Bambalaga ya wapi,kiongozi?Tukutane bambalaga tuagane kwa mara ya mwisho mlevi mwenzetu makamu wa rais
Bambalaga ya wapi,kiongozi?Tukutane bambalaga tuagane kwa mara ya mwisho mlevi mwenzetu makamu wa rais
Ungekuwa wewe usingetetemeka?Huyo Deo mbona anatetemeka wakati wa kuapa? Au anaona viatu hivyo havimfiti? Lol.
Utafiti gani unaoonyesha kuwa samaki akikua anapoteza AKILI???? Mambo ya kwenye taarabu ya kipumbavu! Kiumbe chochote kile kikikua kimwili na kiakili kinakua.....Utafiti wa kuwa samaki akikua anakuwa na Dementia umepatikana vipi? Huyu mama asituletee upumbavu wake wa kijinga. Sorry wazanzibari huwa hawana akili hata ile ndogo.....Huwa wanaropoka tu, wewe watu kama Jussa, Omo au Juma Dunia wana akili kweli? wanaropoka ropoka tu upumbavu, wameshamwambukiza Zitto Kabwe.Rais Samia Suluhu Hassan amemtaka Makamu wa Rais Deogratius John Ndejembi kukua kiakili na kiuongozi, akisisitiza kuwa ukuaji unaohitajika si wa mwili bali wa hekima na busara. Amesema Ndejembi amepewa jukumu kubwa akiwa kijana kutokana na sifa, ari na uwezo wake.
Rais Samia pia amemtaka Ndejembi kutumia nafasi hiyo kwa kujifunza na kutekeleza majukumu yake kwa ufanisi, akimkumbusha kauli ya Marehemu Abeid Amani Karume ya kuwataka vijana wasiwe “kama samaki” wanaopoteza akili wanapokua. Aidha, ameshukuru CCM na Bunge kwa kumpitisha na kumwidhinisha Ndejembi kuwa Makamu wa Rais.
Nyie mnaomfatilia na kusikiliza hotuba za huyu mama mna moyo sana.😁😁😁🙌🏽Rais Samia Suluhu Hassan amemtaka Makamu wa Rais Deogratius John Ndejembi kukua kiakili na kiuongozi, akisisitiza kuwa ukuaji unaohitajika si wa mwili bali wa hekima na busara. Amesema Ndejembi amepewa jukumu kubwa akiwa kijana kutokana na sifa, ari na uwezo wake.
Rais Samia pia amemtaka Ndejembi kutumia nafasi hiyo kwa kujifunza na kutekeleza majukumu yake kwa ufanisi, akimkumbusha kauli ya Marehemu Abeid Amani Karume ya kuwataka vijana wasiwe “kama samaki” wanaopoteza akili wanapokua. Aidha, ameshukuru CCM na Bunge kwa kumpitisha na kumwidhinisha Ndejembi kuwa Makamu wa Rais.
sio kweli, kuwa kama samaki ni kuwa na pande mbili. huku na kuleAmesema hapo kuwa Jinsi Samaki anavyokuwa mkubwa ndio akili inazidi kuwa ndogo.
Kwahiyo Asiwe kama samaki.
VP Akikua kwa mwili akue na kwa akili pia.
Sasa wewe unaona Kuna mtu hapo??Rais anamuapisha makamu wake na kumpa maagizo ya kufanya!
Haya nayo ni maajabu. Kazi ya Makamu si ni kumsaidia Rais! Maagizo ni ya nini tena!
Kipaji hichoNyie mnaomfatilia na kusikiliza hotuba za huyu mama mna moyo sana.😁😁😁🙌🏽
Hizo kauli zinadogosha nafasi ya VP! Huyo sio waziri au mteule.
WOSIA WA BABA WA TAIFA HAYATI MWALIMU JULIUS KAMBARAGE NYERERERais Samia Suluhu Hassan amemtaka Makamu wa Rais Deogratius John Ndejembi kukua kiakili na kiuongozi, akisisitiza kuwa ukuaji unaohitajika si wa mwili bali wa hekima na busara. Amesema Ndejembi amepewa jukumu kubwa akiwa kijana kutokana na sifa, ari na uwezo wake.
Rais Samia pia amemtaka Ndejembi kutumia nafasi hiyo kwa kujifunza na kutekeleza majukumu yake kwa ufanisi, akimkumbusha kauli ya Marehemu Abeid Amani Karume ya kuwataka vijana wasiwe “kama samaki” wanaopoteza akili wanapokua. Aidha, ameshukuru CCM na Bunge kwa kumpitisha na kumwidhinisha Ndejembi kuwa Makamu wa Rais.