Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,813
- 11,991
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiwaapisha Viongozi wateule Ikulu jijini Dar es Es Salaam leo tarehe 14 Julai, 2023
RAIS SAMIA: SISI TUNALUMBANA KUHUSU BANDARI, WENZETU WANATUMIA FURSA
Rais wa Samia Suluhu Hassan ameyasema hayo wakati wa kuwaapisha viongozi wateule Ikulu Jijini Dar es es Salaam, leo Julai 14, 2023 ambapo amesisitiza kuhusu kutumia fursa za kupata maendeleo pindi zinapopatikana.
RAIS SAMIA: KILA MABADILIKO YANA UGUMU WAKE
Rais wa Samia Suluhu Hassan anasema “Mkiwa na nia safi na ya kujenga Nchi msiogope kuja na mawazo ya kubadilisha mwekeleo wa Nchi, kila mabadiliko yana ugumu wake, hakuna mabadiliko marahisi.”
Ameongeza “Watu wakizoea kushoto ukiwaambia geuka kulia watalalamika, msiogope kuna na madiliko ya uelekeo wa Nchi yetu.”
RAIS SAMIA: SISI TUNALUMBANA KUHUSU BANDARI, WENZETU WANATUMIA FURSA
Rais wa Samia Suluhu Hassan ameyasema hayo wakati wa kuwaapisha viongozi wateule Ikulu Jijini Dar es es Salaam, leo Julai 14, 2023 ambapo amesisitiza kuhusu kutumia fursa za kupata maendeleo pindi zinapopatikana.
RAIS SAMIA: KILA MABADILIKO YANA UGUMU WAKE
Rais wa Samia Suluhu Hassan anasema “Mkiwa na nia safi na ya kujenga Nchi msiogope kuja na mawazo ya kubadilisha mwekeleo wa Nchi, kila mabadiliko yana ugumu wake, hakuna mabadiliko marahisi.”
Ameongeza “Watu wakizoea kushoto ukiwaambia geuka kulia watalalamika, msiogope kuna na madiliko ya uelekeo wa Nchi yetu.”