ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 19,728
- 28,284
Nasikia Luo Community na BBI ndio inamuweka raisi wa Kenya madarakani.....Kenya ndio taifa la kwanza EAC kumpoteza rais akiwa madarakani, na uongozi ulipokezwa kwa makamu wake na nchi ikaaendelea.
Katiba iko wazi kwamba akifa rais, naibu wake atachukua uongozi na kukamilisha hatamu ya awamu, ikishindikana kwa naibu, kama ikitokea naye labda aidha kafa au ana matatizo, basi spika anaukwaa ila kwa siku sitini kabla kuingia kwenye uchaguzi wa kitaifa.... 146. Vacancy in the office of President - Kenya Law Reform Commission (KLRC)
Tunaomba rais wetu Uhuru awe makini asije naye akatusababishia msiba wa kitaifa wa kujitakia kwa ukaidi, aendelee kuvaa barakoa na kuchukua tahadhari zote.
Nasikia Luo Community na BBI ndio inamuweka raisi wa Kenya madarakani.....
Kama hujui kusoma na kuelewa tuelezeBado haujajibu swali. Leo hii akifa Uhuru, Ruto ataruhusiwa kuongoza nchi?
Umeshaelezwa ya Kenyatta akifa enzi zile ambazo Africa ilikua hatujazoea democrasia...
Alafu mwaka wa 2014, Rais Uhuru Kenyatta, kabla kuenda kwa kesi ya ICC kule Hague, alijiondoa madarakani kwa wiki moja na ndani ya hio wiki moja, Naibu wake Ruto alikua ndo rais wa nchi.... Kwahivyo haya mambo so mageni kwetu... Kunawezekana kukawa na tension flani lakini mwisho wa siku katiba itafatwa.
Kama hujui kusoma na kuelewa tueleze
Hapo nimehighlight utapata jibu.
Hivi kati ya Mh. SSH na Mh. UK nani anafaa hiyo gym kwa sana??? π€Sio barakoa tu, waweke na gym kule ofisini maana anazidi kuvimba mashavu tu na kitambi.. Whisky imeshindwa kazi ya kutoa tumbo...
Atakwambia ilikuwa ni 'East Africa Protectorate'... π π π π πNaona nimekugusa kunakomanake wakati wa kenyatta alipokufa ilikua sio kenya
ππΎββοΈπ¬π€£Mbona unazitumia nyege zako vibaya
Kwani UK na RAO ndio watakaopiga kura? πHayo yote uliosema ndiyo yapo kwenye mioyo ya wakenya. Hata sasa Uhuru akiondoka, hafikirii kumuachia Ruto kama yalivyokuwa makubaliano ndani ya jubilee. Ona sasa Uhuru na Raila wanamzunguka Ruto. Hawataki akisogelee kiti cha ufalme.
π€£π€£π€£
Naona ameamua aanzie kwa majaji.
Umebakisha kuona sasa... π¬Nasikia Luo Community na BBI ndio inamuweka raisi wa Kenya madarakani.....
Hakujawahi kuwa na njma zozote za kutompa Madaraka SSH, Hakujawahi kuwa na kikao chochote au kikundi chochote kilicholeta hoja ya kupinga SSH kupewa uenyekeiti.Alipokufa kenyatta moi hakuongozaee, nyie watu wanafiki sana..
Au unafikiria ilikua hatujui mataga mlikua mnapanga njama za kutompa mama uenyekiti wa CCM
Karume aliyefariki 1972 nadhani alikuwa mkuu wa wilayaKenya ndio taifa la kwanza EAC kumpoteza rais akiwa madarakani, na uongozi ulipokezwa kwa makamu wake na nchi ikaaendelea.
Katiba iko wazi kwamba akifa rais, naibu wake atachukua uongozi na kukamilisha hatamu ya awamu, ikishindikana kwa naibu, kama ikitokea naye labda aidha kafa au ana matatizo, basi spika anaukwaa ila kwa siku sitini kabla kuingia kwenye uchaguzi wa kitaifa.... 146. Vacancy in the office of President - Kenya Law Reform Commission (KLRC)
Tunaomba rais wetu Uhuru awe makini asije naye akatusababishia msiba wa kitaifa wa kujitakia kwa ukaidi, aendelee kuvaa barakoa na kuchukua tahadhari zote.
Raisi wetu hajapingwa nini? Hebu nionyeshe ni mara ngapi Katiba/mahakama imempinga au kumkosoa rais wazi wazi huko Tanzania kama vile inavyofanyika Kenya? My friend, mambo yanayofanyika Kenya hauyawezi, yakitokea Tz mtashindwa.... Hebu imagine JPM angefuta watu kazi alafu mahakama ipinge na iwaregeshe hao mafisa kazini, mtu kama JPM angekubali kweli?Unaeleza mambo ya kipindi ambacho hata hukuwa umezaliwa.
Wee unafikiri katiba ndiyo ulinzi? nchi zote zina katiba, ambalo ni jambo moja, lkn kuifuata ni jambo lingine. Si unaona hiyo katiba yenu inavyokanyagwa, lkn hakuna wa kumpinga rais wenu???
π π πIngekuwa hivyo, Musando angekuwa hai mpaka leo. Wenye Kenya ndiyo huamua rais wenyu atoke wapi.
Kuna watu wanaitwaga mudavadi, musyoka, kijana wamalwa nk utawasikia wakati wa kampeni na vyama vya ajabu ajabu vipyaSaa hizi ataungana na NASA.
ndio demokrasia hio au sio?Kuna watu wanaitwaga mudavadi, musyoka, kijana wamalwa nk utawasikia wakati wa kampeni na vyama vya ajabu ajabu vipya