GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,697
- 109,125
Halafu GENTAMYCINE nawaombeni tafuteni Uongo Mpya kwani huu wa kusema kila Siku kuwa Mvua hazipo hivyo Mito haijazi Maji katika Mabwawa ya Umeme ndiyo maana sasa Tanzania ( hasa Dar es Salaam ) kuna hii Kata Washa na Washa Kata umeshapitwa na wakati sawa?
Endeleeni tu kutuona kila Siku kuwa Watanzania ni Mapopoma ( Wapumbavu ) sawa?
Endeleeni tu kutuona kila Siku kuwa Watanzania ni Mapopoma ( Wapumbavu ) sawa?