Rais Samia, unapoteua zingatia watumishi wa muda mrefu na wenye uzoefu serikalini badala ya kuwatoa mtaani

Ninashauri ni wakati wa serikali kufikiria namna nzuri kufanya teuzi mbalimbali katika nafasi za serikali kwa kuzingatia uzoefu wa Kazi serikalini ,uadilifu ili kutengeneza uzalendo .

kwa mfano haileti taswira nzuri kumuacha katibu wa tarafa au maafisa wameoshika nyadhifa mbalimbali ktk Idara zao wilayani au mikoani aliekaa kazini miaka 15 na zaidi serikalini mwenye elimu ya kutosha wengine wanawazidi hata elimu Ma DC ma Das na Ma RC lkn ukapuuza utumishi wao ukatoa watu mtaani kuja kuwa Ma DC, DAS,RC’s ,RAS etc .

Zamani Kila mfanyakazi alijua iwapo atahudumu kwa mda mrefu na uadilifu angefika katika nafasi ya juu kwa bidii yake ya Kazi uadilifu na kujituma ,na hiyo ndio kulikozaa uzalendo hapo zamani ma Afisa utumishi, makatibu tarafa, maafisa maendeleo , kilimo , Afya,Walimu, walipanda nafasi za juu za kiselikali na hiyo ilijenga kuwa na viongozi wengi wenye uadilifu uzalendo na kupenda nchi sbb walipanda nafasi kwa mafaili yao na si kwa majina yao.

Maafisa wakuu wa idara mbalimbali kutoka sekta tofauti mfano elimu, Afya, kilimo, maendelo, utawala iwe wilayani au mkoani wenye miaka 20 ktk kazi ,uzoefu na weledi serikalini ndoto zao nao ni kushika nafasi za juu ktk wilaya au mkoa unapowaletea mtu ambae hajawahi kuwa mtumishi huwaongezei tija ila unawavunja moyo na hiyo inashusha uzalendo wa nchi na tija kwenye Kazi zao, Hawa walitegemea miongoni mwao ndio atakaepanda na huo ndio utaratibu wa huko nyuma.

mfumo huu uangaliwe upya kwa nini mfano makatibu tarafa na maafisa wengine wa wilaya wasipande kuwa Ma DAS na ma DC na wakurugenzi wa halmashauri halafu hao wapya nao wakaanzia chini kupata uzoefu na kupimwa huko chini na kujifunza kujua mifumo ya serikali inafanyaje Kazi kuanzia chini . Huko nyuma hatukuwahi kuona Ma DC ma Ma RC wakivunja maadili sbb walitokana na mfumo mzuri vyeo havikuwapa ukichaa kwani walipanda navyo polepole, hivyo waliheshimu sana utu na maadili ya Kazi na miiko ya kazi zao.

Zamani watu waioshika nafasi hizo Walionekana ni watu wenye heshima iliotukuka na wazalendo kweli kweli na Jamii ziliwaheshimu sana ila leo Jamii inaziona nafasi hizo kama ni zakupewa kwa wateule fulani waliokosa fursa mahali pengine .

Na shauri serikali ianze marekebisho kwa Kurekebisha hili kwenye mkeka wa MA DAS iwapo kutakuwa na mabadiliko kwenye nafasi hizo.
Hapa suluhisho ni Katiba Mpya tu ya Wananchi. Hivi vyeo vyote vya kipuuzi tuliviondoa. Maana vinaongeza tu matumizi serikalini huku vikiwa havina tija yoyote ile.
 
