Kichwamoto
JF-Expert Member
- Jan 21, 2019
- 3,353
- 4,535
Mimi si wewe na wewe si Mimi ufahamu Wangu wa kijuha Magufuli hakuwa na hatakuwa Dikteta ni maoni yangu. Serikali haipigwi dole baya.Mkuu 'Galileo_Gaucho', mimi ndio leo nakusoma humu JF, kwa vile umeni'quote', sijapata kamwe hata siku moja kujuwa uwepo wako.
Sasa unaponiambia mimi nisahihishe nilichoandika mimi mwenyewe kwa ufahamu nisioutilia mashaka kabisa, nakuona wewe kama 'juha' (ashakhum si matusi, sina neno bora zaidi ya hilo).
Inawezekana sana, kwa elimu hizi za siku hizi uwe hujui maana ya hilo neno "DIKTETA", vinginevyo wewe utakuwa ni 'chawa' tu wa Magufuli aliyekuwa akikunywesha uchafu ili uweze kwenda chooni.
Usihangaike, sijibishani na watu wa aina fulani humu JF.