Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,708
- 5,711
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 11 Machi, 2023
kuna wakati walishawahi kuwaza mambo ya maana? ni lini viongozi wa Tz waliwawazia watu wao?Ukiwaona hapo utafikiri wanajadili mambo ya maana kumbe wanawaza matumbo yao tu!
Wamaojadili Mambo ya maana ni babako na mamako nyakati za saa 6 usiku. Kenge kweliUkiwaona hapo utafikiri wanajadili mambo ya maana kumbe wanawaza matumbo yao tu!
Naona umepanic umeukalia nini?Wamaojadili Mambo ya maana ni babako na mamako nyakati za saa 6 usiku. Kenge kweli
Wawajadili na wale wakazi wa bonde la mto msimbazi Dar Es Salaam serikali wanaotaka kuwahamisha kwa malipo kiduchu ya laki 8 kwa nyumba ya vyumba 6,na wenye vyumba 11 kulipwa milioni 18
Naona ukiambiwa ukweli wa yanayojiri unarudisha matusi kwani akili yako ni tope Kwa kiwango gani?!Wamaojadili Mambo ya maana ni babako na mamako nyakati za saa 6 usiku. Kenge kweli
Ila jamaa una chuki sana na regime iliyopo. Mwendazake harudi tenaUkiwaona hapo utafikiri wanajadili mambo ya maana kumbe wanawaza matumbo yao tu!
Acha hizo, kila mtu asifisie anachokipendaAcha ujinga wewe! Tutaanza kufikiri vibaya kuhusu wewe na huyo mtu maana umeanza kuonyesha tabia za wale washirika wa Rainbow ambao wanapopoteza mwenza wao!
Akili zinaruka na kila jambo ni kumtaja mwenza aliyetwaliwa.
Jee nawe ni hivyo?
Acha matusi we mburulaWamaojadili Mambo ya maana ni babako na mamako nyakati za saa 6 usiku. Kenge kweli
Serikali haina hela za kuwagawia watu chapeni kazi.Hali ya maisha ni ngumu sana mtaani hakuna hela.
To be honest. Watu wamechapika.
Chapa kazi acheni majunguUkiwaona hapo utafikiri wanajadili mambo ya maana kumbe wanawaza matumbo yao tu!
Dah we jamaaUkiwaona hapo utafikiri wanajadili mambo ya maana kumbe wanawaza matumbo yao tu!
Wewe kazi umeanza kufanya lini aisee??Serikali haina hela za kuwagawia watu chapeni kazi.