Rais Samia ndiye Rais anayeenda kuiua CCM

Rais Samia ndiye Rais anayeenda kuiua CCM

Sisi kama Wapinzani tunamuogopa Mama zaidi kuliko hata yule chizi,Mama anakura za akinamama wengi Mama utawala wake Softi Softi utapendwa na wengi

Tena akiyarudisha magwiji ya Siasa ya Awamu ya Nne kwenye nafasi za uongozi wa CCM itakuwa ni Sera kwa Sera

Mama ananitisha sana kuliko Mwenda.
 
Ni suala la muda tu.

Kwa nyendo zake za mapema tu Samia anaenda kuizika rasmi CCM.

Ikumbukwe uiamara wa CCM ulikuwa umebaki katika ncha ndogo sana ya kuwapigania wanyonge japokuwa haupo ushahidi wa moja kwa moja kama kilifanya hivyo.

Pamoja na yote Hayati Magufuli alijiegemeza katika jambo hilo kwa sababu aliamini ncha hiyo aghalabu ingeendelea kumweka jirani na hao wanaoitwa wanyonge ili tu kwalo CCM iendelee kuwa madarakani.

Sasa kwa muziki wa huyo mama kwanza kuruhusu kulegezwa kwa baadhi ya masharti ambayo yalikuwa yamepewa mkazo na mtangulizi wake yakiwamo vibali vya kazi,kuruhusu wafanyabiashara mafisadi kurejea hiyo ni dalili ya kuwa rasmi tunarejea kwenye zama za unanijua mimi ni nani.

Samia ameamua kucheka na mabua kwa hakika mwisho wa CCM waja tena kwa kasi!
Wasukuma mnazidi kuonyesha rangi zenu halisi. Mnamhujumu Mama kupitia CCM.
 
safi sana mama samia piga kazi na uhakikishe baraza la ccm halitokei tena ,maana bunge bila upinzani ni sawa na Epl bila fans inabore sana.
 
Hamna wapinzani bongo hii wa kutawala nchi hata rais angekua Pierre Liquid.
Af sio kila mtanzania anayependa haki na maendeleo ni mpinzani.
Uchaguzi wa 2015 isingekuwa CCM kumsimamisha JPM ni wazi upinzani ungeshinda uchaguzi kutokana na udhaifu wa kiongozi aliyekuwepo wakati huo.Hali hii itajirudia na CCM hawatakuwa na karata ya kucheza na ni wazi upinzani utashinda!
 
Ni suala la muda tu.

Kwa nyendo zake za mapema tu Samia anaenda kuizika rasmi CCM.

Ikumbukwe uiamara wa CCM ulikuwa umebaki katika ncha ndogo sana ya kuwapigania wanyonge japokuwa haupo ushahidi wa moja kwa moja kama kilifanya hivyo.

Pamoja na yote Hayati Magufuli alijiegemeza katika jambo hilo kwa sababu aliamini ncha hiyo aghalabu ingeendelea kumweka jirani na hao wanaoitwa wanyonge ili tu kwalo CCM iendelee kuwa madarakani.

Sasa kwa muziki wa huyo mama kwanza kuruhusu kulegezwa kwa baadhi ya masharti ambayo yalikuwa yamepewa mkazo na mtangulizi wake yakiwamo vibali vya kazi,kuruhusu wafanyabiashara mafisadi kurejea hiyo ni dalili ya kuwa rasmi tunarejea kwenye zama za unanijua mimi ni nani.

Samia ameamua kucheka na mabua kwa hakika mwisho wa CCM waja tena kwa kasi!
Wengi mnapenda kusema kinarudi kipindi cha unanijua mimi nani mnasahau hata utawala uliopita kuna watu walikuwa wanaogopwa mpaka na wazir mkuu
 
Sisi kama Wapinzani tunamuogopa Mama zaidi kuliko hata yule chizi,Mama anakufa za akinamama wengi Mama utawala wake Softi Softi utapendwa na wengi

Tena akiyarudisha magwiji ya Siasa ya Awamu ya Nne kwenye nafasi za uongozi wa CCM itakuwa ni Sera kwa Sera

Mama ananitisha sana kuliko Mwenda.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Umesahau yale ya JK kuongoza nchi ki soft soft kukawa na propaganda nyingi mara ufisadi,mara rais dhaifu na ilibaki kidogo akicost chama na CCM ilielekea kuanguka! Same will happen here!
 
