Tatizo raisi aliyepita alikuwa si mwanasiasa bali ni mtawala, mambo yake alitumia nguvu nyingi ndiyo maana alikasirishwa hata na wasani waliyokuwa wakiimba nyimbo za kuikosoa serikali. Uhuru wa watanzania ni zaidi ya CCM na serikali yake, ndiyo maana watu wengi wanashangilia hata 40 ya marehemu haijakwisha.Ni suala la muda tu.
Kwa nyendo zake za mapema tu Samia anaenda kuizika rasmi CCM.
Ikumbukwe uiamara wa CCM ulikuwa umebaki katika ncha ndogo sana ya kuwapigania wanyonge japokuwa haupo ushahidi wa moja kwa moja kama kilifanya hivyo.
Pamoja na yote Hayati Magufuli alijiegemeza katika jambo hilo kwa sababu aliamini ncha hiyo aghalabu ingeendelea kumweka jirani na hao wanaoitwa wanyonge ili tu kwalo CCM iendelee kuwa madarakani.
Sasa kwa muziki wa huyo mama kwanza kuruhusu kulegezwa kwa baadhi ya masharti ambayo yalikuwa yamepewa mkazo na mtangulizi wake yakiwamo vibali vya kazi,kuruhusu wafanyabiashara mafisadi kurejea hiyo ni dalili ya kuwa rasmi tunarejea kwenye zama za unanijua mimi ni nani.
Samia ameamua kucheka na mabua kwa hakika mwisho wa CCM waja tena kwa kasi!
Kubalini kuwa enzi zenu zimekwisha! Acheni kutupigia keleleNi suala la muda tu.
Kwa nyendo zake za mapema tu Samia anaenda kuizika rasmi CCM.
Ikumbukwe uiamara wa CCM ulikuwa umebaki katika ncha ndogo sana ya kuwapigania wanyonge japokuwa haupo ushahidi wa moja kwa moja kama kilifanya hivyo.
Pamoja na yote Hayati Magufuli alijiegemeza katika jambo hilo kwa sababu aliamini ncha hiyo aghalabu ingeendelea kumweka jirani na hao wanaoitwa wanyonge ili tu kwalo CCM iendelee kuwa madarakani.
Sasa kwa muziki wa huyo mama kwanza kuruhusu kulegezwa kwa baadhi ya masharti ambayo yalikuwa yamepewa mkazo na mtangulizi wake yakiwamo vibali vya kazi,kuruhusu wafanyabiashara mafisadi kurejea hiyo ni dalili ya kuwa rasmi tunarejea kwenye zama za unanijua mimi ni nani.
Samia ameamua kucheka na mabua kwa hakika mwisho wa CCM waja tena kwa kasi!
Sasa Hivi Yaugua Tu Yamekosa Mfariji
Ccm ikifa ndio utakuwa mwanzo wa nchi yetu kupata maendeleo ya kweli! Hili li chama limewatesa sana Watanzania kama litakufa itakuwa habari njema kwa raia!Kabla sijasoma post yako mkuu napmba niseme wazo lako ndilo nililokuwa nalo na umewahi kuwasilisha kabla yangu! Ni kweli kabisa rais SSH hajajua wanaompa suport na kufurahia aendelee anayoyafanya ni wapinzani ili mwisho wa siku wamuite dhaifu na wachukue point pale CCM itakapoingia kaburini.R.I.P CCM
Hayo ni mawazo yako. kila mtu ana mawazo yake. Kukalia kuti kavu HAPANA..Kila mtu ana staili yake ya kuongoza.Mama Samia Amekalia kuti Kavu anawaregezea kamba wale Watu ambao Mtangulizi wake aliwatumbuwa Majipu? Watamuangusha muda sio mrefu.
Nimependa hiyo nukuu "Tusibaguane kwa vyama, dini wala kabila"
Analeta chuki tu...kila mtu ana namna ya kuongoza, na uongozi ni timu nzima sio mtu mmoja.maslahi yameguswa. my guess ni lile kundi la mzee
Ni suala la muda tu.
Kwa nyendo zake za mapema tu Samia anaenda kuizika rasmi CCM.
Ikumbukwe uiamara wa CCM ulikuwa umebaki katika ncha ndogo sana ya kuwapigania wanyonge japokuwa haupo ushahidi wa moja kwa moja kama kilifanya hivyo.
Pamoja na yote Hayati Magufuli alijiegemeza katika jambo hilo kwa sababu aliamini ncha hiyo aghalabu ingeendelea kumweka jirani na hao wanaoitwa wanyonge ili tu kwalo CCM iendelee kuwa madarakani.
Sasa kwa muziki wa huyo mama kwanza kuruhusu kulegezwa kwa baadhi ya masharti ambayo yalikuwa yamepewa mkazo na mtangulizi wake yakiwamo vibali vya kazi,kuruhusu wafanyabiashara mafisadi kurejea hiyo ni dalili ya kuwa rasmi tunarejea kwenye zama za unanijua mimi ni nani.
Samia ameamua kucheka na mabua kwa hakika mwisho wa CCM waja tena kwa kasi!
maslahi yameguswa. my guess ni lile kundi la mzee
Kabla sijasoma post yako mkuu napmba niseme wazo lako ndilo nililokuwa nalo na umewahi kuwasilisha kabla yangu! Ni kweli kabisa rais SSH hajajua wanaompa suport na kufurahia aendelee anayoyafanya ni wapinzani ili mwisho wa siku wamuite dhaifu na wachukue point pale CCM itakapoingia kaburini.R.I.P CCM