Rais Samia ni kama Nyerere kimataifa

Jabali la Siasa

JF-Expert Member
Jul 10, 2020
2,493
2,111
RAIS SAMIA ANAMUENZI NYERERE KUREJESHA NAFASI YA TANZANIA KIMATAIFA- KAFULILA

====

Mkuu wa Mkoa Simiyu , Mhe David Kafulila amesema kuwa ziara za Mhe. Rais duniani mbali ya faida lukuki za kiuchumi ni za kimkakati kurejesha nafasi ya Tanzania kwenye jukwaa la kimataifa.

Mhe Kafulila amesema hayo leo kwenye mkutano wa mapokezi ya Katibu Mkuu wa CCM, Comrade Chongolo wilayani Maswa kwa ziara ya siku4 mkoani Simiyu.

" Tanzania kihistoria ni Taifa kubwa.sio la kutazama ndani (inwardlooking) au kujitazama lenyewe.

Ni ' Internationalist', limejengwa hivyo tangu zama za Mwl. Nyerere na itaendelea kuwa hivyo, na nilazima kulinda heshima hiyo kizazi hadi kizazi.

Wanaosoma na kufuatilia wanajua, Sisi tulikuwa moja ya mataifa machache kabisa Afrika ambayo iwe Ulaya au Amerika haiwezi kufikiria kufanya jambo lolote kwa Afrika bila kushirikishwa.

Hii ni heshima Mwl. Nyerere aliijenga na Rais Samia anaitafuta, anairejesha, hatupaswi kujidogosha". Alihitimisha Kafulil

IMG-20220601-WA0000.jpg
 
...wakati wa awamu ya 5 heshima ya Tz kimataifa ilipotea.

..Rais Mugabe wa Zimbabwe alitufananisha na vibaraka tulipowatosa wananchi wa Sahara Magharibi na kuwakumbatia Morocco.
 
...wakati wa awamu ya 5 heshima ya Tz kimataifa ilipotea.

..Rais Mugabe wa Zimbabwe alitufananisha na vibaraka tulipowatosa wananchi wa Sahara Magharibi na kuwakumbatia Morocco.
Heshima ya Tanzania imerudi kwa kasi,
 
Enzi ya Nyerere ilikuwa ni enzi ya vita baridi (cold war) kwa hiyo mataifa makubwa yalikuwa yanashindana kuzivuta nchi za Kiafrika upande wao. Ndiyo maana Nyerere alikuwa akiongea anasikilizwa. Dunia ya leo ni tofauti. Tuko dunia ya unipolar sasa hivi.
 
...wakati wa awamu ya 5 heshima ya Tz kimataifa ilipotea.

..Rais Mugabe wa Zimbabwe alitufananisha na vibaraka tulipowatosa wananchi wa Sahara Magharibi na kuwakumbatia Morocco.
Mkuu nitakubali hilo la Sahara magharibi, walau nikiri tu sikumbuki wakati wa Awamu gani Tanzania ilikuwa na Sera ya kutoitambua Sahara magharibi...Taarifa yeyote itazingatiwa.

...hata hivyo naomba kuuliza,

Heshima ya Kimataifa??

naona kama unamaanisha mataifa yaliyo nje ya Afrika, unisahihishe kama nimeona visivyo, walakin sijawahi kusikia Tanzania imekosa heshima kamwe! Nifafanulie kuhusu hiyo "Heshima ya Kimataifa"

....??
Mkuu, ni vigezo gani vilivyotumika au ni vipi vilivyosababisha 'kupotea' kwa heshima ya- Taifa-...Kimataifa
Asante
 
RAIS SAMIA ANAMUENZI NYERERE KUREJESHA NAFASI YA TANZANIA KIMATAIFA- KAFULILA

====

Mkuu wa Mkoa Simiyu , Mhe David Kafulila amesema kuwa ziara za Mhe. Rais duniani mbali ya faida lukuki za kiuchumi ni za kimkakati kurejesha nafasi ya Tanzania kwenye jukwaa la kimataifa.

Mhe Kafulila amesema hayo leo kwenye mkutano wa mapokezi ya Katibu Mkuu wa CCM, Comrade Chongolo wilayani Maswa kwa ziara ya siku4 mkoani Simiyu.

" Tanzania kihistoria ni Taifa kubwa.sio la kutazama ndani (inwardlooking) au kujitazama lenyewe.

Ni ' Internationalist', limejengwa hivyo tangu zama za Mwl. Nyerere na itaendelea kuwa hivyo, na nilazima kulinda heshima hiyo kizazi hadi kizazi.

Wanaosoma na kufuatilia wanajua, Sisi tulikuwa moja ya mataifa machache kabisa Afrika ambayo iwe Ulaya au Amerika haiwezi kufikiria kufanya jambo lolote kwa Afrika bila kushirikishwa.

Hii ni heshima Mwl. Nyerere aliijenga na Rais Samia anaitafuta, anairejesha, hatupaswi kujidogosha". Alihitimisha Kafulil

View attachment 2246563
Blasphermy
 
RAIS SAMIA ANAMUENZI NYERERE KUREJESHA NAFASI YA TANZANIA KIMATAIFA- KAFULILA

====

Mkuu wa Mkoa Simiyu , Mhe David Kafulila amesema kuwa ziara za Mhe. Rais duniani mbali ya faida lukuki za kiuchumi ni za kimkakati kurejesha nafasi ya Tanzania kwenye jukwaa la kimataifa.

Mhe Kafulila amesema hayo leo kwenye mkutano wa mapokezi ya Katibu Mkuu wa CCM, Comrade Chongolo wilayani Maswa kwa ziara ya siku4 mkoani Simiyu.

" Tanzania kihistoria ni Taifa kubwa.sio la kutazama ndani (inwardlooking) au kujitazama lenyewe.

Ni ' Internationalist', limejengwa hivyo tangu zama za Mwl. Nyerere na itaendelea kuwa hivyo, na nilazima kulinda heshima hiyo kizazi hadi kizazi.

Wanaosoma na kufuatilia wanajua, Sisi tulikuwa moja ya mataifa machache kabisa Afrika ambayo iwe Ulaya au Amerika haiwezi kufikiria kufanya jambo lolote kwa Afrika bila kushirikishwa.

Hii ni heshima Mwl. Nyerere aliijenga na Rais Samia anaitafuta, anairejesha, hatupaswi kujidogosha". Alihitimisha Kafulil

View attachment 2246563
Hujakosea mkuu 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220603-131704.png
    Screenshot_20220603-131704.png
    125.9 KB · Views: 6

Similar Discussions

2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom