... kijana anaogopa zigo la maadui analotwishwa, ... unafikiri Nchimbi ataacha kuroga?
😅
Asikinukishekuwa samaki ndo kuwaje
Kuota ndevu, na kuwa mkorofi korofi,samaki wazee huwa korofi sana na kutafuna wengine for funkuwa samaki ndo kuwaje
Rais Samia Suluhu Hassan amemtaka Makamu wa Rais Deogratius John Ndejembi kukua kiakili na kiuongozi, akisisitiza kuwa ukuaji unaohitajika si wa mwili bali wa hekima na busara. Amesema Ndejembi amepewa jukumu kubwa akiwa kijana kutokana na sifa, ari na uwezo wake.
Rais Samia pia amemtaka Ndejembi kutumia nafasi hiyo kwa kujifunza na kutekeleza majukumu yake kwa ufanisi, akimkumbusha kauli ya Marehemu Abeid Amani Karume ya kuwataka vijana wasiwe “kama samaki” wanaopoteza akili wanapokua. Aidha, ameshukuru CCM na Bunge kwa kumpitisha na kumwidhinisha Ndejembi kuwa Makamu wa Rais.
Yaani afe mdomo wazi macho wazikuwa samaki ndo kuwaje
Umenikumbusha bwawa la KAMBALE baba ndevu mtoto ndevuu☺️😊Kuota ndevu, na kuwa mkorofi korofi,samaki wazee huwa korofi sana na kutafuna wengine for fun
anamtetemekea bosi wake aulada bashite kaanza mtupia majini akukufe cheo apewe yeyeHuyo Deo mbona anatetemeka wakati wa kuapa? Au anaona viatu hivyo havimfiti? Lol.
Ndiyo alichomaanisha bila shakq hakutaka kutumia neno kambale lingetafsirika tofauti.Umenikumbusha bwawa la KAMBALE baba ndevu mtoto ndevuu☺️😊
Rais wa vijembe, tusirudie tena ujinga huuRais Samia Suluhu Hassan amemtaka Makamu wa Rais Deogratius John Ndejembi kukua kiakili na kiuongozi, akisisitiza kuwa ukuaji unaohitajika si wa mwili bali wa hekima na busara. Amesema Ndejembi amepewa jukumu kubwa akiwa kijana kutokana na sifa, ari na uwezo wake.
Rais Samia pia amemtaka Ndejembi kutumia nafasi hiyo kwa kujifunza na kutekeleza majukumu yake kwa ufanisi, akimkumbusha kauli ya Marehemu Abeid Amani Karume ya kuwataka vijana wasiwe “kama samaki” wanaopoteza akili wanapokua. Aidha, ameshukuru CCM na Bunge kwa kumpitisha na kumwidhinisha Ndejembi kuwa Makamu wa Rais.
Duuh haya ni maajabu!Rais Samia Suluhu Hassan amemtaka Makamu wa Rais Deogratius John Ndejembi kukua kiakili na kiuongozi, akisisitiza kuwa ukuaji unaohitajika si wa mwili bali wa hekima na busara. Amesema Ndejembi amepewa jukumu kubwa akiwa kijana kutokana na sifa, ari na uwezo wake.
Rais Samia pia amemtaka Ndejembi kutumia nafasi hiyo kwa kujifunza na kutekeleza majukumu yake kwa ufanisi, akimkumbusha kauli ya Marehemu Abeid Amani Karume ya kuwataka vijana wasiwe “kama samaki” wanaopoteza akili wanapokua. Aidha, ameshukuru CCM na Bunge kwa kumpitisha na kumwidhinisha Ndejembi kuwa Makamu wa Rais.
Katiba ya Tanzania Vice president atatenda kwa maelekezo ya RaisRais anamuapisha makamu wake na kumpa maagizo ya kufanya!
Haya nayo ni maajabu. Kazi ya Makamu si ni kumsaidia Rais! Maagizo ni ya nini tena!