Unacheza na UWT weee.... kaa mbali sana na chama hicho. Wanawake ndio wengi sana wanapinga kura. Awataki kusikia Mama akipoteza, hasa kama ajafanya vizuri.
 
Ni suala la muda tu.

Kwa nyendo zake za mapema tu Samia anaenda kuizika rasmi CCM.

Ikumbukwe uiamara wa CCM ulikuwa umebaki katika ncha ndogo sana ya kuwapigania wanyonge japokuwa haupo ushahidi wa moja kwa moja kama kilifanya hivyo.

Pamoja na yote Hayati Magufuli alijiegemeza katika jambo hilo kwa sababu aliamini ncha hiyo aghalabu ingeendelea kumweka jirani na hao wanaoitwa wanyonge ili tu kwalo CCM iendelee kuwa madarakani.

Sasa kwa muziki wa huyo mama kwanza kuruhusu kulegezwa kwa baadhi ya masharti ambayo yalikuwa yamepewa mkazo na mtangulizi wake yakiwamo vibali vya kazi,kuruhusu wafanyabiashara mafisadi kurejea hiyo ni dalili ya kuwa rasmi tunarejea kwenye zama za unanijua mimi ni nani.

Samia ameamua kucheka na mabua kwa hakika mwisho wa CCM waja tena kwa kasi!
Wewe ulisikia wapi?
Toa uchatowako huko
 
Ni suala la muda tu.

Kwa nyendo zake za mapema tu Samia anaenda kuizika rasmi CCM.

Ikumbukwe uiamara wa CCM ulikuwa umebaki katika ncha ndogo sana ya kuwapigania wanyonge japokuwa haupo ushahidi wa moja kwa moja kama kilifanya hivyo.

Pamoja na yote Hayati Magufuli alijiegemeza katika jambo hilo kwa sababu aliamini ncha hiyo aghalabu ingeendelea kumweka jirani na hao wanaoitwa wanyonge ili tu kwalo CCM iendelee kuwa madarakani.

Sasa kwa muziki wa huyo mama kwanza kuruhusu kulegezwa kwa baadhi ya masharti ambayo yalikuwa yamepewa mkazo na mtangulizi wake yakiwamo vibali vya kazi,kuruhusu wafanyabiashara mafisadi kurejea hiyo ni dalili ya kuwa rasmi tunarejea kwenye zama za unanijua mimi ni nani.

Samia ameamua kucheka na mabua kwa hakika mwisho wa CCM waja tena kwa kasi!
Ccm ilishakufa, SS ataruhusu izikwe.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Umesahau yale ya JK kuongoza nchi ki soft soft kukawa na propaganda nyingi mara ufisadi,mara rais dhaifu na ilibaki kidogo akicost chama na CCM ilielekea kuanguka! Same will happen here!
Tumetia adabu, na kipindi kile mimi nilikuwa CCM Damu ilikuwa piga ua Damu inatoka masikioni tu, ila nilikuja kuhamishwa na huyo mshenzi

Mama ndio anakuja na killing me softly ila Katiba na Tume huru ndio mpango mzima
 
Ni suala la muda tu.

Kwa nyendo zake za mapema tu Samia anaenda kuizika rasmi CCM.

Ikumbukwe uiamara wa CCM ulikuwa umebaki katika ncha ndogo sana ya kuwapigania wanyonge japokuwa haupo ushahidi wa moja kwa moja kama kilifanya hivyo.

Pamoja na yote Hayati Magufuli alijiegemeza katika jambo hilo kwa sababu aliamini ncha hiyo aghalabu ingeendelea kumweka jirani na hao wanaoitwa wanyonge ili tu kwalo CCM iendelee kuwa madarakani.

