Rais Samia ndiye Rais anayeenda kuiua CCM

Rais Samia ndiye Rais anayeenda kuiua CCM

Acha kumtisha na atishiki, wewe unataka watu waonewe? Kusiwe na mazingira mazuri kwa wawekezaji, tra wapore fedha akaunti za wafanyabiashara, kubambikia kodi unapenda? Magu kiukweli ana dhamani kubwa sana, usitake na mama aendeleze madhambi, sasa watz wanavutana juu ya ubora wa jiwe, nasikia ati wanapendekeza kwenye sarafu kuwe na picha yake HAIKUBALIKI baadhi wanamchulia kama amewaweka katika hali ngumu wakati haikuwa lazima hawatendee hivyo! Kama kutolipa madeni ya ndani, kutopandisha mishahara/madaraja, kupora ushindi uchaguzi, kupendelea kwao na ukanda wake, bila kujali ameanzisha miradi gani, ila kama kwa dhuluma basi si mfano wa kuigwa! Apumzike kwa amani Mungu anajua!
Wajionaje khali?
 
Ni suala la muda tu.

Kwa nyendo zake za mapema tu Samia anaenda kuizika rasmi CCM.

Ikumbukwe uiamara wa CCM ulikuwa umebaki katika ncha ndogo sana ya kuwapigania wanyonge japokuwa haupo ushahidi wa moja kwa moja kama kilifanya hivyo.

Pamoja na yote Hayati Magufuli alijiegemeza katika jambo hilo kwa sababu aliamini ncha hiyo aghalabu ingeendelea kumweka jirani na hao wanaoitwa wanyonge ili tu kwalo CCM iendelee kuwa madarakani.

Sasa kwa muziki wa huyo mama kwanza kuruhusu kulegezwa kwa baadhi ya masharti ambayo yalikuwa yamepewa mkazo na mtangulizi wake yakiwamo vibali vya kazi,kuruhusu wafanyabiashara mafisadi kurejea hiyo ni dalili ya kuwa rasmi tunarejea kwenye zama za unanijua mimi ni nani.

Samia ameamua kucheka na mabua kwa hakika mwisho wa CCM waja tena kwa kasi!
Duh sasa itakuaje
 
Ingependeza angemaliza huu mda wake wa miaka mitano angepumzika tu. Asigombee tena.
Kama kila kitu basi nadhani anacho na ni vizuri kama atatosheka.

Bado ataendelea kulipwa pesa nzuri tu miaka yake yote.
Ila kuna kundi linaloshiba kwa mgongo wake litamshauri agombee tena, ili liendelee kula.
Hakika asifanye hivyo. Amwachie Philip Mpango.
 
 
Back
Top Bottom