Rais Samia Suluhu Hassan amesema uzuri wa Katiba ya Tanzania unawezesha mabadiliko ya viongozi katika nafasi kubwa za nchi kufanyika kwa amani na utulivu bila vurugu wala misukosuko. Amesema hali hiyo ni sehemu ya uimara wa mifumo ya Tanzania.
Rais Samia ametoa kauli hiyo wakati akiwashukuru...
Rais Samia Suluhu Hassan amemtaka Makamu wa Rais Deogratius John Ndejembi kukua kiakili na kiuongozi, akisisitiza kuwa ukuaji unaohitajika si wa mwili bali wa hekima na busara. Amesema Ndejembi amepewa jukumu kubwa akiwa kijana kutokana na sifa, ari na uwezo wake.
Rais Samia pia amemtaka...
Mbunge wa Jimbo Ikungi Magharibi, Elibariki Kingu, "Nikiwaambiaga watu mimi ni mtumishi wa Mungu, wengine wanafanya masiara, miezi miwili iliyopita mimi Mungu alizungumza na mimi na nilimpigia simu Deo, nilimwambia kuna jambo Mungu anakwenda kukufanyia nimefunuliwa na Mungu..."
Soma...
Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Kasheku Msukuma, amemtaka Mbunge mwenzake, Deo Ndejembi, ambaye ametoka Bungeni baada ya kuteuliwa na Halmashauri Kuu ya CCM kuwa Makamu wa Rais, kutorudia mambo aliyodai kuwa yaliwafikisha katika hali iliyopo sasa, badala yake kutumia nafasi yake kumsaidia Rais...
Kichwa cha habari hapo juu kiko wazi. Nina mambo kadhaa nayaangalia tokana na 'uteuzi' wa mhusika.
Mosi, ana sifa gani ki-CCM zaidi ya kuwa mjukuu wa MCCM na kibaraka wa mama?
Pili, kwanini yeye na si makada wengine welevu na wakongwe?
Tatu, ameshindanishwa na nani?
Nne, zaidi ya uanagezi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.