"Rais wa misiba"

"Rais wa misiba"

Haihitaji kkwenda shule kujua kuwa huu msiba ni mkubwa na rais alipaswa kuwepo pale yeye mwenyewe na si mwakilishi. Au kama alishindwa basi hata angewaita waandishi wa habari na kuwafariji wafiwa. Mbona kwenye uzinduzi wa miradi anakwenda mwenyewe? Je si vema zaidi katika msiba wa kitaifa naye angekuwepo?
 
Haihitaji kkwenda shule kujua kuwa huu msiba ni mkubwa na rais alipaswa kuwepo pale yeye mwenyewe na si mwakilishi. Au kama alishindwa basi hata angewaita waandishi wa habari na kuwafariji wafiwa. Mbona kwenye uzinduzi wa miradi anakwenda mwenyewe? Je si vema zaidi katika msiba wa kitaifa naye angekuwepo?

Maswali yako yote ni halali kabisa.
 
  • Thanks
Reactions: mij
Unaona sasa...

Tatizo la kusoma kitu na kutokukielewa.

Hakuna hata sehemu moja niliyoelezea uzuri wa yeye kutokwenda.

Nilichofanya ni ku speculate sababu ya yeye kutokwenda.

Umeshindwa kusoma na kuelewa ulichokisoma!

Majanga.
Sawa tu! na mimi si nime speculate your speculations tu? Hizo za ku speculate kushindwa kwangu kusoma na kuelewa!we all drifting in the sea of speculations!
 
Pamoja ya kuwa magu ni rais lakini pia tukumbuke kuwa naye ana separate existence (individuality).

Kuna watu hawawezi kabisa au wanapata shida sana ku handle misiba. Ama kwa sababu ndivyo walivyo au kutokana na past experience.

Unakuta kama kuna uwezekano wa kutokuhudhuria msiba fulani basi muhusika hatahudhuria. Na si kwamba anakuwa hajali.

Naweza kumuelewa magu kwa angle hiyo
 
38f1522e7d38e3c35e93d8729354a37f.jpg
 
Sawa tu! na mimi si nime speculate your speculations tu? Hizo za ku speculate kushindwa kwangu kusoma na kuelewa!we all drifting in the sea of speculations!

Una speculate kitu kilicho mbele yako?

Al Junun funun haki ya mungu!!
 
Pamoja ya kuwa magu ni rais lakini pia tukumbuke kuwa naye ana separate existence (individuality).

Kuna watu hawawezi kabisa au wanapata shida sana ku handle misiba. Ama kwa sababu ndivyo walivyo au kutokana na past experience.

Unakuta kama kuna uwezekano wa kutokuhudhuria msiba fulani basi muhusika hatahudhuria. Na si kwamba anakuwa hajali.

Naweza kumuelewa magu kwa angle hiyo

Kuna angle ambayo humuelewi Magu?
 
Pamoja ya kuwa magu ni rais lakini pia tukumbuke kuwa naye ana separate existence (individuality).

Kuna watu hawawezi kabisa au wanapata shida sana ku handle misiba. Ama kwa sababu ndivyo walivyo au kutokana na past experience.

Unakuta kama kuna uwezekano wa kutokuhudhuria msiba fulani basi muhusika hatahudhuria. Na si kwamba anakuwa hajali.

Naweza kumuelewa magu kwa angle hiyo

Rei Rei.....yaani unajaribu ku rationalize no-show ya Magu??

Huogopi kuitwa mkabila wewe eeeh?

Oh btw, off the top of your head....[no Googling].....what is abatement ab initio? 😛
 
Mkuu umeongea ukweli mtupu watanzania viumbe wa ajabu sana lkn pia hiwezi jua kwanini hakufika taasisi ya uaris ni kubwa na inamambo mengi.
 
  • Thanks
Reactions: nao
[QUOTE="Nyani Ngabu, post: 21034935, member:awardNyuzi na mabandiko ya Kikwete kuitwa 'rais wa misiba' ni nyingi/ mengi mno humu.

Kwa sisi tuliopo muda mrefu humu na tulio na kumbukumbu nzuri tunayajua hayo.[/QUOTE]
Sawa na asiende kwani akienda au akiwepo hawezi kuwarudishia Uhai. Ila hii ni ajali iliyochukuwa miili Na Roho innocent children 33 kwa siku moja. Uwepo wa kiongozi wa juu ungeleta faraja.
 
