Rais wetu kipenzi,
Kabla ya mambo kubadilika, kulikuwa na mpango mkakati wa ujenzi wa kiwanja cha ndege eneo la Omukajunguti mkoani Kagera. Huu mradi ulilenga kuziunganisha nchi za Afrika Mashariki, lakini si hivyo tu mama, kama umeenda Bukoba umeona ni jinsi gani ndege zinastrugle kutua katika kiwanja cha mjini Bukoba, imetokea mara nyingi ndege zimekuwa zikishindwa kutua hadi zinarudi Mwanza.
Inawezekana Rais wetu aliyeondoka hakuona umuhimu wa huo uwanja japo watangulizi wake akiwemo Rais wa awamu ya nne aliona umuhimu wake ndio wakaweka plan. Hata malipo ya fidia yalikuwa yashaandaliwa ila tukaona mradi unayeyuka.
Tunakuomba mama yetu uliangalie na hili kama unavyoangalia marejeo ya mradi wa Bagamoyo. Kwa kuwa hii miradi ni muhimu sana kwa taifa letu.
Kabla ya mambo kubadilika, kulikuwa na mpango mkakati wa ujenzi wa kiwanja cha ndege eneo la Omukajunguti mkoani Kagera. Huu mradi ulilenga kuziunganisha nchi za Afrika Mashariki, lakini si hivyo tu mama, kama umeenda Bukoba umeona ni jinsi gani ndege zinastrugle kutua katika kiwanja cha mjini Bukoba, imetokea mara nyingi ndege zimekuwa zikishindwa kutua hadi zinarudi Mwanza.
Inawezekana Rais wetu aliyeondoka hakuona umuhimu wa huo uwanja japo watangulizi wake akiwemo Rais wa awamu ya nne aliona umuhimu wake ndio wakaweka plan. Hata malipo ya fidia yalikuwa yashaandaliwa ila tukaona mradi unayeyuka.
Tunakuomba mama yetu uliangalie na hili kama unavyoangalia marejeo ya mradi wa Bagamoyo. Kwa kuwa hii miradi ni muhimu sana kwa taifa letu.