Rais wa Kenya akifariki akiwa madarakani Katiba inasemaje? Utulivu Utakuwepo?

Nasikia Luo Community na BBI ndio inamuweka raisi wa Kenya madarakani.....
 
Nasikia Luo Community na BBI ndio inamuweka raisi wa Kenya madarakani.....

katiba ndio imemuweka rais madarakani, na pia uhai wake kwa maana hafanyi pumba za kijinga za kupuuza mbinu za kisayansi na kujisababishia msiba wa kujitakia.....

Hawa wote wanavaa barakoa maana wanatumia akili na mpaka leo wako hai, hawapo radhi kusababishia mataifa yao misiba ya kijinga








 
Kama ikitokea rais wa kenya afe sasa. kwanza kila mtu atakuwa anakimbizana kuhakikisha kikuyu haikamati madaraka. maana kinachoonekana ni kuwa nchi inaongozwa kama ufalme vile. Kama si kikuyu wewe huwezi kuwa rais. uchaguzi wa mwaka huu utakuwa na kimbembe sana.
 
Bado haujajibu swali. Leo hii akifa Uhuru, Ruto ataruhusiwa kuongoza nchi?
Kama hujui kusoma na kuelewa tueleze


Hapo nimehighlight utapata jibu.
 
Kama hujui kusoma na kuelewa tueleze



Hapo nimehighlight utapata jibu.

Unaeleza mambo ya kipindi ambacho hata hukuwa umezaliwa.
Wee unafikiri katiba ndiyo ulinzi? nchi zote zina katiba, ambalo ni jambo moja, lkn kuifuata ni jambo lingine. Si unaona hiyo katiba yenu inavyokanyagwa, lkn hakuna wa kumpinga rais wenu???
 
Kwani UK na RAO ndio watakaopiga kura? πŸ˜‚
 
Alipokufa kenyatta moi hakuongozaee, nyie watu wanafiki sana..
Au unafikiria ilikua hatujui mataga mlikua mnapanga njama za kutompa mama uenyekiti wa CCM
Hakujawahi kuwa na njma zozote za kutompa Madaraka SSH, Hakujawahi kuwa na kikao chochote au kikundi chochote kilicholeta hoja ya kupinga SSH kupewa uenyekeiti.
Uteuzi wa Mpango kama VP ulifanywa na SSH mwenyewe baada ya kupendekezewa majina na si vinginevyo.
 
Karume aliyefariki 1972 nadhani alikuwa mkuu wa wilaya
 
Unaeleza mambo ya kipindi ambacho hata hukuwa umezaliwa.
Wee unafikiri katiba ndiyo ulinzi? nchi zote zina katiba, ambalo ni jambo moja, lkn kuifuata ni jambo lingine. Si unaona hiyo katiba yenu inavyokanyagwa, lkn hakuna wa kumpinga rais wenu???
Raisi wetu hajapingwa nini? Hebu nionyeshe ni mara ngapi Katiba/mahakama imempinga au kumkosoa rais wazi wazi huko Tanzania kama vile inavyofanyika Kenya? My friend, mambo yanayofanyika Kenya hauyawezi, yakitokea Tz mtashindwa.... Hebu imagine JPM angefuta watu kazi alafu mahakama ipinge na iwaregeshe hao mafisa kazini, mtu kama JPM angekubali kweli?
 
Kuna watu wanaitwaga mudavadi, musyoka, kijana wamalwa nk utawasikia wakati wa kampeni na vyama vya ajabu ajabu vipya
ndio demokrasia hio au sio?
ama pengine ulitaka tuwe nchi ya chama kimoja ka sisiemu?
nchi ambayo haina upinzani? kwamba hakuna wa kumpinga mkulu na atakayekuwa na mawazo tofauti na yake basi sio mzalendo?
nchi ambayo wananchi wake wanaongozwa kama mandondocha?

mkuu, naomba ujitafakari kidogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…