Rais Samia ndiye Rais anayeenda kuiua CCM

Rais Samia ndiye Rais anayeenda kuiua CCM

Uko sahihi tu kama kungekuwa na chama mbadala

CCM haitakufa ila watarudi kugawana njia kuu zote za uchumi


Na hapo wanayemdharau atakapokumbukwa
Miaka michache tu nyuma ilikuwa kukatiza mtaani umevaa nguo ya CCM ni tatizo. Magu alijaribu kurudisha heshima kwa chama chake, huyu mama kwa nyendo zake anarudi kulekule kwa kasi ya 5G.

Nimeshtuka aliposema apelekewe masuala ya misamaha ya kodi. Hili ni unguided missile.
 
Watanzania msiojitambua mshaanza upuuzi wenu. Hamjitambui coz hamjui nini mnataka na mkijua still hamjui njia sahihi za kufanikisha.

Kosa kubwa watz hufanya siku zote ni kuwarekebisha CCm wanapokosea. Hata JK alipoamua kuleta katiba mpya mlianza maneno yenu haya, mwisho akawageuka.

Mbona hamjifunzi wapuuuzi nyie.
 
Tatizo raisi aliyepita alikuwa si mwanasiasa bali ni mtawala, mambo yake alitumia nguvu nyingi ndiyo maana alikasirishwa hata na wasani waliyokuwa wakiimba nyimbo za kuikosoa serikali. Uhuru wa watanzania ni zaidi ya CCM na serikali yake, ndiyo maana watu wengi wanashangilia hata 40 ya marehemu haijakwisha.
Unaweza kuwa huru lakini hauna haki
 
Ni suala la muda tu.

Kwa nyendo zake za mapema tu Samia anaenda kuizika rasmi CCM.

Ikumbukwe uiamara wa CCM ulikuwa umebaki katika ncha ndogo sana ya kuwapigania wanyonge japokuwa haupo ushahidi wa moja kwa moja kama kilifanya hivyo.

Pamoja na yote Hayati Magufuli alijiegemeza katika jambo hilo kwa sababu aliamini ncha hiyo aghalabu ingeendelea kumweka jirani na hao wanaoitwa wanyonge ili tu kwalo CCM iendelee kuwa madarakani.

Sasa kwa muziki wa huyo mama kwanza kuruhusu kulegezwa kwa baadhi ya masharti ambayo yalikuwa yamepewa mkazo na mtangulizi wake yakiwamo vibali vya kazi,kuruhusu wafanyabiashara mafisadi kurejea hiyo ni dalili ya kuwa rasmi tunarejea kwenye zama za unanijua mimi ni nani.

Samia ameamua kucheka na mabua kwa hakika mwisho wa CCM waja tena kwa kasi!
Tafuta pesa angalia familia yako
 
kutatokea mgawanyiko mkali amini usiamini utaanzia kwenye miradi iliyoachwa na mtangulizi wake kama haitokuwa na mwelekeo wowote basi raia wengi nao watamtosa
 
Ni suala la muda tu.

Kwa nyendo zake za mapema tu Samia anaenda kuizika rasmi CCM.

Ikumbukwe uiamara wa CCM ulikuwa umebaki katika ncha ndogo sana ya kuwapigania wanyonge japokuwa haupo ushahidi wa moja kwa moja kama kilifanya hivyo.

Pamoja na yote Hayati Magufuli alijiegemeza katika jambo hilo kwa sababu aliamini ncha hiyo aghalabu ingeendelea kumweka jirani na hao wanaoitwa wanyonge ili tu kwalo CCM iendelee kuwa madarakani.

Sasa kwa muziki wa huyo mama kwanza kuruhusu kulegezwa kwa baadhi ya masharti ambayo yalikuwa yamepewa mkazo na mtangulizi wake yakiwamo vibali vya kazi,kuruhusu wafanyabiashara mafisadi kurejea hiyo ni dalili ya kuwa rasmi tunarejea kwenye zama za unanijua mimi ni nani.

