Justine Marack
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 567
- 1,551
Mhe. Mwenyekiti wa CCM Ndugu Samia Suluhu. Kwanza nikupongeze kwa kumpa nafasi Makonda. Umefanua jambo kubwa pengine zaidi ya kile ulichokilenga.
Ndugu Paul Makonda
Wengi wanaamini kuwa umerudisha fadhila kwa kijana aliyepanda mbegu ya fikra ya uteuzi wako kama mwanamke wa kwanza kwa nafasi ya Makamu wa Rais. Kwa ni fadhila pia hongera maana sio wote wenye moyo wa shukurani.
Sasa Kijana ameanza kazi kwa kasi na style tofauti na yako.
Jambo la kusikitika ni pale kijana anafanya kazi ya kuibua maovu katika mikutano yake na wakati mwingine inahitajika mamlaka za juu au za uteuzi ili kushughulikia changamoto.
Kwa mamlaka ya MAKONDA, hawezi kutumbua au kumsimamisha kazi mtumishi wa umma.
Ni vema Rais ukajitokeza katika mikutano hiyo kwa njia ya maamuzi. Piga simu moja kwa moja au uweke access ya kufikia maamuzi ya haraka ili kuonesha kuwa Makonda yupo kukuwakilisha.
Labda kama hutambui jambo moja ambalo watanzania wanataka kuona ni uwajibikaji.
Panapotokea Shaka yoyote katika utendaji wa mtu Serikalini, angalau basi chukua hatua za kumsimamisha apishe uchunguzi.
Sasa Kila Kona Makonda anakutana na kero na uonevu, lakini hana malaka.
Itafikia hatua Makonda atakua maarufu kuliko aliyemtuma kazi.
Ndugu Paul Makonda
Sasa Kijana ameanza kazi kwa kasi na style tofauti na yako.
Jambo la kusikitika ni pale kijana anafanya kazi ya kuibua maovu katika mikutano yake na wakati mwingine inahitajika mamlaka za juu au za uteuzi ili kushughulikia changamoto.
Kwa mamlaka ya MAKONDA, hawezi kutumbua au kumsimamisha kazi mtumishi wa umma.
Ni vema Rais ukajitokeza katika mikutano hiyo kwa njia ya maamuzi. Piga simu moja kwa moja au uweke access ya kufikia maamuzi ya haraka ili kuonesha kuwa Makonda yupo kukuwakilisha.
Labda kama hutambui jambo moja ambalo watanzania wanataka kuona ni uwajibikaji.
Panapotokea Shaka yoyote katika utendaji wa mtu Serikalini, angalau basi chukua hatua za kumsimamisha apishe uchunguzi.
Sasa Kila Kona Makonda anakutana na kero na uonevu, lakini hana malaka.
Itafikia hatua Makonda atakua maarufu kuliko aliyemtuma kazi.