Sikubaliani na ushaur wako aisee ulisema wawe watumishi wa serikali vipi wanaofanya private sector na wako vizuri hafu unasema achukue waliokaa serikalini 20 years hao hata utendaji huwa wa mazoea Tena hawana exposure yoyote, Bora kuteua hata wa binafsi wenye exposure ili kuleta mabadiliko
Ushauri wake Ni mzuri,

Lakini haujakamilika kwa asilimia zote,

Pia hata mapendezekezo yako wewe pia Ni mazuri

Hivyo katika ushauri wake na nyongeza yako

Kwa pamoja tunapata mawazo mazuri ambayo kama yakifanyiwa kazi

Ni faida kwa nchi
 
Nina rafiki yangu anasoma sheria huwa tunamdiss mwanasheria gani unavaa mnyonyo, crazy jeans na buti la jeje. Kuanzia jana anatuponda vibaya anatuonesha picha za Nikk wa pili akiwa kavaa pensi, Air Force mguuni sunglasses na cheni uku amekaa kwenye meza inazungukwa na vinywaji. Anatwambia kama huyu kama DC, mi nani mpaka nivae bwanga. Alafu tukawa na playlist yake nyimbo kama Mpubu na Arosto
 
Binafsi sijawahi sikia background ya Nikki ndo mana nikauliza ikoje. Hongera zake bwashee
 
Ninashauri ni wakati wa serikali kufikiria namna nzuri kufanya teuzi mbalimbali katika nafasi za serikali kwa kuzingatia uzoefu wa Kazi serikalini ,uadilifu ili kutengeneza uzalendo .

kwa mfano haileti taswira nzuri kumuacha katibu wa tarafa au maafisa wameoshika nyadhifa mbalimbali ktk Idara zao wilayani au mikoani aliekaa kazini miaka 15 na zaidi serikalini mwenye elimu ya kutosha wengine wanawazidi hata elimu Ma DC ma Das na Ma RC lkn ukapuuza utumishi wao ukatoa watu mtaani kuja kuwa Ma DC, DAS,RC’s ,RAS etc .

Zamani Kila mfanyakazi alijua iwapo atahudumu kwa mda mrefu na uadilifu angefika katika nafasi ya juu kwa bidii yake ya Kazi uadilifu na kujituma ,na hiyo ndio kulikozaa uzalendo hapo zamani ma Afisa utumishi, makatibu tarafa, maafisa maendeleo , kilimo , Afya,Walimu, walipanda nafasi za juu za kiselikali na hiyo ilijenga kuwa na viongozi wengi wenye uadilifu uzalendo na kupenda nchi sbb walipanda nafasi kwa mafaili yao na si kwa majina yao.

Maafisa wakuu wa idara mbalimbali kutoka sekta tofauti mfano elimu, Afya, kilimo, maendelo, utawala iwe wilayani au mkoani wenye miaka 20 ktk kazi ,uzoefu na weledi serikalini ndoto zao nao ni kushika nafasi za juu ktk wilaya au mkoa unapowaletea mtu ambae hajawahi kuwa mtumishi huwaongezei tija ila unawavunja moyo na hiyo inashusha uzalendo wa nchi na tija kwenye Kazi zao, Hawa walitegemea miongoni mwao ndio atakaepanda na huo ndio utaratibu wa huko nyuma.

mfumo huu uangaliwe upya kwa nini mfano makatibu tarafa na maafisa wengine wa wilaya wasipande kuwa Ma DAS na ma DC na wakurugenzi wa halmashauri halafu hao wapya nao wakaanzia chini kupata uzoefu na kupimwa huko chini na kujifunza kujua mifumo ya serikali inafanyaje Kazi kuanzia chini . Huko nyuma hatukuwahi kuona Ma DC ma Ma RC wakivunja maadili sbb walitokana na mfumo mzuri vyeo havikuwapa ukichaa kwani walipanda navyo polepole, hivyo waliheshimu sana utu na maadili ya Kazi na miiko ya kazi zao.

Zamani watu waioshika nafasi hizo Walionekana ni watu wenye heshima iliotukuka na wazalendo kweli kweli na Jamii ziliwaheshimu sana ila leo Jamii inaziona nafasi hizo kama ni zakupewa kwa wateule fulani waliokosa fursa mahali pengine .

Na shauri serikali ianze marekebisho kwa Kurekebisha hili kwenye mkeka wa MA DAS iwapo kutakuwa na mabadiliko kwenye nafasi hizo.
Mleta mada uko sahihi kwa 100%.
Hivyo ndivyo ilipaswa kuwa na inapaswa kuwa. Mtumishi mwandamizi wa umma ndio anapaswa kupandishwa na kuwa DAS, DED, DC, RC nk. Kuokoteza watu mitaani ni jambo la ovyo kabisa.
 