Samia ameamua kucheka na mabua kwa hakika mwisho wa CCM waja tena kwa kasi!
Wewe uliiona CCM ipo hai kwasababu ya ubabe wa Magufuli,Magufuli iliipasua CCM vipandevipande,hivi ushindi kwa wabunge wengi kwenye uchaguzi uliopita ulikuwa halali?
Mama samia anakwenda kukiunganisha chama cha mapinduzi upya.
 
Mama we ndo unastahili kuombewa Mungu akulinde mama.

Mama mama maamaaa mama huyo mamaa maaamaa huyooo mamaaa.

Taga tupa kule.
 
Chawa mbeleko imechanika mkategemea mama nae atawabeba,mlipoona hakuna matumaini mmekuja na ngonjera za unyonge,wakati unyonge ushazikwa chato
 
Wanaosema huyu mama anaungwa mkono ✋ na wapinzani wanataka kutuaminisha kuwa ccm amewafanyia ubaya gani mpaka wasimuunge mkono?

Kwani kuondoa sheria kandamizi na za kiimla zilizowekwa na dikteta Magufuli ni kosa na mbona nchi nzima iliathirika kwa ubabe wa Magufuli na sasa amekufa hata huyo mama na wengine wengi tu wanapumua.

Mungu amesikia kilio chetu, ama kweli Mungu ni mkubwa ngoja Magufuli apumzike huko ili na wananchi nao wapumzike kwenye nchi yao.
 
Ni suala la muda tu.

Kwa nyendo zake za mapema tu Samia anaenda kuizika rasmi CCM.

Ikumbukwe uiamara wa CCM ulikuwa umebaki katika ncha ndogo sana ya kuwapigania wanyonge japokuwa haupo ushahidi wa moja kwa moja kama kilifanya hivyo.

Pamoja na yote Hayati Magufuli alijiegemeza katika jambo hilo kwa sababu aliamini ncha hiyo aghalabu ingeendelea kumweka jirani na hao wanaoitwa wanyonge ili tu kwalo CCM iendelee kuwa madarakani.

Sasa kwa muziki wa huyo mama kwanza kuruhusu kulegezwa kwa baadhi ya masharti ambayo yalikuwa yamepewa mkazo na mtangulizi wake yakiwamo vibali vya kazi,kuruhusu wafanyabiashara mafisadi kurejea hiyo ni dalili ya kuwa rasmi tunarejea kwenye zama za unanijua mimi ni nani.

Samia ameamua kucheka na mabua kwa hakika mwisho wa CCM waja tena kwa kasi!
Kuua CCM siyo shida kwa vile vyama vingine vya Siasa vipo Kisheria. Tatizo ungeniambia Mama Samia ataiua Tanzania hapo ningesikitika. Masilahi ya Taifa kwanza na vyama vije baadaye.

Hata JK Nyerere amewahi kusema kuwa CCM siyo mama yangu wala baba yangu. Kuna nchi nyingi sana hapa Afrika ambapo vyama vilivyo leta uhuru vimekufa au vimeondolewa madarakani na kuna vyama vipya vipo na vinapiga kazi Kama Kenya, Uganda, Zambia, Ghana, Senegal nk
 
Ni suala la muda tu.

Kwa nyendo zake za mapema tu Samia anaenda kuizika rasmi CCM.

Ikumbukwe uiamara wa CCM ulikuwa umebaki katika ncha ndogo sana ya kuwapigania wanyonge japokuwa haupo ushahidi wa moja kwa moja kama kilifanya hivyo.

Pamoja na yote Hayati Magufuli alijiegemeza katika jambo hilo kwa sababu aliamini ncha hiyo aghalabu ingeendelea kumweka jirani na hao wanaoitwa wanyonge ili tu kwalo CCM iendelee kuwa madarakani.

