GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,544
- 108,878
Kwa jinsi huyo ( huyu ) Waziri anavyokukaanga kila mara huku Wewe ukiona anapatia na Serikali yako inaenda vyema nakuhakikishia Mama ( Rais Samia ) kwa Usununu ( Uchungu ) wa Watanzania ambao nawasikia sehemu mbalimbali kama Uchaguzi Mkuu wa 2025 CCM ( kupitia Serikali yako ) na Vyombo vyako Viwili wa Makao Mkabala na St. Peters Church na wale wa Makao Mkabala na Palm Beach Hotel havitauingilia na NEC ya Mzanaki ( Mwetu ) Mwenzangu Dk. Charles Wilson Mahera haitauingilia unaenda Kuangushwa asubuhi na hutoamini.
Rais ( Mama ) Samia Suluhu Hassan Leo ni mara ya Tano Mwanao nakuambia muondoe upesi huyo Waziri kwani pamoja na Kujitahidi sana kutuonyesha Watanzania jinsi alivyo Mzalendo kwa Taifa hili la Tanzania wakati Sisi wenye Akili Kubwa ( japo hatuna PhD ) kama anayoimiliki ya Mchongo na Vitisho wa Wahadhiri wake tunajua siyo Mzalendo na hajawahi kuwa Mzalendo hata kidogo lakini Mama yangu hunisikii tu Mimi Mwanao Mpendwa ( japo Mtukutu ) ila Mcha Mungu mzuri tu GENTAMYCINE.
Na usiichokijua Mama ( Rais Samia ) huyo Waziri akikaa Vijiweni Kwake Mbezi Beach huwa anakunanga sana tu.
Rais ( Mama ) Samia Suluhu Hassan Leo ni mara ya Tano Mwanao nakuambia muondoe upesi huyo Waziri kwani pamoja na Kujitahidi sana kutuonyesha Watanzania jinsi alivyo Mzalendo kwa Taifa hili la Tanzania wakati Sisi wenye Akili Kubwa ( japo hatuna PhD ) kama anayoimiliki ya Mchongo na Vitisho wa Wahadhiri wake tunajua siyo Mzalendo na hajawahi kuwa Mzalendo hata kidogo lakini Mama yangu hunisikii tu Mimi Mwanao Mpendwa ( japo Mtukutu ) ila Mcha Mungu mzuri tu GENTAMYCINE.
Na usiichokijua Mama ( Rais Samia ) huyo Waziri akikaa Vijiweni Kwake Mbezi Beach huwa anakunanga sana tu.