwajima...mara Kinana [eti sasa wako so concerned na well being ya Kinana....Katibu mkuu wa CCM]...mara sijui Lema kanyimwa kuongea....mara Roma Mkatoliki....ujinga ujinga tu.

2020 watapigwa tena hao.....watch this space.
Kazi kweli
 
Duh,umenifanya nikumbuke zile enzi zako Nyani McCain na cupcake wako Kelly1

Oh wow.....hahaaaa umenikumbusha Cuppy....nimemmiss kiaina.

Ngoja nimtafute and see what she's been up to...
 
Oh wow.....hahaaaa umenikumbusha Cuppy....nimemmiss kiaina.

Ngoja nimtafute and see what she's been up to...
Nilikuwa najua ile ID ya Kelly1 ilikuwa ya kwako,ukimpata msalimie sana
 
Ni kweli, jamaa kwenye baadhi ya mambo yupo consistent sana....

Rais Magufuli ana mapungufu yake lakini linapokuja suala la msimamo huwa hayumbi.

Kwa wale tunaomfahamu vizuri hatushangai kwa yale anayafanya hasa kutokusikiliza kelele za wanasiasa wanafiki.

Hata kama angeenda kwenye msiba, hawa hawa baadhi ya wanasiasa/wananchi wangekuja na kelele zingine zinazotoa lawama. Kuna wengine wangesema ameenda kuuza sura!

Kuna baadhi ya wanasiasa/wananchi hata Rais Magufuli afanye nini hawawezi kuaacha kulalamika na kukosoa.
 
Nilichokiandika ni ukweli mtupu.

Kikwete alibezwa sana humu ingawa mimi sikuona tatizo la yeye kwenda misibani.

Leo hii huyu Magu analaaniwa kwa kutokwenda misibani.

Ubinadamu ni kazi sana.
Mwisho wa siku, aende au asiende, habadilishi kilichotokea. Tujifunze kukubaliana na ukweli, tusiongozwe kwa matukio
 
Umejaribu kuongea vizuri lakini cha msingi ni kwamba raisi lazima aguswe na matukio yanayochukua maisha ya watu wengi kwa pamoja kama majanga na ajali kubwa kama hii.
Suala kwenda kila msiba nalo ni kituko kama alivyokuwa akifanya mkwere.
Kumbuka hadi Kenya wameguswa na rais alidiriki kutuma wawakilishi lakini Rais wetu hajaguswa kihivyo kiasi cha kutuma uwakilishi wa makamu wa rais.

UFIKE WAKATI rais aonyeshe UPENDO kwa watu wake kwa vitendo.
Tuna rais mwenye roho ngumu zaidi ya mfanyakazi wa mochuari, inaumiza na inasikitisha.
Nyani Ngabu
Mnafahamu gharama za msafara wa Rais?
 
Nyani Ngabu, naamini ulishawahi kumsina au kumsikia Aristotle na theory yake ya "the mean" au moderation. You become a virtuos person when you avoid extremes and practice modetation in whatever you do. Ukienda to the extremes katika jambo lolote it becomes a vice. Sasa huyu Mh anashindwa kubalance mambo yake. Kila snalofanya anakwenda to the extremes! Angalia mfano la kutosafiri. Yeye kaamua kabisa kutosafiri! Anachojaribu kufanya Magu ni just ili aonekane anatofautiana na Kikwete! Hata kama in the process anaharibu!
 
Nyani Ngabu, naamini ulishawahi kumsina au kumsikia Aristotle na theory yake ya "the mean" au moderation. You become a virtuos person when you avoid extremes and practice modetation in whatever you do. Ukienda to the extremes katika jambo lolote it becomes a vice. Sasa huyu Mh anashindwa kubalance mambo yake. Kila snalofanya anakwenda to the extremes! Angalia mfano la kutosafiri. Yeye kaamua kabisa kutosafiri! Anachojaribu kufanya Magu ni just ili aonekane anatofautiana na Kikwete! Hata kama in the process anaharibu!

Hiyo moderation kipimo chake ni kipi?

Na unadhani angeenda wangekosekana wa kumlaumu kuwa kaenda?
 
