Tetesi: Wabunge waanza mkakati wa kupiga kura kutokuwa na imani na Waziri Mkuu Majaliwa

Stuka

JF-Expert Member
Jul 19, 2022
214
686
KUNA Tetesi zinaenea bungeni kuhusu wabunge kutaka kumwajibisha Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa baada ya kukithiri kwa vitendo viovu ndani ya Serikali na kama msimamizi mkuu wa SERIKALI hajachukua hatua zozote.

Miongoni mwa wabunge wanadai suala la Mbarali lazima litang'oka na Waziri Mkuu kutokana na manyanyaso makubwa yanayofanywa na maafisa wa Hifadhi kama yalivyoelezwa na Mbunge wa Mbarali, Mh. Mtega

Wiki ijayo baadhi ya wabunge wamejipanga kuanza kukusanya sahihi za wabunge ili kumpigia kura ya kutokuwa na imani naye huku wakimlaumu Spika wa BUNGE kwa kushindwa kuusimamia mhimili huo ili serikali iwajibike.

Tusubiri tuone
 
KUNA Tetesi zinaenea bungeni kuhusu wabunge kutaka kumwajibisha Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa baada ya kukithiri kwa vitendo viovu ndani ya Serikali na kama msimamizi mkuu wa SERIKALI hajachukua hatua zozote.

Miongoni mwa wabunge wanadai suala la Mbarali lazima litang'oka na Waziri Mkuu kutokana na manyanyaso makubwa yanayofanywa na maafisa wa Hifadhi kama yalivyoelezwa na Mbunge wa Mbarali, Mh. Mtega

Wiki ijayo baadhi ya wabunge wamejipanga kuanza kukusanya sahihi za wabunge ili kumpigia kura ya kutokuwa na imani naye huku wakimlaumu Spika wa BUNGE kwa kushindwa kuusimamia mhimili huo ili serikali iwajibike.

Tusubiri tuone
70% ya wabunge hawakuchaguliwa na wananchi.Ukitambua hilo kwanza utabaini wengi hawapo pale kwaajili ya wananchi.
 
Hizo ni hadithi tu mara Spika leo waziri mkuu,2025 hao watakao saini watakuwa na wakati mgumu,wengi wao walibebwa labda waende upinzani.
 
Wiki ijayo baadhi ya wabunge wamejipanga kuanza kukusanya sahihi za wabunge ili kumpigia kura ya kutokuwa na imani naye huku wakimlaumu Spika wa BUNGE kwa kushindwa kuusimamia mhimili huo ili serikali iwajibike.
Huyo binti ni actress tu
 
KUNA Tetesi zinaenea bungeni kuhusu wabunge kutaka kumwajibisha Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa baada ya kukithiri kwa vitendo viovu ndani ya Serikali na kama msimamizi mkuu wa SERIKALI hajachukua hatua zozote.

Miongoni mwa wabunge wanadai suala la Mbarali lazima litang'oka na Waziri Mkuu kutokana na manyanyaso makubwa yanayofanywa na maafisa wa Hifadhi kama yalivyoelezwa na Mbunge wa Mbarali, Mh. Mtega

Wiki ijayo baadhi ya wabunge wamejipanga kuanza kukusanya sahihi za wabunge ili kumpigia kura ya kutokuwa na imani naye huku wakimlaumu Spika wa BUNGE kwa kushindwa kuusimamia mhimili huo ili serikali iwajibike.

Tusubiri tuone
Chama kipi? CCM?
 
KUNA Tetesi zinaenea bungeni kuhusu wabunge kutaka kumwajibisha Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa baada ya kukithiri kwa vitendo viovu ndani ya Serikali na kama msimamizi mkuu wa SERIKALI hajachukua hatua zozote.

Miongoni mwa wabunge wanadai suala la Mbarali lazima litang'oka na Waziri Mkuu kutokana na manyanyaso makubwa yanayofanywa na maafisa wa Hifadhi kama yalivyoelezwa na Mbunge wa Mbarali, Mh. Mtega

Wiki ijayo baadhi ya wabunge wamejipanga kuanza kukusanya sahihi za wabunge ili kumpigia kura ya kutokuwa na imani naye huku wakimlaumu Spika wa BUNGE kwa kushindwa kuusimamia mhimili huo ili serikali iwajibike.

Tusubiri tuone


Hilo halipo, kama ni tetesi zitakuwa za uongo 100%
 
KUNA Tetesi zinaenea bungeni kuhusu wabunge kutaka kumwajibisha Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa baada ya kukithiri kwa vitendo viovu ndani ya Serikali na kama msimamizi mkuu wa SERIKALI hajachukua hatua zozote.

Miongoni mwa wabunge wanadai suala la Mbarali lazima litang'oka na Waziri Mkuu kutokana na manyanyaso makubwa yanayofanywa na maafisa wa Hifadhi kama yalivyoelezwa na Mbunge wa Mbarali, Mh. Mtega

Wiki ijayo baadhi ya wabunge wamejipanga kuanza kukusanya sahihi za wabunge ili kumpigia kura ya kutokuwa na imani naye huku wakimlaumu Spika wa BUNGE kwa kushindwa kuusimamia mhimili huo ili serikali iwajibike.

Tusubiri tuone
Ila Pm hata mimi simwelewagi.
 
Back
Top Bottom