Pamoja na kuwepo na ile dhana ya kupandishwa cheo lakini bado kuna nafasi nafasi hazihitaji waliopo ofisi husika kuchukua.

Mfano, mtu kama Lazaro kalist aliyekuwa mwanasiasa baadaye meya wa jiji la Arusha, mtu kama huyo kutokana na ile nafasi ya umeya anakuwa na nafasi nzuri kutumikia kuliko yule jamaa pale.

Pia maisha yanabadirika kwa kasi, kitabu cha Mwl. Nyerere "Tanzania na hatima ya uongozi" kinatoa funzo kubwa namna bora ya kuchuja na kumpata kiongozi mzuri.
Hilo la Kalist kupewa cheo ninalipinga kwa 100%. Kwanini? Kalist anapewa cheo sasa kama fadhila za kuunga mkono juhudi na sio kwa sababu ya utendaji wake kama meya wa Arusha. Kile kitendo kiliharibu mwenendo mzima wa utendaji wake, hapaswi kupewa cheo. Tukiendelea na hizi tabia tutaishia kuwa na nchi ya kinafiki sana.
 
Ninashauri ni wakati wa serikali kufikiria namna nzuri kufanya teuzi mbalimbali katika nafasi za serikali kwa kuzingatia uzoefu wa Kazi serikalini ,uadilifu ili kutengeneza uzalendo .

kwa mfano haileti taswira nzuri kumuacha katibu wa tarafa au maafisa wameoshika nyadhifa mbalimbali ktk Idara zao wilayani au mikoani aliekaa kazini miaka 15 na zaidi serikalini mwenye elimu ya kutosha wengine wanawazidi hata elimu Ma DC ma Das na Ma RC lkn ukapuuza utumishi wao ukatoa watu mtaani kuja kuwa Ma DC, DAS,RC’s ,RAS etc .

Zamani Kila mfanyakazi alijua iwapo atahudumu kwa mda mrefu na uadilifu angefika katika nafasi ya juu kwa bidii yake ya Kazi uadilifu na kujituma ,na hiyo ndio kulikozaa uzalendo hapo zamani ma Afisa utumishi, makatibu tarafa, maafisa maendeleo , kilimo , Afya,Walimu, walipanda nafasi za juu za kiselikali na hiyo ilijenga kuwa na viongozi wengi wenye uadilifu uzalendo na kupenda nchi sbb walipanda nafasi kwa mafaili yao na si kwa majina yao.

Maafisa wakuu wa idara mbalimbali kutoka sekta tofauti mfano elimu, Afya, kilimo, maendelo, utawala iwe wilayani au mkoani wenye miaka 20 ktk kazi ,uzoefu na weledi serikalini ndoto zao nao ni kushika nafasi za juu ktk wilaya au mkoa unapowaletea mtu ambae hajawahi kuwa mtumishi huwaongezei tija ila unawavunja moyo na hiyo inashusha uzalendo wa nchi na tija kwenye Kazi zao, Hawa walitegemea miongoni mwao ndio atakaepanda na huo ndio utaratibu wa huko nyuma.

mfumo huu uangaliwe upya kwa nini mfano makatibu tarafa na maafisa wengine wa wilaya wasipande kuwa Ma DAS na ma DC na wakurugenzi wa halmashauri halafu hao wapya nao wakaanzia chini kupata uzoefu na kupimwa huko chini na kujifunza kujua mifumo ya serikali inafanyaje Kazi kuanzia chini . Huko nyuma hatukuwahi kuona Ma DC ma Ma RC wakivunja maadili sbb walitokana na mfumo mzuri vyeo havikuwapa ukichaa kwani walipanda navyo polepole, hivyo waliheshimu sana utu na maadili ya Kazi na miiko ya kazi zao.

Zamani watu waioshika nafasi hizo Walionekana ni watu wenye heshima iliotukuka na wazalendo kweli kweli na Jamii ziliwaheshimu sana ila leo Jamii inaziona nafasi hizo kama ni zakupewa kwa wateule fulani waliokosa fursa mahali pengine .