Nyani Ngabu habari ya huko ulipo?

Kwa heshima kubwa naomba nipishane na wewe katika hilo Mimi nikiwa miongoni mwa walioumuita Kikwete "Rais was Misiba" hiyo ni dhahiri kabisa Kikwete alikuwa muhudhuriaji mkubwa wa matukio mbali mbali ya ndani na nje ya nchi yaliokuwa na umuhimu na yasiyokuwa na umuhimu Pote "alikaba nafasi". Jambo ambalo lilikuwa likiligharimu sana Taifa letu.

Back to the topic ni Kwamba Uelewe kuwa Rais ndiye Raia Namba Moja, Amiri Jeshi Mkuu na Mfariji Mkuu Wa Taifa hili, Hivyo alipaswa na anaowajibu Kuwa Faraja Kwetu RAIA katika Jambo lolote kubwa la kitaifa.

Ni jambo la ajabu na kushangaza sana Rais Kutohudhuria mambo makubwa kama Lile la Kuaga Miili ya Wale Askari waliokufa Wakiwa Katika Kutimiza Wajibu wao wa kizalendo Kule Kibiti,

Pia Kwa Mshangao huo huo Ndio unapelekea kutilia shaka "roho" yake ikoje? Yaani Msiba Mkubwa wa Watoto Waliokuwa katika Safari ya kelekea kutimiza Ndoto zao kwa Taifa lao wanapoteza uhai wao alafu mfariji hatokei Ila kuzindua Majengo na Barabara daima hutokea wala hatumi muwakilishi.

Funzo hapo ni Kuwa yeye hayo ya "uzinduzi" ni muhimu zaidi kuliko "faraja" na kutia Moyo kwa Taifa.
 
Nyani Ngabu habari ya huko ulipo?

Kwa heshima kubwa naomba nipishane na wewe katika hilo Mimi nikiwa miongoni mwa walioumuita Kikwete "Rais was Misiba" hiyo ni dhahiri kabisa Kikwete alikuwa muhudhuriaji mkubwa wa matukio mbali mbali ya ndani na nje ya nchi yaliokuwa na umuhimu na yasiyokuwa na umuhimu Pote "alikaba nafasi". Jambo ambalo lilikuwa likiligharimu sana Taifa letu.

Back to the topic ni Kwamba Uelewe kuwa Rais ndiye Raia Namba Moja, Amiri Jeshi Mkuu na Mfariji Mkuu Wa Taifa hili, Hivyo alipaswa na anaowajibu Kuwa Faraja Kwetu RAIA katika Jambo lolote kubwa la kitaifa.

Ni jambo la ajabu na kushangaza sana Rais Kutohudhuria mambo makubwa kama Lile la Kuaga Miili ya Wale Askari waliokufa Wakiwa Katika Kutimiza Wajibu wao wa kizalendo Kule Kibiti,

Pia Kwa Mshangao huo huo Ndio unapelekea kutilia shaka "roho" yake ikoje? Yaani Msiba Mkubwa wa Watoto Waliokuwa katika Safari ya kelekea kutimiza Ndoto zao kwa Taifa lao wanapoteza uhai wao alafu mfariji hatokei Ila kuzindua Majengo na Barabara daima hutokea wala hatumi muwakilishi.

Funzo hapo ni Kuwa yeye hayo ya "uzinduzi" ni muhimu zaidi kuliko "faraja" na kutia Moyo kwa Taifa.

Okie dokie....you're entitled to your opinion.

Ila hata sijui umepishana nami wapi maana msimamo wangu kuhusu Magu upo wazi....
 
Okie dokie....you're entitled to your opinion.

Ila hata sijui umepishana nami wapi maana msimamo wangu kuhusu Magu upo wazi....

Watu wakisema hawaoni kwa sababu wamepewa Radio waves badala ya visible light, ukiwapa Gamma Rays unakuwa bado hujatatua tatizo lao.

It is entirely conceivable to replace one extreme with another and totally miss the required sweet spot in between.

675px-EM_Spectrum_Properties_edit.svg.png
 
Back
Top Bottom