Rais Samia tafadhali muangalie sana Waziri wako Mmoja usidhani anakunyooshea njia bali anakupeleka Shimoni mazima

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,544
108,878
Kwa jinsi huyo ( huyu ) Waziri anavyokukaanga kila mara huku Wewe ukiona anapatia na Serikali yako inaenda vyema nakuhakikishia Mama ( Rais Samia ) kwa Usununu ( Uchungu ) wa Watanzania ambao nawasikia sehemu mbalimbali kama Uchaguzi Mkuu wa 2025 CCM ( kupitia Serikali yako ) na Vyombo vyako Viwili wa Makao Mkabala na St. Peters Church na wale wa Makao Mkabala na Palm Beach Hotel havitauingilia na NEC ya Mzanaki ( Mwetu ) Mwenzangu Dk. Charles Wilson Mahera haitauingilia unaenda Kuangushwa asubuhi na hutoamini.

Rais ( Mama ) Samia Suluhu Hassan Leo ni mara ya Tano Mwanao nakuambia muondoe upesi huyo Waziri kwani pamoja na Kujitahidi sana kutuonyesha Watanzania jinsi alivyo Mzalendo kwa Taifa hili la Tanzania wakati Sisi wenye Akili Kubwa ( japo hatuna PhD ) kama anayoimiliki ya Mchongo na Vitisho wa Wahadhiri wake tunajua siyo Mzalendo na hajawahi kuwa Mzalendo hata kidogo lakini Mama yangu hunisikii tu Mimi Mwanao Mpendwa ( japo Mtukutu ) ila Mcha Mungu mzuri tu GENTAMYCINE.

Na usiichokijua Mama ( Rais Samia ) huyo Waziri akikaa Vijiweni Kwake Mbezi Beach huwa anakunanga sana tu.
 
Kwa jinsi huyo ( huyu ) Waziri anavyokukaanga kila mara huku Wewe ukiona anapatia na Serikali yako inaenda vyema nakuhakikishia Mama ( Rais Samia ) kwa Usununu ( Uchungu ) wa Watanzania ambao nawasikia sehemu mbalimbali kama Uchaguzi Mkuu wa 2025 CCM ( kupitia Serikali yako ) na Vyombo vyako Viwili wa Makao Mkabala na St. Peters Church na wale wa Makao Mkabala na Palm Beach Hotel havitauingilia na NEC ya Mzanaki ( Mwetu ) Mwenzangu Dk. Charles Wilson Mahera haitauingilia unaenda Kuangushwa asubuhi na hutoamini.

Rais ( Mama ) Samia Suluhu Hassan Leo ni mara ya Tano Mwanao nakuambia muondoe upesi huyo Waziri kwani pamoja na Kujitahidi sana kutuonyesha Watanzania jinsi alivyo Mzalendo kwa Taifa hili la Tanzania wakati Sisi wenye Akili Kubwa ( japo hatuna PhD ) kama anayoimiliki ya Mchongo na Vitisho wa Wahadhiri wake tunajua siyo Mzalendo na hajawahi kuwa Mzalendo hata kidogo lakini Mama yangu hunisikii tu Mimi Mwanao Mpendwa ( japo Mtukutu ) ila Mcha Mungu mzuri tu GENTAMYCINE.

Na usiichokijua Mama ( Rais Samia ) huyo Waziri akikaa Vijiweni Kwake Mbezi Beach huwa anakunanga sana tu.

Kweli kwa mtindo huu......

Huyu jamaa anawaza kuchora mawe tena mabarabarani nchi nzima kama ilivyokuwa 2015.
JamiiForums1856381968.jpg
 
Kwa jinsi huyo ( huyu ) Waziri anavyokukaanga kila mara huku Wewe ukiona anapatia na Serikali yako inaenda vyema nakuhakikishia Mama ( Rais Samia ) kwa Usununu ( Uchungu ) wa Watanzania ambao nawasikia sehemu mbalimbali kama Uchaguzi Mkuu wa 2025 CCM ( kupitia Serikali yako ) na Vyombo vyako Viwili wa Makao Mkabala na St. Peters Church na wale wa Makao Mkabala na Palm Beach Hotel havitauingilia na NEC ya Mzanaki ( Mwetu ) Mwenzangu Dk. Charles Wilson Mahera haitauingilia unaenda Kuangushwa asubuhi na hutoamini.

