Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 18,126
- 12,341
Ndugu zangu Watanzania,
Kwa mujibu wa waziri wa mifugo na uvuvi Mheshimiwa Abdallal Ulega Amesema ya kuwa Mheshimiwa Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan atakuwa mgeni Rasmi wa mkutano wa uvuvi Barani Afrika.
Ameyasema hayo na kutoa taarifa hiyo alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam siku ya jana ya Tarehe 23 Mei. Ambapo amesema kuwa mkutano huo utafanyika Tarehe 5-7 Mwezi Julai, katika ukumbi wa Mlimani city unaopatikana Jijini Dar es salaam.
Naweka kalamu yangu chini na sina Maneno mengi na wala sitaki kuwachosheni.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kwa mujibu wa waziri wa mifugo na uvuvi Mheshimiwa Abdallal Ulega Amesema ya kuwa Mheshimiwa Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan atakuwa mgeni Rasmi wa mkutano wa uvuvi Barani Afrika.
Ameyasema hayo na kutoa taarifa hiyo alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam siku ya jana ya Tarehe 23 Mei. Ambapo amesema kuwa mkutano huo utafanyika Tarehe 5-7 Mwezi Julai, katika ukumbi wa Mlimani city unaopatikana Jijini Dar es salaam.
Naweka kalamu yangu chini na sina Maneno mengi na wala sitaki kuwachosheni.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.