mcubic
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 10,310
- 6,546
Opinions can also be tested to prove its significance.I don't need to do a research on my own opinion.
Opinions can also be tested to prove its significance.I don't need to do a research on my own opinion.
Opinions can also be tested to prove its significance.
Haihitaji kkwenda shule kujua kuwa huu msiba ni mkubwa na rais alipaswa kuwepo pale yeye mwenyewe na si mwakilishi. Au kama alishindwa basi hata angewaita waandishi wa habari na kuwafariji wafiwa. Mbona kwenye uzinduzi wa miradi anakwenda mwenyewe? Je si vema zaidi katika msiba wa kitaifa naye angekuwepo?
Sawa tu! na mimi si nime speculate your speculations tu? Hizo za ku speculate kushindwa kwangu kusoma na kuelewa!we all drifting in the sea of speculations!Unaona sasa...
Tatizo la kusoma kitu na kutokukielewa.
Hakuna hata sehemu moja niliyoelezea uzuri wa yeye kutokwenda.
Nilichofanya ni ku speculate sababu ya yeye kutokwenda.
Umeshindwa kusoma na kuelewa ulichokisoma!
Majanga.
Sawa tu! na mimi si nime speculate your speculations tu? Hizo za ku speculate kushindwa kwangu kusoma na kuelewa!we all drifting in the sea of speculations!
Pamoja ya kuwa magu ni rais lakini pia tukumbuke kuwa naye ana separate existence (individuality).
Kuna watu hawawezi kabisa au wanapata shida sana ku handle misiba. Ama kwa sababu ndivyo walivyo au kutokana na past experience.
Unakuta kama kuna uwezekano wa kutokuhudhuria msiba fulani basi muhusika hatahudhuria. Na si kwamba anakuwa hajali.
Naweza kumuelewa magu kwa angle hiyo
Ili kumtetea Magu inabidi uwe umezaliwa kolomije.
Hili ni janga la uongozi
Pamoja ya kuwa magu ni rais lakini pia tukumbuke kuwa naye ana separate existence (individuality).
Kuna watu hawawezi kabisa au wanapata shida sana ku handle misiba. Ama kwa sababu ndivyo walivyo au kutokana na past experience.
Unakuta kama kuna uwezekano wa kutokuhudhuria msiba fulani basi muhusika hatahudhuria. Na si kwamba anakuwa hajali.
Naweza kumuelewa magu kwa angle hiyo
Nyani ngabu umeongea vizuri sana Sema wachangiaji wengi hawajaelewa concept yako ni ipi? Wasome uzi mara mbili mbili wataelewaKuna anaye/ wanaohalalisha hayo?
Ukishapiga hao vikongwe wako soap soap ndio unakujaga na vithread kama hivyiBinadamu ni kiumbe changamani sana.
Huo ni ukweli ulio dhahiri ambao wala hauhitaji mtu uwe na 'kipaji maalumu' kuuona.
Hata iweje, binadamu kamwe huwa haridhiki.
Kwa kifupi, ni ndivyo tulivyo!
Kwa nini nasema hivyo? Nasema hivyo kwa sababu ya yaliyotokea huko Arusha wiki ilopita na kuagwa kwa waliopoteza maisha yao kwenye hiyo ajali mapema leo hii.
Kama ilivyodhaniwa/ ilivyotarajiwa, rais Magufuli hakuwepo kwenye hiyo shughuli.
Hii si mara yake ya kwanza yeye kukosa shughuli kama hii ya leo tangia awe rais.
Watu wengi sana wanamlaumu kwa kukosekana kwake. Kwangu hizo ni lawama halali kabisa.
Naamini ingekuwa ni vyema yeye mwenyewe kuwepo kuliko kutuma mwakilishi.
Sababu za yeye kutokwenda mimi sizijui na wala sitajaribu kuanza kusadiki ni nini kilichomfanya asiende.
Ila pia bado sijasahau kipindi ambapo Jakaya Kikwete alikuwa rais na watu wengi tu [hususan humu JF] walikuwa wakimbeza kuwa eti anapenda sana kwenda misibani kuuza sura kuliko kufanya kazi.
Kuna watu walimbatiza hadi jina kuwa eti ni "rais wa misiba". Na simzushii mtu...bofya hapa usome mwenyewe!
Kikwete alibezwa, akachekwa, akaitwa kila aina ya majina kutokana na kupenda kwake kuhudhuria misiba hata ya watu wa kawaida tu wasio maarufu.
Kuna wengine walidai eti anaweka 'precedent' mbaya na kwamba eti watu watakuwa wanategemea kumwona 'rais' kwenye kila msiba utokeao.
Sasa huyu Ngosha yeye yuko tofauti. Anaonekana si mtu wa kupenda kujichanganya changanya sana na watu.
Misiba mingi tu itatokea katika utawala wake maana huo ndo uhalisia wa maisha. Watu hufa kila siku kwa sababu anuai.
Labda yeye hataki kujenga matarajio kwa watu kuwa kila msiba utokeao na yeye lazima atawepo maana vifo ni vingi mno na ukienda kwenye kifo cha huyu au vifo vya hawa basi kila afapo mtu au wafapo watu, basi na wewe lazima uwepo.
Vyovyote vile, urais ni kazi ngumu sana. Ni kazi ambayo kwa kiasi kikubwa haina shukurani.
Ufanye hili, utalaumiwa na kulaaniwa. Usifanye lile, utalaumiwa na kulaaniwa.
Chochote ufanyacho na chochote usichokifanya, ni lawama na shutuma tu.
Wakati mwingine huwa hata sielewi kwa nini watu huwa wanapenda kuwa marais......
Kuna watu akili zao hazipo huru.Nyani ngabu umeongea vizuri sana Sema wachangiaji wengi hawajaelewa concept yako ni ipi? Wasome uzi mara mbili mbili wataelewa
Hivi wewe huna jipya???Ukishapiga hao vikongwe wako soap soap ndio unakujaga na vithread kama hivyi

Hahahaaa read and weep.Kabila letu