Na shauri serikali ianze marekebisho kwa Kurekebisha hili kwenye mkeka wa MA DAS iwapo kutakuwa na mabadiliko kwenye nafasi hizo.na
Naunga mkono hoja
 
Ninashauri ni wakati wa serikali kufikiria namna nzuri kufanya teuzi mbalimbali katika nafasi za serikali kwa kuzingatia uzoefu wa Kazi serikalini ,uadilifu ili kutengeneza uzalendo .

kwa mfano haileti taswira nzuri kumuacha katibu wa tarafa au maafisa wameoshika nyadhifa mbalimbali ktk Idara zao wilayani au mikoani aliekaa kazini miaka 15 na zaidi serikalini mwenye elimu ya kutosha wengine wanawazidi hata elimu Ma DC ma Das na Ma RC lkn ukapuuza utumishi wao ukatoa watu mtaani kuja kuwa Ma DC, DAS,RC’s ,RAS etc .

Zamani Kila mfanyakazi alijua iwapo atahudumu kwa mda mrefu na uadilifu angefika katika nafasi ya juu kwa bidii yake ya Kazi uadilifu na kujituma ,na hiyo ndio kulikozaa uzalendo hapo zamani ma Afisa utumishi, makatibu tarafa, maafisa maendeleo , kilimo , Afya,Walimu, walipanda nafasi za juu za kiselikali na hiyo ilijenga kuwa na viongozi wengi wenye uadilifu uzalendo na kupenda nchi sbb walipanda nafasi kwa mafaili yao na si kwa majina yao.

Maafisa wakuu wa idara mbalimbali kutoka sekta tofauti mfano elimu, Afya, kilimo, maendelo, utawala iwe wilayani au mkoani wenye miaka 20 ktk kazi ,uzoefu na weledi serikalini ndoto zao nao ni kushika nafasi za juu ktk wilaya au mkoa unapowaletea mtu ambae hajawahi kuwa mtumishi huwaongezei tija ila unawavunja moyo na hiyo inashusha uzalendo wa nchi na tija kwenye Kazi zao, Hawa walitegemea miongoni mwao ndio atakaepanda na huo ndio utaratibu wa huko nyuma.

mfumo huu uangaliwe upya kwa nini mfano makatibu tarafa na maafisa wengine wa wilaya wasipande kuwa Ma DAS na ma DC na wakurugenzi wa halmashauri halafu hao wapya nao wakaanzia chini kupata uzoefu na kupimwa huko chini na kujifunza kujua mifumo ya serikali inafanyaje Kazi kuanzia chini . Huko nyuma hatukuwahi kuona Ma DC ma Ma RC wakivunja maadili sbb walitokana na mfumo mzuri vyeo havikuwapa ukichaa kwani walipanda navyo polepole, hivyo waliheshimu sana utu na maadili ya Kazi na miiko ya kazi zao.

Zamani watu waioshika nafasi hizo Walionekana ni watu wenye heshima iliotukuka na wazalendo kweli kweli na Jamii ziliwaheshimu sana ila leo Jamii inaziona nafasi hizo kama ni zakupewa kwa wateule fulani waliokosa fursa mahali pengine .

Na shauri serikali ianze marekebisho kwa Kurekebisha hili kwenye mkeka wa MA DAS iwapo kutakuwa na mabadiliko kwenye nafasi hizo.
Sekta binafsi hamna watu wenye uwezo mpaka watoke serikalini?
 
Sikubaliani na ushaur wako aisee ulisema wawe watumishi wa serikali vipi wanaofanya private sector na wako vizuri hafu unasema achukue waliokaa serikalini 20 years hao hata utendaji huwa wa mazoea Tena hawana exposure yoyote, Bora kuteua hata wa binafsi wenye exposure ili kuleta mabadiliko
Ni muhimu sifa za msingi na taratibu zikafuatwa hatua kwa hatua kabla ya mtu kutoka sekta binafsi kupewa nafasi za juu serikalini.
Hizi logic tujiulize.....
1. Ni sekta ipi mhusika amekuwepo? (Yaani mtu ni mtangazi wa Redio au Tv binafsi halafu ghafla anapewa ukuu wa wilaya, logic iko wapi? )

2. Amekuwa akifanya kazi eneo lipi? (Yaani mtu anaishi na kufanya kazi sekta binafsi jijini Dar, ghafla anateuliwa mkuu wa wilaya ya Maswa huko Shinyanga, logic iko wapi?)

