Rais Samia kuzuru Rwanda kwa Ziara ya Siku Mbili (Agosti 2-3, 2021)

Toka ameapishwa hajawahi fika Arusha, Mbeya, Iringa au hata hapo kibaha tu ila keshakwenda Kenya, Burundi, Msumbiji

Rais akumbuke wapiga kura wake zaidi ya hizo nchi za nje.
Kwani ni nani aliyempigia Kura?
 
Mama katembelea kiwanda cha magari ya Volkswagen na pia katembelea kiwanda cha simu janja cha Mara .Wkt Tanzania tunapiga porojo khs viwanda .rwanda wao waonesha mfano
 
Yale madini ya RDC. Yameanza kuonesha matunda kwa Rwanda

Madini ya RDC yanajenga kiwanda cha simu janja yanajenga kiwanda cha magari Volkswagen

Cc@mng'ato zitto junior

FB_IMG_16279892387057768.jpg
 
Yale madini ya RDC. Yameanza kuonesha matunda kwa Rwanda

Madini ya RDC yanajenga kiwanda cha simu janja yanajenga kiwanda cha magari Volkswagen

Cc@mng'ato zitto junior

View attachment 1878598
Watu wanamlaumu bure tu.... Hata Mugabe aliiba dhahabu DRC ila hazikusaidia watu wake same to Museveni aliiba mpaka magogo!! Ila bado hakugawana keki na wananchi.

That being said naona ubabe wake umenufaisha watu wake and that's what matters in the end. Sie tumekalia kumkosoa tu lakini maviongozi wanakufa mabilionea huku wananchi wakiwa maskini.
 
Watu wanamlaumu bure tu.... Hata Mugabe aliiba dhahabu DRC ila hazikusaidia watu wake same to Museveni aliiba mpaka magogo!! Ila bado hakugawana keki na wananchi.

That being said naona ubabe wake umenufaisha watu wake and that's what matters in the end. Sie tumekalia kumkosoa tu lakini maviongozi wanakufa mabilionea huku wananchi wakiwa maskini.
Na ndio tofauti ya PK na wengine jamaa anajua 'Fursa' na kuzitumia sasa anaenda Mozambique kuchukua mafuta .siku watanzania wakiacha kulalama watajikuta rwanda wako mbali sana
 
Watu wanamlaumu bure tu.... Hata Mugabe aliiba dhahabu DRC ila hazikusaidia watu wake same to Museveni aliiba mpaka magogo!! Ila bado hakugawana keki na wananchi.

That being said naona ubabe wake umenufaisha watu wake and that's what matters in the end. Sie tumekalia kumkosoa tu lakini maviongozi wanakufa mabilionea huku wananchi wakiwa maskini.

..hoja yako ni nzuri sana.

..Raisi atakayetutoa Watz ni yule atakayewekeza seriously ktk kilimo.

..bajeti ya kilimo mwaka jana na mwaka huu ni bilioni 294.

..bajeti ya kununua midege toka kwa mabeberu ni trillioni 2.

..na midege imekuwa ikitutia hasara mwaka hadi mwaka.

..kimahesabu ni kwamba bajeti ya midege ni mara 6 ya bajeti ya kilimo.

..Na kilimo kimebeba asilimia zaidi ya 60% ya Watz.

..bila kuachana na dharau kwa wakulima Watz tutaendelea kuyasikia maendeleo redioni.
 
..hoja yako ni nzuri sana.

..Raisi atakayetutoa Watz ni yule atakayewekeza seriously ktk kilimo.

..bajeti ya kilimo mwaka jana na mwaka huu ni bilioni 294.

..bajeti ya kununua midege toka kwa mabeberu ni trillioni 2.

..na midege imekuwa ikitutia hasara mwaka hadi mwaka.

..kimahesabu ni kwamba bajeti ya midege ni mara 6 ya bajeti ya kilimo.

..Na kilimo kimebeba asilimia zaidi ya 60% ya Watz.

..bila kuachana na dharau kwa wakulima Watz tutaendelea kuyasikia maendeleo redioni.
Points mkuu umesema
Tatizo la tanzania hajui nn wafanye kutokana na rasilimali zake

Pk na rwanda walijua hili kuwa nchi ni milima na mabonde.ndogo ktk kilimo akaaamua kutafuta plan B ambayo ni hii wengine mnaona km anazingua

Ila hoja yako ikifanyiwa kazi tz ya viwanda itakua ya vitendo
 
..Duh!!

..mnataka akajifunze ukatili na kuharibu maisha ya anaowaongoza?!!

