Rais TEC atangaza maombi ya kufunga kuombea haki na amani katika uchaguzi mkuu

Rais TEC atangaza maombi ya kufunga kuombea haki na amani katika uchaguzi mkuu

Serikali ya CCM haifanyi reform kwa shinikizo la chama kimoja cha waropokaji. Kwenye Ilani ya CCM Samia ataleta katiba mpya.

Tutaona.
Haya Nyerere hakupenda Kung'atuka, Ila nyakati Zilitaka ang'atuke kupisha Mabadiriko ya Sera na Direction ya nchi kutoka Ujamaa kwenda Ubepari.
 
Chadema nyinyi jiandaeni kuzuia uchaguzi ishakula kwenu
Kwa nini kila mtu awe ni CHADEMA; hakuna waTanzania wengine wasiotaka upuuzi wenu wasiotaka muendelee kuwavurugia nchi yao?
NO REFORM, NO ELECTION; siyo ya CHADEMA pekee. Utakapoanza kulitambua hilo, utakuwa umeerevuka.
Hata ndani ya CCM yenyewe wamo waTanzania wengi tu wasiopenda mazingaombwe mnaoyafanya ili kulazimisha Samia Suluhu Hassan abakie madarakani kwa nguvu.
 
View attachment 3391090
Rais wa Baraza la Maaskofu wa Katoliki Tanzania (TEC), Wolfgang Pisa ametangaza kuwepo kwa maombi ya kufunga Agosti 23, 2025 kuombea haki na Amani katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu.

Ameyasema hayo Juni 29 katika misa ya kutolewa kwa daraja takatifu la upadre na ushemasi katika parokia ya Mtakatifu Andrea Kagwa kanisa kuu jimbo katoliki Lindi.
Ila, hii, ya, kuaminishana, kwamba, matatizo, yatatoka kwa, maombi tu ni upuuzi, huwezi, kuomba samia, aache kuteka, kuua, kupoteza, kufunga,
Angalieni Gen Z wanachofanya Kenya, gen Z waligoma wakaandamana msaada wa bajeti ukatupiliwa mbali, hii ya kuomba Amani, ni, uzwazwa Fulani, unaomba Amani, ili iweje? Mungu awavuvie ccm na kuwabembeleza waache dhuluma, au,?!! Tayari unamjua anayeharibu Amani, mwizi, fisadi, harafu unaenda kuomba Mungu! Mungu Hana, mwili,Kuomba Mungu akupe UJASIR na mbinu za kuwasulubu samia na genge lake
 
Ila, hii, ya, kuaminishana, kwamba, matatizo, yatatoka kwa, maombi tu ni upuuzi, huwezi, kuomba samia, aache kuteka, kuua, kupoteza, kufunga,
Hii ni tafsiri yako mwenyewe, haikuelezwa oote katika taarifa hiyo iliyo tolewa.
Angalieni Gen Z wanachofanya Kenya, gen Z waligoma wakaandamana msaada wa bajeti ukatupiliwa mbali, hii ya kuomba Amani, ni, uzwazwa Fulani, unaomba Amani, ili iweje? Mungu awavuvie ccm na kuwabembeleza waache dhuluma, au,?!! Tayari unamjua anayeharibu Amani, mwizi, fisadi, harafu unaenda kuomba Mungu! Mungu Hana, mwili,Kuomba Mungu akupe UJASIR na mbinu za kuwasulubu samia na genge lake
Sasa wewe unataka maadre waende kanisani kuwahimiza waumini waende mitaani? Unayo akili sawasawa wewe?

Wewe unachukulia kuwa kuna njia moja ekee, ya kumwaga ndiyo itakayokuletea mabadiliko?
Wewe nenda mitaani kuvurumisha mawe dhidi ya mitutu; hiyo ni njia moja itakayosaidiana na njia zingine, kama hiyo wanayoitumia hao maadre.
Sasa unawatuia lawama za nini iwao lengo ni moja!
 
View attachment 3391090
Rais wa Baraza la Maaskofu wa Katoliki Tanzania (TEC), Wolfgang Pisa ametangaza kuwepo kwa maombi ya kufunga Agosti 23, 2025 kuombea haki na Amani katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu.

Ameyasema hayo Juni 29 katika misa ya kutolewa kwa daraja takatifu la upadre na ushemasi katika parokia ya Mtakatifu Andrea Kagwa kanisa kuu jimbo katoliki Lindi.
Ni jambo jema kuiombea nchi yetu.👏👏👏
 
View attachment 3391090
Rais wa Baraza la Maaskofu wa Katoliki Tanzania (TEC), Wolfgang Pisa ametangaza kuwepo kwa maombi ya kufunga Agosti 23, 2025 kuombea haki na Amani katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu.

Ameyasema hayo Juni 29 katika misa ya kutolewa kwa daraja takatifu la upadre na ushemasi katika parokia ya Mtakatifu Andrea Kagwa kanisa kuu jimbo katoliki Lindi.

Amani ni tunda la haki.
 
Back
Top Bottom