DustBin
JF-Expert Member
- Jun 3, 2021
- 544
- 558
Pointi yangu ni kichanganya na sio kuokotezaUtaratibu wa kuokoteza watumishi nje ya utumishi usitishwe ili kurejesha hadhi ya utumishi wa umma
Aliyekuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Mussa Assad amesema watu wenye tabia ya kuunga mkono kila wakati ni wasaka fursa na hawana msaada wowote katika nchi. Kipindi cha miaka mitano iliyopita tumeona tabia hii ya kusifia kila kitu ikikomaa na kufikia kiwango cha...www.jamiiforums.com