"Rais wa misiba"

"Rais wa misiba"

Ndio rais pekee duniani ambaye akifa mshonaji sare zake za shule anaenda kwenye msiba...ila wakifa watoto 32 anatuma barua...he just not right
 
Wabongo bana...mlisema ya Bukoba kwenye tetemeko na mwisho wa siku Rais mkamsikia yupo kule akitoa pole.leo mmeanza tena.kweni hauoni katuma muwakilishi tena makamu wake?na pole yake ameitoa,waTanzania kwa kulalama sijui tukoje
Angekufa aliye mshonea viatu angeenda kwenye msiba
 
Unaposema Rais Kikwete alifanya madudu una maana gani?

Kumbuka hakuna Rais au Waziri Mkuu duniani anayetoka madarakani bila kufanya madudu.

Hoja ya msingi ni madudu gani na yalikuwa na impact gani kitaifa na kimataifa?.

Je, unakiri Kikwete alifanya madudu? Hoja ya "impact" ya madudu hayo itafuata baada ya jibu lako.
 
Kutosafiri safiri, kwa mfano....
Kweli. Lakini, kumbuka Tanzania siyo kisiwa. Anahitajika kukutana na super powers, ingawa afanye hivyo kwa justifiable events tu. Kiasi siku zote ndiyo muhimu, na siyo extreme kidogo au extreme nyingi.
Kwa upande mwingine, hizo pesa zinazookolewa na safari zipo wapi na zinatumikaje? Maana tuliambiwa ni billions of TZS zinaokolewa.
 
Kweli. Lakini, kumbuka Tanzania siyo kisiwa. Anahitajika kukutana na super powers, ingawa afanye hivyo kwa justifiable events tu. Kiasi siku zote ndiyo muhimu, na siyo extreme kidogo au extreme nyingi.

Yup, agreed.

Kwa upande mwingine, hizo pesa zinazookolewa na safari zipo wapi na zinatumikaje? Maana tuliambiwa ni billions of TZS zinaokolewa.

Maswali mazuri hayo na hata mimi ningependa kusikia majibu yake.

So if you were looking for a disagreement or an argument from there you ain't getting one
 
Nyuzi na mabandiko ya Kikwete kuitwa 'rais wa misiba' ni nyingi/ mengi mno humu.

Kwa sisi tuliopo muda mrefu humu na tulio na kumbukumbu nzuri tunayajua hayo.
You are another disgrace to the mankind. May the good Lord forgive you !!!!
 
Alijua Lowassa Angehudhuria Alijua Lowassa angeshangiliwa, He can not stand mtu mwingine anapewa sportlight mbele yake. Hiyo ndio sababu akaingia Mitini anajua Alipokonya Urais wa Lowassa, Anajua Lowassa anapendwa na Kuheshimkwa Kuliko yeye, Ndio sababu ya Kuzuia Mikutano Kisa Mtu mmoja tu Lowassa! Magufuli amemkimbia Lowassa Arusha Period!
Wewe ndio umesema ukweli hasa kwa nini huyu JPM hakwenda Arusha . . , na kwa chuki yake kwa CDM na watu wa Kaskazini . . , ndio maana anaongoza mikoa ya Kask kwa mkono wa Chuma kupitia wakuu wake wa Wilaya na Mikoa . .
 
Lowassa mwenyewe ni nusu mfu tu.

Hapo usikute alijitutumua kweli kwenda uwanjani.

Hivi anaumwa nini huyo mzee?
Na ndio maana wengi wamekuelewa kuwa na wewe siku hizi ni mkabila, ni wa hovyo hovyo tuu . .
Hata kama humpendi Lowassa, lakini kubali kuwa anapedwa sana na Watanzania. Kutoa maneno ya kijinga, eti ni NUSU MFU . . , ni upumbavu uliopitiliza . .
Wewe huwezi kutia uhai hata mende, unamwitaje MTU mzima anayetembea kwa miguu yake mwenyewe, anayeongea, eti ni nusu mfuu . . ?! You are stupid !
 
Aliyesema humu Lowassa Ni nusu Mfu, Naamuru Yeye Uhai Umtoke! Maana hii Kufuru kwa Mungu imezidi, na Sio tu Yeye Wanasiasa Wanaomkebehi Mungu kwa Kunyanyapaa Uhai na Roho za Wengine as if wao ndio watoa uzima, Nao natamka Laana hii kwao, Wafe wao na Lowassa ahudhurie Mazishi yao! Lowassa asionje Mauti kabla ya Kutupa Udongo kwenye Makaburi yao. Kwa Jina na Damu ya Yesu! Inatekelezwa hiyo!
 
Ndio rais pekee duniani ambaye akifa mshonaji sare zake za shule anaenda kwenye msiba...ila wakifa watoto 32 anatuma barua...he just not right
we mjinga kweli, kipindi alihudhuria msiba wa huyo mzee alikuwa mapumzikoni nyumbani and he participated as a friend and not as the state officer
 
Nakubaliana nawe.

Serikali ngazi ya taifa kweli ilikuwepo.

Na kuhusu serikali inafanya nini kupunguza hizi ajali za kizembe ambazo naamini zinaepukika hata kwangu hilo ndo la msingi zaidi.

Ila mwisho wa siku naamini kuwa, kwenye baadhi ya situations optics matter....it would have been a good thing for him to show up.
Fğğ
 
we mjinga kweli, kipindi alihudhuria msiba wa huyo mzee alikuwa mapumzikoni nyumbani and he participated as a friend and not as the state officer
Mjinga wewe unamtete mtu ambaye watu wanakufa anaenda kufungua nyumba za kulala
 
Back
Top Bottom