MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Halafu Rais Samia Mwanao MINOCYCLINE jana nilikutana na Injinia Mmoja mkubwa sana wa TANESCO ( namhifadhi ) ambapo baada ya Kumuuliza kwani nchi ( hasa Mkoa wa Dar es Salaam ) kuna Mgawo wa Umeme unaokera yafuatayo ndiyo yalikuwa Majibu yake......
"Tumechunguza kote na wala hatujaona na hatuoni sababu ya Umeme Kukatika na kuwa na Mgawo ila Sisi tunachoambiwa tu na Wakubwa wetu kuwa tukate Umeme hivyo hatuna jinsi"
Mheshimiwa Rais Mimi Mwanao MINOCYCLINE ni Mtu wa Kawaida mno ila ni Mzalendo wa kweli kwa Taifa langu hivyo nakuomba Waagize Watu wako wa TISS ( japo najua wanajua ) wakuletee Taarifa Kamili ila Boss wa hiyo Kampuni ya Kuuza Majenereta na sasa Wanauza sana tu Dada yake Waziri wako Mmoja ( anayetamani kuwa na Cheo kama chako 2030 au 2035 ) ambaye zamani alikuwa Kampuni Kubwa tu ya Mawasiliano Tanzania.
Ukishamjua tafadhali Mtumbue Oky?
"Tumechunguza kote na wala hatujaona na hatuoni sababu ya Umeme Kukatika na kuwa na Mgawo ila Sisi tunachoambiwa tu na Wakubwa wetu kuwa tukate Umeme hivyo hatuna jinsi"
Mheshimiwa Rais Mimi Mwanao MINOCYCLINE ni Mtu wa Kawaida mno ila ni Mzalendo wa kweli kwa Taifa langu hivyo nakuomba Waagize Watu wako wa TISS ( japo najua wanajua ) wakuletee Taarifa Kamili ila Boss wa hiyo Kampuni ya Kuuza Majenereta na sasa Wanauza sana tu Dada yake Waziri wako Mmoja ( anayetamani kuwa na Cheo kama chako 2030 au 2035 ) ambaye zamani alikuwa Kampuni Kubwa tu ya Mawasiliano Tanzania.
Ukishamjua tafadhali Mtumbue Oky?