Jabali la Siasa
JF-Expert Member
- Jul 10, 2020
- 2,493
- 2,111
RAIS SAMIA ANAMUENZI NYERERE KUREJESHA NAFASI YA TANZANIA KIMATAIFA- KAFULILA
====
Mkuu wa Mkoa Simiyu , Mhe David Kafulila amesema kuwa ziara za Mhe. Rais duniani mbali ya faida lukuki za kiuchumi ni za kimkakati kurejesha nafasi ya Tanzania kwenye jukwaa la kimataifa.
Mhe Kafulila amesema hayo leo kwenye mkutano wa mapokezi ya Katibu Mkuu wa CCM, Comrade Chongolo wilayani Maswa kwa ziara ya siku4 mkoani Simiyu.
" Tanzania kihistoria ni Taifa kubwa.sio la kutazama ndani (inwardlooking) au kujitazama lenyewe.
Ni ' Internationalist', limejengwa hivyo tangu zama za Mwl. Nyerere na itaendelea kuwa hivyo, na nilazima kulinda heshima hiyo kizazi hadi kizazi.
Wanaosoma na kufuatilia wanajua, Sisi tulikuwa moja ya mataifa machache kabisa Afrika ambayo iwe Ulaya au Amerika haiwezi kufikiria kufanya jambo lolote kwa Afrika bila kushirikishwa.
Hii ni heshima Mwl. Nyerere aliijenga na Rais Samia anaitafuta, anairejesha, hatupaswi kujidogosha". Alihitimisha Kafulil
====
Mkuu wa Mkoa Simiyu , Mhe David Kafulila amesema kuwa ziara za Mhe. Rais duniani mbali ya faida lukuki za kiuchumi ni za kimkakati kurejesha nafasi ya Tanzania kwenye jukwaa la kimataifa.
Mhe Kafulila amesema hayo leo kwenye mkutano wa mapokezi ya Katibu Mkuu wa CCM, Comrade Chongolo wilayani Maswa kwa ziara ya siku4 mkoani Simiyu.
" Tanzania kihistoria ni Taifa kubwa.sio la kutazama ndani (inwardlooking) au kujitazama lenyewe.
Ni ' Internationalist', limejengwa hivyo tangu zama za Mwl. Nyerere na itaendelea kuwa hivyo, na nilazima kulinda heshima hiyo kizazi hadi kizazi.
Wanaosoma na kufuatilia wanajua, Sisi tulikuwa moja ya mataifa machache kabisa Afrika ambayo iwe Ulaya au Amerika haiwezi kufikiria kufanya jambo lolote kwa Afrika bila kushirikishwa.
Hii ni heshima Mwl. Nyerere aliijenga na Rais Samia anaitafuta, anairejesha, hatupaswi kujidogosha". Alihitimisha Kafulil