KUNA Tetesi zinaenea bungeni kuhusu wabunge kutaka kumwajibisha Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa baada ya kukithiri kwa vitendo viovu ndani ya Serikali na kama msimamizi mkuu wa SERIKALI hajachukua hatua zozote.
Miongoni mwa wabunge wanadai suala la Mbarali lazima litang'oka na Waziri Mkuu kutokana na manyanyaso makubwa yanayofanywa na maafisa wa Hifadhi kama yalivyoelezwa na Mbunge wa Mbarali, Mh. Mtega
Wiki ijayo baadhi ya wabunge wamejipanga kuanza kukusanya sahihi za wabunge ili kumpigia kura ya kutokuwa na imani naye huku wakimlaumu Spika wa BUNGE kwa kushindwa kuusimamia mhimili huo ili serikali iwajibike.
Tusubiri tuone
Miongoni mwa wabunge wanadai suala la Mbarali lazima litang'oka na Waziri Mkuu kutokana na manyanyaso makubwa yanayofanywa na maafisa wa Hifadhi kama yalivyoelezwa na Mbunge wa Mbarali, Mh. Mtega
Wiki ijayo baadhi ya wabunge wamejipanga kuanza kukusanya sahihi za wabunge ili kumpigia kura ya kutokuwa na imani naye huku wakimlaumu Spika wa BUNGE kwa kushindwa kuusimamia mhimili huo ili serikali iwajibike.
Tusubiri tuone