3. Hivi mhusika ni lazima apewe vyeo vya kiutawala kama DC, DED, DAS, RAS, RC? (Kwanini mtangazi wa redio au Tv asipewe uhafisa habari wa taasisi ya serikali kwanza, akaingia kwanza mifumo ya utendaji wa serikali, akafunga ndoa ya kiutumishi na serikali, halafu ikibidi na kupendeza huko baadaye ndio akapewa cheo cha kiutawala)
 
Ni muhimu sifa za msingi na taratibu zikafuatwa hatua kwa hatua kabla ya mtu kutoka sekta binafsi kupewa nafasi za juu serikalini.
Hizi logic tujiulize.....
1. Ni sekta ipi mhusika amekuwepo? (Yaani mtu ni mtangazi wa Redio au Tv binafsi halafu ghafla anapewa ukuu wa wilaya, logic iko wapi? )

2. Amekuwa akifanya kazi eneo lipi? (Yaani mtu anaishi na kufanya kazi sekta binafsi jijini Dar, ghafla anateuliwa mkuu wa wilaya ya Maswa huko Shinyanga, logic iko wapi?)

3. Hivi mhusika ni lazima apewe vyeo vya kiutawala kama DC, DED, DAS, RAS, RC? (Kwanini mtangazi wa redio au Tv asipewe uhafisa habari wa taasisi ya serikali kwanza, akaingia kwanza mifumo ya utendaji wa serikali, akafunga ndoa ya kiutumishi na serikali, halafu ikibidi na kupendeza huko baadaye ndio akapewa cheo cha kiutawala)
Hoja yako number tatu nimeikubali kabisa, ila kutoka sector binafsi watu hufanya different positions Hadi za kiutawala, Kuna wanaotokea kwenye organization na wazoefu wazuri wanaweza kuja na something new.
Kwa nilichokiona watumishi wengi wa serikali huwa Wana mazoea ya kazi na hawafikirii nje ya box tofauti na waliotoka sector binafsi au kwenye organization za kimataifa utendaji huwa tofauti na wanayo mengi ambayo watumishi hawajui.
So ni Bora kuwa na integration system ya kupata watu competency kwenye nafasi mbalimbali na wazoefu sio ki base kwa watumishi eti 20 year's mtu Yuko wilayani Hana experience hata ndogo ya kimataifa utegemee positive change never on earth.
Mama achaganye tu kuleta ufanisi
 
Sekta binafsi hamna watu wenye uwezo mpaka watoke serikalini?
Embu waza tu.
Miaka kumi iliyopita mtu alimaliza chuo na wenzake kadhaa, akaomba ajira serikalini ya ualimu, akapata ajira ya kuwa mwalimu huko wilaya ya Namtumbo kijiji kimoja ndani ndani, kwa kuwa mazingira ni magumu na mshahara ni mdogo akaona ni bora aende sekta binafsi jijini Dar lakini wenzake wakaenda kufanya kazi hivyo hivyo, yeye akabakia jijini akapata umaarufu mkubwa, akajulikana na wakuu, leo anateuliwa kuwa DC.

Sasa, tuanze kujiuliza haya maswali.
1. Nini mantiki ya kuitumikia Jamhuri kwa muda mrefu halafu inapofika kupewa vyeo vya juu kusiwe na mantiki?

2. Nini mantiki ya uzoefu kwenye utumishi wa umma, ikiwa umaarufu wa kijamii unatosha kuwepo vyeo vya juu?

3. Kwanini mtu kutoka sekta binafsi asipimwe kwanza uwajibikaji wake kwa umma kwa kufanya kazi katika ngazi ya chini kabla ya kupewa cheo cha juu?
 
Back
Top Bottom