Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 10,433
- 36,071
Hizi kanuni za kikotoo kimsingi zinapaswa kuwekwa kwenye mkataba wa ajira siku mtu anaajiriwa, ili wakati mfanyakazi akiwa anaanza kazi ajue mwisho ukoje, na mabadiliko yoyote njiani mfanyakazi inabidi ashirikishwe na kuridhia kwanza.