Rais ( Mama ) Samia Suluhu Hassan Leo ni mara ya Tano Mwanao nakuambia muondoe upesi huyo Waziri kwani pamoja na Kujitahidi sana kutuonyesha Watanzania jinsi alivyo Mzalendo kwa Taifa hili la Tanzania wakati Sisi wenye Akili Kubwa ( japo hatuna PhD ) kama anayoimiliki ya Mchongo na Vitisho wa Wahadhiri wake tunajua siyo Mzalendo na hajawahi kuwa Mzalendo hata kidogo lakini Mama yangu hunisikii tu Mimi Mwanao Mpendwa ( japo Mtukutu ) ila Mcha Mungu mzuri tu GENTAMYCINE.

Na usiichokijua Mama ( Rais Samia ) huyo Waziri akikaa Vijiweni Kwake Mbezi Beach huwa anakunanga sana tu.
Kweli kabisa huyu jamaa anatuona sie ni hatunazo kichwani wakati hali halisi huku kitaa ni ngumu kuliko ugumu wenyewe
 
Kwa jinsi huyo ( huyu ) Waziri anavyokukaanga kila mara huku Wewe ukiona anapatia na Serikali yako inaenda vyema nakuhakikishia Mama ( Rais Samia ) kwa Usununu ( Uchungu ) wa Watanzania ambao nawasikia sehemu mbalimbali kama Uchaguzi Mkuu wa 2025 CCM ( kupitia Serikali yako ) na Vyombo vyako Viwili wa Makao Mkabala na St. Peters Church na wale wa Makao Mkabala na Palm Beach Hotel havitauingilia na NEC ya Mzanaki ( Mwetu ) Mwenzangu Dk. Charles Wilson Mahera haitauingilia unaenda Kuangushwa asubuhi na hutoamini.

Rais ( Mama ) Samia Suluhu Hassan Leo ni mara ya Tano Mwanao nakuambia muondoe upesi huyo Waziri kwani pamoja na Kujitahidi sana kutuonyesha Watanzania jinsi alivyo Mzalendo kwa Taifa hili la Tanzania wakati Sisi wenye Akili Kubwa ( japo hatuna PhD ) kama anayoimiliki ya Mchongo na Vitisho wa Wahadhiri wake tunajua siyo Mzalendo na hajawahi kuwa Mzalendo hata kidogo lakini Mama yangu hunisikii tu Mimi Mwanao Mpendwa ( japo Mtukutu ) ila Mcha Mungu mzuri tu GENTAMYCINE.

Na usiichokijua Mama ( Rais Samia ) huyo Waziri akikaa Vijiweni Kwake Mbezi Beach huwa anakunanga sana tu.
Unamaanisha huyu Rais wa Uchumia tumbo.
JamiiForums1856381968_540x540.jpg
 
nadhani Maskafu bado ana shida flani kichwani maana alikuwa mkubwa darasa zima anasoma na watoto basi wakawa wanampita maksi tunacheka japo alipewa ukaka mkuu na aliutendea haki.

he will understand what I say!

sote tuliamini karudia darasa si kwa umri ule yuko form four!

But we respect him and we are proud of him coz he is among of us toka special school ya kule kaskazini!!

Namshauri atoe mawazo ya urais he will make the best minister! Urais huwa hautafutwi unakuja tu kama Mungu amepanga!
 
nadhani Maskafu bado ana shida flani kichwani maana alikuwa mkubwa darasa zima anasoma na watoto basi wakawa wanampita maksi tunacheka japo alipewa ukaka mkuu na aliutendea haki.

he will understand what I say!

sote tuliamini karudia darasa si kwa umri ule yuko form four!

But we respect him coz he is among of us toka special school ya kule kaskazini!!
Acha kuzunguka ukweli ni kwamba hana Akili pamoja na 'Doctorate' yake period.
 
Naunga mkono hoja. Kuna jambo moja linashindikana kueleweka zaidi toka kwa wahusika kwanini bajeti zao zinaumiza zaidi wwnanchi kuliko wao kujipunguzia matumizi. Waziri wa fedha atakayekuja na bajeti ya kupunguza matumizi atafanya vizuri zaidi.

Wananchi mtaani wanalalamika hali inazidi kuwa ngumu
 
Back
Top Bottom