Sasa kwa muziki wa huyo mama kwanza kuruhusu kulegezwa kwa baadhi ya masharti ambayo yalikuwa yamepewa mkazo na mtangulizi wake yakiwamo vibali vya kazi,kuruhusu wafanyabiashara mafisadi kurejea hiyo ni dalili ya kuwa rasmi tunarejea kwenye zama za unanijua mimi ni nani.

Samia ameamua kucheka na mabua kwa hakika mwisho wa CCM waja tena kwa kasi!

Hakuna ccm bila madaraka ya urais, cheo cha mwenyekiti wa ccm ambapo mara nyingi huambatanishwa na madaraka ya urais ndio mbeleko pekee ya ccm kuendelea kuwa hai. Hayo mambo ya wanyonge ni utapeli wa mchana kweupe ambao ccm inautumia kama kichaka cha kujifichia.

Hiyo ya unanijua mimi ni nani ilikuwa ni inafanywa na matajiri kadhaa kwa kupewa nguvu na viongozi kuanzia rais, mawaziri, wakuu wa mikoa na wilaya, wakuu wa vyombo vya dola nk. Kwa sasa hawa viongozi wamejitokeza waziwazi na kufanya unyama, kupora Mali za watu na kunajisi chaguzi za nchi hii. Chini ya utawala wa Magufuli ndio kumefanyika uchafu mwingi ikiwemo watu kutekwa, kuuwawa, vyombo vya habari kufungiwa na uhayawani mwingine kama huo. Msidhani huo uchafu wake hatuufahamu eti kwakuwa alidhibiti vyombo vya habari na kuruhusu propaganda zake kutangazwa tu. Tunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule muovu na kuleta mabadiliko bila damu kumwagika.
 
Ni suala la muda tu.

Kwa nyendo zake za mapema tu Samia anaenda kuizika rasmi CCM.

Ikumbukwe uiamara wa CCM ulikuwa umebaki katika ncha ndogo sana ya kuwapigania wanyonge japokuwa haupo ushahidi wa moja kwa moja kama kilifanya hivyo.

Pamoja na yote Hayati Magufuli alijiegemeza katika jambo hilo kwa sababu aliamini ncha hiyo aghalabu ingeendelea kumweka jirani na hao wanaoitwa wanyonge ili tu kwalo CCM iendelee kuwa madarakani.

Sasa kwa muziki wa huyo mama kwanza kuruhusu kulegezwa kwa baadhi ya masharti ambayo yalikuwa yamepewa mkazo na mtangulizi wake yakiwamo vibali vya kazi,kuruhusu wafanyabiashara mafisadi kurejea hiyo ni dalili ya kuwa rasmi tunarejea kwenye zama za unanijua mimi ni nani.

Samia ameamua kucheka na mabua kwa hakika mwisho wa CCM waja tena kwa kasi!
Mkuu usiwe na wasiwasi. Tunawalegeza wanasaccos kwanza ili wakija kuamka tayari kumekucha na leo Mama Samia amekuja na msemo mpya KAZI INAENDELEA! Wanasaccos wanafikiri kazi imesimama acha walale usingizi wa pono!!
 
Hakuna ccm bila madaraka ya urais, cheo cha mwenyekiti wa ccm ambapo mara nyingi huambatanishwa na madaraka ya urais ndio mbeleko pekee ya ccm kuendelea kuwa hai. Hayo mambo ya wanyonge ni utapeli wa mchana kweupe ambao ccm inautumia kama kichaka cha kujifichia.
Vipi wewe hujarudi CCM? Wanasaccos wenzako karibu wote wamesharudi kwenye Chama Dume!! Mkuu wahi seat zisije zikajaa!!
 
Hahahahahahaha mie nafurahi maana Samia ni ccm anapigwa Vita na ccm anatetewa na Wananchi na Upinzani
 
Vipi wewe hujarudi CCM? Wanasaccos wenzako karibu wote wamesharudi kwenye Chama Dume!! Mkuu wahi seat zisije zikajaa!!

Hakuna kijana anayejitambua anaweza kujiunga na chama cha kizee, labda msaka fursa, na asiyejitambua.
 
Back
Top Bottom