Uko sahihi!Mama nakuomba uwe critical unazungukwa kwa Kasi sana na ndugui ndo engineer wa Hilo kwa kupitia wabunge na ameanda wachangiaji wa kukushtumu indirectly ili iwe vyepesi kupenyeza kura ya kutokuwa na Imani na wewe na wote waunge mkono
Uchonganishi, vijana Acheni fitina. Mlichopanga hakitakua abadan.
Kila karata mtakayocheza itabuma. Mmekua wachawi siku hizi. Na Mungu atawachapa na kuwasambaratisha kila mtu njia yake.
Watu wanavyo ongea utadhani hiyo kura inapigwa na hapo hapo rais anaachia urais hahaaaaaTanzania hii amirijeshi mkuu atolewe na bunge?
Unaota?
Ndugai ni mweupe na muoga hana gats za kutupeleka kwenye uchaguzi.Hii ni hujuma, Kama ndivyo soon Bunge litavunjwa tuRejee kwenye uchaguzi.
Uyo Ndugai kama nikweli Tiss watakulanae sahani moja soonMama nakuomba uwe critical unazungukwa kwa Kasi sana na ndugui ndo engineer wa Hilo kwa kupitia wabunge na ameanda wachangiaji wa kukushtumu indirectly ili iwe wata kupenyeza kura ya kutokuwa na Imani na wewe na wote waunge mkono
Kabla yakufikia uko nchi ikapata hasara,uyo anaeañzisha atazimwa kama balbuHao wabunge hawanana ubavu huo wakifanya hivyo bunge litavunjwa na wote wanarudi kwenye uchaguzi na ningumu kupita vile wengi walibebwa na beleko.
Hawawezi lazma mshushu wampenyezee taarifa😅😅😅 lazima pale kun vijana wanaoreport kwake.
Tunakushukuru kwa taarifa nyetiMama nakuomba uwe critical unazungukwa kwa Kasi sana na ndugui ndo engineer wa Hilo kwa kupitia wabunge na ameanda wachangiaji wa kukushtumu indirectly ili iwe vyepesi kupenyeza kura ya kutokuwa na Imani na wewe na wote waunge mkono
Mama nakuomba uwe critical unazungukwa kwa Kasi sana na ndugui ndo engineer wa Hilo kwa kupitia wabunge na ameanda wachangiaji wa kukushtumu indirectly ili iwe vyepesi kupenyeza kura ya kutokuwa na Imani na wewe na wote waunge mkono
Watu wakomakini tangu wa magu akate roho alianza kuhakikishiwa usalama wake hivyo hilo ondoa shaka labda watumie njia nyingine kama kawaida yao.Mama nakuomba uwe critical unazungukwa kwa Kasi sana na ndugui ndo engineer wa Hilo kwa kupitia wabunge na ameanda wachangiaji wa kukushtumu indirectly ili iwe vyepesi kupenyeza kura ya kutokuwa na Imani na wewe na wote waunge mkono
We mtoa mavi umetumia bangi au bange?Mama nakuomba uwe critical unazungukwa kwa Kasi sana na ndugui ndo engineer wa Hilo kwa kupitia wabunge na ameanda wachangiaji wa kukushtumu indirectly ili iwe vyepesi kupenyeza kura ya kutokuwa na Imani na wewe na wote waunge mkono
hofu yao ni katiba mpya hawtaki kabisa nawana hofu huwenda mama akaurejesha mchakato na lingine uwazi, hawapendi uwazi kwani wengi wao siwaaminifu wanajua wataumbuka nakubwa zaidi kwa sasa hawana namna nzuri yakujenga hoja zao za komedi bungeni kwani serikali yamama inataka uwazi,mfano mzuri ninamna yakuijadiri ripoti ya mdhibiti na mkaguzi wahesabu za serikali hapa ndipo pachungu wakifata anavyotaka mama lazima watamsaliti mpendwa wao nakujikuta hawajui wanasimamia nini,maana walioyatetea mwanzo kuwa nimazuri leo ndomabaya je wayapinge au wabaki namsimamo wao hapo ndo kwenye hoja yako.Mama nakuomba uwe critical unazungukwa kwa Kasi sana na ndugui ndo engineer wa Hilo kwa kupitia wabunge na ameanda wachangiaji wa kukushtumu indirectly ili iwe vyepesi kupenyeza kura ya kutokuwa na Imani na wewe na wote waunge mkono
Aaa wapi! Hawana ubavu huo wale! Wakidhubutu, mama naye atalivunja bunge, alafu taga yupi pale unafikiri yupo tayari uchaguzi urudiwe?! Wenzako wana mikopo wale, oh!Mama nakuomba uwe critical unazungukwa kwa Kasi sana na ndugui ndo engineer wa Hilo kwa kupitia wabunge na ameanda wachangiaji wa kukushtumu indirectly ili iwe vyepesi kupenyeza kura ya kutokuwa na Imani na wewe na wote waunge mkono
Kabla hawajapiga Kura Mama atalivunjilia Mbali BungeMama nakuomba uwe critical unazungukwa kwa Kasi sana na ndugui ndo engineer wa Hilo kwa kupitia wabunge na ameanda wachangiaji wa kukushtumu indirectly ili iwe vyepesi kupenyeza kura ya kutokuwa na Imani na wewe na wote waunge mkono
Mkuu Mungu akupe mama, but hawataweza wajinga hao, Kama wafjkili tz ni nyepesi ngoja wajaribu Ndugai atapewa kisiwa Cha kuishi mwenyewe up to death, na asijalibu ,namwambiaMama nakuomba uwe critical unazungukwa kwa Kasi sana na ndugui ndo engineer wa Hilo kwa kupitia wabunge na ameanda wachangiaji wa kukushtumu indirectly ili iwe vyepesi kupenyeza kura ya kutokuwa na Imani na wewe na wote waunge mkono
Kwani rais hawezi kumfukuza spika?Mama nakuomba uwe critical unazungukwa kwa Kasi sana na ndugui ndo engineer wa Hilo kwa kupitia wabunge na ameanda wachangiaji wa kukushtumu indirectly ili iwe vyepesi kupenyeza kura ya kutokuwa na Imani na wewe na wote waunge mkono
Ningefurahi kama spika angetimuliwa kaziHawana ubavu huo atawawahi kabla ya kumuwahi.