..badala ya kujifunza namna ya kuboresha uchumi na maisha ya Watz??
Hahahaha asijifunze ubabe Bali ajifunze mazuri rwanda yako mengiyakujifunzahahq
Hivi kile kiwanda cha simu janja na magari cha IPP kilifikia Wapi ? Mwenye taarifa tafadhali
Hahahahq asee sijui
hah

FB_IMG_16279892199526346.jpg
 
Hahahaha asijifunze ubabe Bali ajifunze mazuri rwanda yako mengiyakujifunzahahq

Hahahahq asee sijui
hah

View attachment 1878632
kwakweli watanzania wenzangu na haswa viongozi mliopewa Dhamana kama vile Mwaziri, Makatibu wakuu ma watendaji wengine ktk taasisi mbalimbali kama kweli mnaipenda Tanzania basi kuna jambo la kujifunza kutoka Rwanda.
nimeshangaa sana kuona Magari yanayo unganishwa ktk kiwanda kilichopo Rwanda.
nimeshangaa sana kuona Kuna kiwanda cha kutengeneza simu, hivi watanzania nani katuloga?!
maneno mengi hakuna matendo,
kila mara wanateuliwa wasomi, maprofesa, madokta lkn hakuna tija wala mabadiliko.
Rwanda ni nchi iliyo pitia vipindi vigumu sana lkn leo hii.sisi amabao tumedumu ktk Amani na utulivu bado tunachonga maneno tu!
nimekasirika sana inabidi tukimbie ktk kufanya maendeleo.
Mungu ibariki Tanzania
 
Rwanda imepiga hatua kubwa sana ktk teknoloji kuliko Tanzania, shida ni nn wakati tunao mawaziri na watendaji wasomi wazuri, jamani shida ni nn?
Viongozi tunawaomba muwe wazalendo wa kweli.
 
kwakweli watanzania wenzangu na haswa viongozi mliopewa Dhamana kama vile Mwaziri, Makatibu wakuu ma watendaji wengine ktk taasisi mbalimbali kama kweli mnaipenda Tanzania basi kuna jambo la kujifunza kutoka Rwanda.
nimeshangaa sana kuona Magari yanayo unganishwa ktk kiwanda kilichopo Rwanda.
nimeshangaa sana kuona Kuna kiwanda cha kutengeneza simu, hivi watanzania nani katuloga?!
maneno mengi hakuna matendo,
kila mara wanateuliwa wasomi, maprofesa, madokta lkn hakuna tija wala mabadiliko.
Rwanda ni nchi iliyo pitia vipindi vigumu sana lkn leo hii.sisi amabao tumedumu ktk Amani na utulivu bado tunachonga maneno tu!
nimekasirika sana inabidi tukimbie ktk kufanya maendeleo.
Mungu ibariki Tanzania
Hahahaha Tanzania ni porojo tu kutwa porojo mitandaoni bila tija

Tz ya viwanda halafu hkn kiwanda kimoja cha maana kipya kimefunguliwa mpk kauli mbiu tz ya viwanda imekufa
 
Suala la mtu aliezoea kukanyaga kanyaga na kubaka katiba yetu pamoja na sheria zetu kuwa Rais ni suala la aibu ambalo linapaswa kupingwa na kila mwenye pumzi.

Ni punguani peke yake au kichaa ndiye anaweza kufurahia kuona Rais akivunja katiba,sheria na kuonea watu.Kama upo katika kundi hili nakushauri kuwa uwahi mirembe haraka sana ukafunguliwe file la kudumu kwani siyo hali ya kawaida kwa binadamu ambae ni mzima kufurahia kitendo cha katiba na sheria za nchi kuvunjwa ovyo ovyo na watawala.
Tayari nina file huko.

10 tena kwa mama,aendelee kuupiga mwingi
 
M7 na yule rais wa Burundi wao walikuja msibani?
Waliwakilishwa na wawakilishi wao ambao waliagizwa kuja kwenye msiba lakini kg kachukua muda sana kutuma salamu... Ni kama mnafiki fulani mimi nionavyo na sio jamaa wakuamini!!! Kikawaida hata mimi na wewe tukikosana kwenye jambo fulani tutaparangana sana" lakini ikitokea msiba kati yetu tunaweka tofauti zetu pembeni na tunakuwa wamoja....!!!!! Huu ndo uingwana mkuu wangu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waliwakilishwa na wawakilishi wao ambao waliagizwa kuja kwenye msiba lakini kg kachukua muda sana kutuma salamu... Ni kama mnafiki fulani mimi nionavyo na sio jamaa wakuamini!!! Kikawaida hata mimi na wewe tukikosana kwenye jambo fulani tutaparangana sana" lakini ikitokea msiba kati yetu tunaweka tofauti zetu pembeni na tunakuwa wamoja....!!!!! Huu ndo uingwana mkuu wangu

Sent using Jamii Forums mobile app
Uongo mtupu.

Msiba ulivyotokea tu kesho yake Rwanda walituma salamu za pole na wakashusha bendera nusu mlingoti kwa siku 7 wkt Kuna nchi zilishusha kwa siku 3 tu.

Kwny msiba wa Magu walituma Waziri mkuu wao kuja kumwakilisha PK.

Niambie hapa nchi nyingine walituma salamu za pole lini na hao Rwanda walituma salamu lini,twende kwa facts.
 
Back
Top Bottom