Naona kina Ngosha wanateteana, japo kwa hoja nyepesi. Sasa wameanza kutulaumu sie tunaemlaumu Ngosha Mkuu. Ngoja na mimi niwatetee wenzangu wenye ngozi nyeusi, sio kosa lao kumlaumu Ngosha Mkuu-ni kosa la ngozi yao.
 
Binadamu ni kiumbe changamani sana.

Huo ni ukweli ulio dhahiri ambao wala hauhitaji mtu uwe na 'kipaji maalumu' kuuona.

Hata iweje, binadamu kamwe huwa haridhiki.

Kwa kifupi, ni ndivyo tulivyo!

Kwa nini nasema hivyo? Nasema hivyo kwa sababu ya yaliyotokea huko Arusha wiki ilopita na kuagwa kwa waliopoteza maisha yao kwenye hiyo ajali mapema leo hii.

Kama ilivyodhaniwa/ ilivyotarajiwa, rais Magufuli hakuwepo kwenye hiyo shughuli.

Hii si mara yake ya kwanza yeye kukosa shughuli kama hii ya leo tangia awe rais.

Watu wengi sana wanamlaumu kwa kukosekana kwake. Kwangu hizo ni lawama halali kabisa.

Naamini ingekuwa ni vyema yeye mwenyewe kuwepo kuliko kutuma mwakilishi.

Sababu za yeye kutokwenda mimi sizijui na wala sitajaribu kuanza kusadiki ni nini kilichomfanya asiende.

Ila pia bado sijasahau kipindi ambapo Jakaya Kikwete alikuwa rais na watu wengi tu [hususan humu JF] walikuwa wakimbeza kuwa eti anapenda sana kwenda misibani kuuza sura kuliko kufanya kazi.

Kuna watu walimbatiza hadi jina kuwa eti ni "rais wa misiba". Na simzushii mtu...bofya hapa usome mwenyewe!

Kikwete alibezwa, akachekwa, akaitwa kila aina ya majina kutokana na kupenda kwake kuhudhuria misiba hata ya watu wa kawaida tu wasio maarufu.

Kuna wengine walidai eti anaweka 'precedent' mbaya na kwamba eti watu watakuwa wanategemea kumwona 'rais' kwenye kila msiba utokeao.

Sasa huyu Ngosha yeye yuko tofauti. Anaonekana si mtu wa kupenda kujichanganya changanya sana na watu.

Misiba mingi tu itatokea katika utawala wake maana huo ndo uhalisia wa maisha. Watu hufa kila siku kwa sababu anuai.

Labda yeye hataki kujenga matarajio kwa watu kuwa kila msiba utokeao na yeye lazima atawepo maana vifo ni vingi mno na ukienda kwenye kifo cha huyu au vifo vya hawa basi kila afapo mtu au wafapo watu, basi na wewe lazima uwepo.

Vyovyote vile, urais ni kazi ngumu sana. Ni kazi ambayo kwa kiasi kikubwa haina shukurani.

Ufanye hili, utalaumiwa na kulaaniwa. Usifanye lile, utalaumiwa na kulaaniwa.

Chochote ufanyacho na chochote usichokifanya, ni lawama na shutuma tu.

Wakati mwingine huwa hata sielewi kwa nini watu huwa wanapenda kuwa marais......
Ukishapiga hao vikongwe wako soap soap ndio unakujaga na vithread kama hivyi
 
Nyani ngabu umeongea vizuri sana Sema wachangiaji wengi hawajaelewa concept yako ni ipi? Wasome uzi mara mbili mbili wataelewa
Kuna watu akili zao hazipo huru.

Yaani wameghubikwa na ushahidi.

Kwao ni lazima ama uwe CCM au upinzani.

Akili zao haziruhusu maono zaidi ya hizo kambi mbili.

Ndo maana akija mtu na kuzungumzia jambo nje ya hizo kambi hawaelewi.

Matokeo yake default argument yao ni ukabila ad infinitum!!

Wakati Magufuli mwenyewe wala si Msukuma.....
 
Back
Top Bottom