Rais Samia naomba umfariji Tundu Lissu

Mungu ambariki na kumlinda lissu
Chadema ina vilaza watupu kabisa hawawezi kubadilisha chochote kuanzia Mbowe ni kilaza na katili namba moja dikteta hatari kabisa kuwahi kutokea Lema naye kwanza ana nn hata hajasoma mnyika naye zero tu its a failed CHADEMA Lichama limekufa vibaya hili kwa tamaa za kipumbavu
 
Rais wetu mama, Tanzania ni ya watanzania wote, na kila RAIA ni muhimu sana kwa nchi yake. Watanzania hawana kwao kwingine ila Tanzania.

Kilichompata Tundu Lisu ni vigumu kuamini kwamba yuko hai hadi Leo.

Tundu Lisu amepata maumivu makubwa sana ya kimwili, kisaikolojia, kijamii na kiuchumi. Anahitaji MTU muhimu wa kumwambia pole. Kama mfariji mkuu tafadhali mfariji huyu RAIA wako mwenye weledi mkubwa wa sheria.

Tumuite nyumbani aungane na watanzania wengine kwenye ujenzi wa nchi yao, kufanya hivyo dunia itatutukuza kama taifa.

Tumlipe anachostahili kama kipo, tumhakikishie usalama wake kama anayo hofu, tumrudishe nyumbani kama hawezi.

Vyama vingi ni mfumo ambao uko kwenye katiba yetu, usiwe uhasama bali tuendeshe kwa staha kwakuwa ulibuniwa na wazungu bila ya sisi kujitayarisha ili tuvurugane wenyewe kwa wenyewe.

Nadhani Tanzania yetu ni kubwa kuliko vyama vya siasa. Vyama vinakufa lakini taifa halifi.
Chadema ina vilaza watupu kabisa hawawezi kubadilisha chochote kuanzia Mbowe ni kilaza na katili namba moja dikteta hatari kabisa kuwahi kutokea Lema naye kwanza ana nn hata hajasoma mnyika naye zero tu its a failed CHADEMA Lichama limekufa vibaya hili kwa tamaa za kipumbavu
 
Chadema ina vilaza watupu kabisa hawawezi kubadilisha chochote kuanzia Mbowe ni kilaza na katili namba moja dikteta hatari kabisa kuwahi kutokea Lema naye kwanza ana nn hata hajasoma mnyika naye zero tu its a failed CHADEMA Lichama limekufa vibaya hili kwa tamaa za kipumbavu
Vyama vingi vipo kwa mujibu wa katiba. Tulikubali vyama vingi kwa shinikizo LA wazungu na Nyerere. Ndio maana hata Rais Nzasa alisema walihakikisha kuwa vyama haviungani kuitoa ccm. Hivyo serikali haitaki vyama vingi tangu siku ya kwanza. Mimi sishangai wewe kutamka hivyo, ni mwendelezo tu wa walichokianzisha tangu siku ya kwanza wanaruhusu vyuo vingi
 
Back
Top Bottom