Sasa kwa muziki wa huyo mama kwanza kuruhusu kulegezwa kwa baadhi ya masharti ambayo yalikuwa yamepewa mkazo na mtangulizi wake yakiwamo vibali vya kazi,kuruhusu wafanyabiashara mafisadi kurejea hiyo ni dalili ya kuwa rasmi tunarejea kwenye zama za unanijua mimi ni nani.

Samia ameamua kucheka na mabua kwa hakika mwisho wa CCM waja tena kwa kasi!
Poor You !!! What an Imbecile and Naive Person !!!!
 
Mama mama,mama huyo Mama Rais huyo.
Wengine tunacheck tu movie la Tintin in Africa. 😎
 
Ni suala la muda tu.

Kwa nyendo zake za mapema tu Samia anaenda kuizika rasmi CCM.

Ikumbukwe uiamara wa CCM ulikuwa umebaki katika ncha ndogo sana ya kuwapigania wanyonge japokuwa haupo ushahidi wa moja kwa moja kama kilifanya hivyo.

Pamoja na yote Hayati Magufuli alijiegemeza katika jambo hilo kwa sababu aliamini ncha hiyo aghalabu ingeendelea kumweka jirani na hao wanaoitwa wanyonge ili tu kwalo CCM iendelee kuwa madarakani.

Sasa kwa muziki wa huyo mama kwanza kuruhusu kulegezwa kwa baadhi ya masharti ambayo yalikuwa yamepewa mkazo na mtangulizi wake yakiwamo vibali vya kazi,kuruhusu wafanyabiashara mafisadi kurejea hiyo ni dalili ya kuwa rasmi tunarejea kwenye zama za unanijua mimi ni nani.

Samia ameamua kucheka na mabua kwa hakika mwisho wa CCM waja tena kwa kasi!
Hivi wewe kweli ni BINADAMU AU MZIMU?????
 
MWENDAZAKE NDIO ALIIUA CCM..HUYU mama ndio ataifanya CCM iwe imara....ila BADO siwezi kutoa hitimisho...NAMPA MUDA KWANZA...NIKAE NA AKIBA YA MANENO
 
Kwanza unaonekana una heshima juu yake unamwita kwa jina ikiwa unatambua wazi cheo alichonacho. Yeye ni Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama hivyo sio sahihi kumuita kwa jina kama uliavyoandika kwenye title yako.

Turudi kwenye swala la msingi; CCM sio Tanzania na haina hati miliki ya Tanzania. Kama anenda kuiua CCM na kuiimarisha Tanzania acha CCM ife, sisi tunataka usitawi wa mama Tanzania hii habari ya CCM kujiona ni kubwa kuliko Tanzania ndio itapelekea matatizo makubwa zaidi.

Kama CCM itakufa kwa yeye na selikari yake kutenda haki kwa makundi yote acha ife tena ife mapema.

Tanzania ni ya watanzania sio ya CCM na wale mnaowaita wanyonge ili muwanyonge.
 
Ni suala la muda tu.

Kwa nyendo zake za mapema tu Samia anaenda kuizika rasmi CCM.

Ikumbukwe uiamara wa CCM ulikuwa umebaki katika ncha ndogo sana ya kuwapigania wanyonge japokuwa haupo ushahidi wa moja kwa moja kama kilifanya hivyo.

Pamoja na yote Hayati Magufuli alijiegemeza katika jambo hilo kwa sababu aliamini ncha hiyo aghalabu ingeendelea kumweka jirani na hao wanaoitwa wanyonge ili tu kwalo CCM iendelee kuwa madarakani.

Sasa kwa muziki wa huyo mama kwanza kuruhusu kulegezwa kwa baadhi ya masharti ambayo yalikuwa yamepewa mkazo na mtangulizi wake yakiwamo vibali vya kazi,kuruhusu wafanyabiashara mafisadi kurejea hiyo ni dalili ya kuwa rasmi tunarejea kwenye zama za unanijua mimi ni nani.

Samia ameamua kucheka na mabua kwa hakika mwisho wa CCM waja tena kwa kasi!
Timu JPM hamuamini mnachokiona
 
Back
Top Bottom